Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
ahahahahhahhahahahhahha af mnaambia taratibu mi sijawahi na we ila kweli nakuona kabisa!
ahahahhahahhahahahhaha kweli mjanja akikutana na mjanja mwenzie lazima nyasi zisiote!
wageuzeni tu ka vibua !ni hiyo hiyo ndizi na maparachichi au nini ili tuwe na sisi sato?
hahahaha hujui mchele mmoja ila mapishi mbali mbali kuna bokoboko, pilau, wali mweupe, kuna ukoko n.k sasa nyumba kubwa inazidiwa maujuzi na nyumba ndogo fikiria ukifika mlangoni unabebwa mgongoni nyumba kubwa hata karibu tu hakuna :becky::becky: