Hivi ni kwanini mtu akihoji viongozi anaambiwa ni CHADEMA na akisifia viongozi anaambiwa yupo CCM?

Hivi ni kwanini mtu akihoji viongozi anaambiwa ni CHADEMA na akisifia viongozi anaambiwa yupo CCM?

Ukiona mtu hataki;
kukoselewa
kuambiwa ukweli
kupata ushauri tofauti na wa mawazo yake
Huyu mtu ni mufilisi na hajitambui
 
Ukiona mtu hataki;
kukoselewa
kuambiwa ukweli
kupata ushauri tofauti na wa mawazo yake
Huyu mtu ni mufilisi na hajitambui
Kuna tatizo la baadhi ya watu kudhani kwamba ni serikali tu ndio inapaswa kukosolewa.
 
Back
Top Bottom