Hivi ni kwanini meli ikitembea maji yanamwagika?

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,440
Reaction score
32,260
Wataalam wa Meli nisaidieni kujua meli ikitembea huwa inamwaga maji na yanapitia wapi?



 
Nadhani anaongelea yale matundu ya pembeni but si kila meli huwa in hayo matundu..
 
Ni maji yanayopoza mashine huwa yanavutwa kutoka baharini na kurudi humo
 
Engine ya meli kubwa inapoozwa kwa water fins surrounding the Engine na hivyo maji ya Chumvi ya baharini yanatumika kupooza kwa kuvuta...kuyazungusha kwenye water guides including oil coolers na yakipata moto yanarudishwa baharini.

Engine za meli hazijatengenezwa na cooling system (radiator kama magari au earth moving machines au generators nope!)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…