Hivi ni kwanini meli ikitembea maji yanamwagika?

Hivi ni kwanini meli ikitembea maji yanamwagika?

Wadau nimeusoma huu uzi kuanzia mwanzo hadi mwisho lkn hakuna aliyetoa jibu la kweli humu ndani. Swali linasema kwa nini meli ikitembea inatoa maji nje? Jibu! Kwanza sio tu meli ikiwa inatembea ndio inamwaga au inatoa maji nje no hata ikiwa haitembei bado itakuwa inatoa maji nje.kwa nini kwa sababu chini ya meli kuna propela zipo kama feni vile, ikiwashwa engine ndio zile propela zinazunguka meli au boti inatembea sasa pale kwenye zile propela kunakuwa na uwazi unaopitisha maji kuingia ndani na maji yale yakiingia ndani lazima yatolewe kwa sababu yakijaa bila kutolewa yatasababisha meli kuzama ndio maaana kuna mashine maalumu za kuyatolea nje yale maji ndio hapo unapoyaona yanatoka nje.na zile mashine zinajitegemea zenyewe hazitegemei lufanya kazi hadi engine ya meli iwe on na ndio maana hata meli ikiwa imesimama bado zile mashine zinatumika kutoa maji nje na ikitokea siku mashine ya kutolea maji nje zimezima linaweza tokea balaa ila wanakuwa nazo nyingi inategemea na ukubwa wa chombo.hata ukiwaangalia wale wavuvi wanaotumia mitumbwi coz hata mtumbwi pia unaingiza maji ndani yanapitia pale kwebye viungio bc wale utawakuta na makopo ya kutolea maji nje ili chombo kisizame.na hata wale wanaopanda vimtumbwi vya kubebea abiria bc utawaona manahodha na makopo yao wanatoa maji nje na kama unepewa lifti basi utapewa kazi ya kutoa maji nje.Hilo ndio jibu sahihi kabisa sio hayo yaliopita huko juu.

Mkuu majibu yameshatolewa na hili lakwako naona ni kama unatuingiza chaka, fuatilia page za mwanzo kuna majibu yenye mashiko yametolewa.
 
Wadau nimeusoma huu uzi kuanzia mwanzo hadi mwisho lkn hakuna aliyetoa jibu la kweli humu ndani. Swali linasema kwa nini meli ikitembea inatoa maji nje? Jibu! Kwanza sio tu meli ikiwa inatembea ndio inamwaga au inatoa maji nje no hata ikiwa haitembei bado itakuwa inatoa maji nje.kwa nini kwa sababu chini ya meli kuna propela zipo kama feni vile, ikiwashwa engine ndio zile propela zinazunguka meli au boti inatembea sasa pale kwenye zile propela kunakuwa na uwazi unaopitisha maji kuingia ndani na maji yale yakiingia ndani lazima yatolewe kwa sababu yakijaa bila kutolewa yatasababisha meli kuzama ndio maaana kuna mashine maalumu za kuyatolea nje yale maji ndio hapo unapoyaona yanatoka nje.na zile mashine zinajitegemea zenyewe hazitegemei lufanya kazi hadi engine ya meli iwe on na ndio maana hata meli ikiwa imesimama bado zile mashine zinatumika kutoa maji nje na ikitokea siku mashine ya kutolea maji nje zimezima linaweza tokea balaa ila wanakuwa nazo nyingi inategemea na ukubwa wa chombo.hata ukiwaangalia wale wavuvi wanaotumia mitumbwi coz hata mtumbwi pia unaingiza maji ndani yanapitia pale kwebye viungio bc wale utawakuta na makopo ya kutolea maji nje ili chombo kisizame.na hata wale wanaopanda vimtumbwi vya kubebea abiria bc utawaona manahodha na makopo yao wanatoa maji nje na kama unepewa lifti basi utapewa kazi ya kutoa maji nje.Hilo ndio jibu sahihi kabisa sio hayo yaliopita huko juu.

Tulichouliza yale maji yanayotoka kila kwenye kona ya meli yani mbele kunakuwa na mashimo au bomba mbili zinatoa maji na nyuma hivyo hivyo yanamwagika hayo maji
 
Hehehehee! Nimefurahishwa na michango ya wengi wenu hapo juu. Ni kweli meli nyingi saana huwa zinatoa maji hasa the moment zinapong'oa nanga na kuanza safari. Nitaanzia mbali kidogo. Niliwahi kujiuliza inakuaje zile meli ya kivita, Nyambizi (submarine) zinaweza kuzama baharini na kurudi kwenye surface water. Ndio katika kuchimbua nikakutana na kitu kinaitwa "ballast tanks". Nyambizi ina matangi makubwa saana ya maji ambayo yana mechanism ya kujaa maji pale inapohitaji kuzama baharini, na pale inapohitaji kurudi kwenye surface water, yale matangi yanatoa maji na kuingiza hewa. Wengi wenu mkikumbuka kwenye physics tulifundishwa kuwa hewa ina density dongo kuliko maji, ndio maana air bubbles hazikai ndani ya maji, zinakuja kwenye surface, so nyumbizi ikifungulia maji, inarudi kwenye surface kwa same mechanism as air bubbles.

Now lets get back to our topic. Meli pia zina hayo matangi makubwa, either upande wa pembeni, au upande wa chini. Lengo kubwa la hayo matangi ni kuongeza uzito wa meli ili ku improve stability inapokua majini. Kumbuka chombo kinachoelea huwa kinakua chepesi saana kiasi kwamba hata upepo tu unaweza kukipeperusha. Hivyo kuna level ya ujazo au uzito unaokuwa recommended kuwa maintained na kila meli ili kuimprove stability. Kwa madereva mtanielewa vizuri, ukiendesha gari nzito kama Mercedes S class na Carina Ti kuna tofauti kubwa saana katika stability, gari nzito iko stable saana as uzito unasaidia kuimprove the center of gravity, hivyo gari inakua chini na inabalance vizuri. (Wengine huwa tunajaza mizigo au kubeba watu ili gari iwe na balance, wengine tunaweka spoilers)

Meli pia zinahitaji that same mechanism kuimprove stability. Vile mara nyingi meli huwa zinabeba mzigo mzito, mara nyingi inakuwa nzito saana, lakini utakumbuka kuwa hiyo mizigo huwa inapungua au kuongezeka pindi meli inapofika kituo fulani, so density ya meli inapungua na kuongezeka pia. Vile vile sehemu kama unavyofahamu, sehemu mbali mbali za bahari zina concentration tofauti ya chumvi, hivyo hata density ya maji inapishana pia. So ili kuhakikisha meli iko stable kwenye kila condition kunakua na constant trade off kati ya mizigo, maji na hewa ili kuendelea ku maintain uzito unaohitajika kupata stability. Meli ikiwa haina mzigo, inajaza maji mengi kwenye matangi yake ili iwe nzito na iwe stable baharini, lakini pindi mzigo unapoongezeka, inabidi yale maji yaondolewe kwenye matangi, ili uzito usidi kipimo cha ujazo as indicated by the Plimsoll line ndio maana ukiwa bandarini au meli ikianza kuondoka utaona maji mengi yakiondolewa maana inakua imepakia mzigo. Lakini ikishusha huo mzigo, maji yanaongezwa tena kwenye meli. So it is a constant process, either kuongeza maji au kupunguza as long as uzito fulani unakua maintained.

I hope umepata mwangaza kidogo kwenye hilo swali lako.

View attachment 277663View attachment 277664
View attachment 277665

Mkuu Asante kwa darasa hili, ila naomba maelezo zaidi hapo kwenye nyambizi, yaani inawezaje kumwaga maji yaliomo kwenye hizo 'ballast tanks' wakati ikiwa chini ya bahari, najua kumwaga maji ikiwa juu (surface water) ni rahisi, lakini chini ya bahari sijui inawezekanaje, naomba unielimishe tafadhali, asante tena kwa darasa hili.
 
Hiyo ni mikojo ya mabaharia, sababu huwa wanatumia sana vimiminika kuliko chakula.
 
Mkuu Asante kwa darasa hili, ila naomba maelezo zaidi hapo kwenye nyambizi, yaani inawezaje kumwaga maji yaliomo kwenye hizo 'ballast tanks' wakati ikiwa chini ya bahari, najua kumwaga maji ikiwa juu (surface water) ni rahisi, lakini chini ya bahari sijui inawezekanaje, naomba unielimishe tafadhali, asante tena kwa darasa hili.

Ballast tanks za submarine zina valves zinazoweza kufunga kabisa na kuwa air tight, kama mitungi ya gesi. Maana those very same tanks zinatukima kutunzia hewa au maji au both kulingana na mahitaji at that particular time. Nyambizi zina air compressors ambazo zinaweza kubadilisha mgandamizo (pressure) wa hewa ndani ya hizo tanks.

Ili nyambizi izame ndani ya bahari, compressor zinapunguza pressure ya hewa kuwa ndogo kuliko ile ya maji, so maji yanaingia kwenye tanks na kufanya uzito wa submarine kuongezeka na kupunguza (sio kumaliza) uwezo wake wa kuelea(negative buoyancy).

Ili nyambizi itokeze kwenye surface ya bahari, pressure ndani ya tanks inaongezwa hivyo pressure ya hewa inakua nzito kuliko pressure ya maji mpaka inasababisha maji yanatoke nje ya tanks, hiyo inaongeza uwezo wa nyambizi kuelea (positive bouyancy). Kumbuka hata kumaintain kina (depth) ya nyambizi kwenye maji hii process inakua inaendelea all the time kuhakikisha a certain balance kati ya uzito wa nyambizi na mgandamizo wa maji inapatikana maana ressure ya maji inapishana kati ya eneo moja la bahari na linguine.

