Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamaduni huu ni changamoto sana ndani ya taifa letu, shida nini? Hasa
1. Elimu yetu ni mbovu?
2. Au ni umasikini?
3.Au ni taifa letu limekufa
4. Jamani shida nini? Na tufanye nn I'li kuondoa huu uccmulism na uchadalism?
Sii tu humu jamii forum lakin pia sehemu mbali,maofisini, kuna kasumba hiyo.Toa mifano, maana wengi wasifiano wamekwishajinasibisha na chama tawala na wapingap wengi wao wamekwishasema mara kadhaa wao wako upande gani.
Mafano kwa hapa jf ..
Lucas Mwashambwa
Tlaatlaah n.k hawa ni chama tawala.
Erythrocyte mwanachadema
Vishu Mtata huyu hafungamani na upande wowote.
Mpaka kizazi choote cha Sukuma gang kipukutike ndipo kauli hizo tata zitakapopotea.Utamaduni huu ni changamoto sana ndani ya taifa letu, shida nini? Hasa
1. Elimu yetu ni mbovu?
2. Au ni umasikini?
3.Au ni taifa letu limekufa
4. Jamani shida nini? Na tufanye nn I'li kuondoa huu uccmulism na uchadalism?
acha ushirikina gentleman,Toa mifano, maana wengi wasifiano wamekwishajinasibisha na chama tawala na wapingap wengi wao wamekwishasema mara kadhaa wao wako upande gani.
Mafano kwa hapa jf ..
Lucas Mwashambwa
Tlaatlaah n.k hawa ni chama tawala.
Erythrocyte mwanachadema
Vishu Mtata huyu hafungamani na upande wowote.
Natangaza kugombea Ubunge 2025 Jimbo la Kyela kwa Tiketi ya ChademaToa mifano, maana wengi wasifiano wamekwishajinasibisha na chama tawala na wapingap wengi wao wamekwishasema mara kadhaa wao wako upande gani.
Mafano kwa hapa jf ..
Lucas Mwashambwa
Tlaatlaah n.k hawa ni chama tawala.
Erythrocyte mwanachadema
Vishu Mtata huyu hafungamani na upande wowote.
ma snichi wapo wengi sana,hata maofisini shida tupu.Utamaduni huu ni changamoto sana ndani ya taifa letu, shida nini? Hasa
1. Elimu yetu ni mbovu?
2. Au ni umasikini?
3.Au ni taifa letu limekufa
4. Jamani shida nini? Na tufanye nn I'li kuondoa huu uccmulism na uchadalism?