Njia rahis ya kuelewa operation ya hizo tanks, ingawa sio mfano mzuri saana, ni kwa kutumia bomba la sindano (syringe). Ukiapply pressure maji yanatoka unabakiwa na hewa, ukiachia pressure, unavuta maji na hewa inatoka. Pia unaweza tazama video kwenye link hapo chini.

1.jpg
2.jpg
3.jpg



fig3.jpg
 
Mkuu Asante kwa darasa hili, ila naomba maelezo zaidi hapo kwenye nyambizi, yaani inawezaje kumwaga maji yaliomo kwenye hizo 'ballast tanks' wakati ikiwa chini ya bahari, najua kumwaga maji ikiwa juu (surface water) ni rahisi, lakini chini ya bahari sijui inawezekanaje, naomba unielimishe tafadhali, asante tena kwa darasa hili.

Mkuu inaelekea uliwahi kuwa kilaza darasani au mbishi kuelewa(natania tu) kwani uliingia ndani ya swiming pool ukakojoa mkojo hautoki? Ukilipata jibu la hapo utakua unelipata na jibu la hapa.
 
Ballast tanks za submarine zina valves zinazoweza kufunga kabisa na kuwa air tight, kama nitungi ya gesi. Maana those very same tanks zinatukima kutunzia hewa au maji au both kulingana na mahitaji at that particular time. Nyambizi zina air compressors ambazo zinaweza kubadilisha mgandamizo (pressure) wa hewa ndani ya hizo tanks.

Ili nyambizi izame ndani ya bahari, compressor zinapunguza pressure ya hewa kuwa ndogo kuliko ile ya maji, so maji yanaingia kwenye tanks na kufanya uzito wa submarine kuongezeka na kupunguza (sio kumaliza) uwezo wake wa kuelea(negative buoyancy).

Ili nyambizi itokeze kwenye surface ya bahari, pressure ndani ya tanks inaongezwa hivyo pressure ya hewa inakua nzito kuliko pressure ya maji mpaka inasababisha maji yanatoke nje ya tanks, hiyo inaongeza uwezo wa nyambizi kuelea (positive bouyancy). Kumbuka hata kumaintain kina (depth) ya nyambizi kwenye maji hii process inakua inaendelea all the time kuhakikisha a certain balance kati ya uzito wa nyambizi na mgandamizo wa maji inapatikana maana ressure ya maji inapishana kati ya eneo moja la bahari na linguine.

Njia rahis ya kuelewa operation ya hizo tanks, ingawa sio mfano mzuri saana, ni kwa kutumia bomba la sindano (syringe). Ukiapply pressure maji yanatoka unabakiwa na hewa, ukiachia pressure, unavuta maji na hewa inatoka. Pia unaweza tazama video kwenye link hapo chini.

View attachment 278357
View attachment 278358
View attachment 278359

https://www.youtube.com/watch?v=yb3e4IegeJ0

Asante mkuu
 
Mkuu inaelekea uliwahi kuwa kilaza darasani au mbishi kuelewa(natania tu) kwani uliingia ndani ya swiming pool ukakojoa mkojo hautoki? Ukilipata jibu la hapo utakua unelipata na jibu la hapa.

Hahaha, nimekusoma mkuu, ...mimi ni katika wale waliokuwa wanaogopa umande
 
Nadhani ni Yale maji yanayotoka kupoza injini. Japo sina uhakika, maana hata ikiwa imetia nanga huwa in a to a maji nje, pia huwa haizimi injini zake hata kama imepaki sijui pia KWA nini.
 
Mungu nisamehe,nilikuwa Forodhani kipindi fulani na My Son.Maana pale meli kibaoo
Alinipiga swali hili aisee nilivyojibu najua mwenyewe.Hapa na print nampa asome.
Ila simpi bure,namuongezea na uongo mwingine,yaani uongo mweupe.Kwa kumuambia hii ndio teknolojia ya kisasa kwa meli za kisasa,ile niliokujibu mie mwaka jana pale Ocean front ni meli za mfumo wa zamani.Ila ukiulizwa jibu kama umevyosoma hapo.

Unajua wakuu vitu vingine tunapishana navyo,ila mtu kuuliza unaona aibu,na hawa watoto siku hizi watatuumbua saana,akisikia baba amesoma mpaka chuo kikuu na Degree basi anajua baba yake amesomea mambo yooote hadi mitishamba.

Hahahaaaaa mkuu nimecheka sana.
Asante.
 
Huu uzi kila siku nilikua naupita kumbe umesheni elimu nzuri sana... sasa nifafanulieni na ile kitu niliona kwenye movie ya Captain Phillips wale maharamia wa kisomali walivyokua wanachapwa na maji yale yalokua yanatoka juu...ile haiwezi kuathiri uzito na balance ya meli? Daaaah wasomali walikoma japo walifanikiwa kupanda melini
Ngoja waje tuendeleze mjadala kuijua vizur meli mkuu
 
Back
Top Bottom