CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,502
- 25,470
Siku hizi unakuta kijana kavaa Suruali chini ya Makalio,sasa hapa atapigana vipi? Si itaanguka! Watoto wa siku hizi ni ubishoo na vimatusi kwenye social media tu,Kijana kapaka poda,cream ya kulainisha ngozi na hereni sikioni,saa ngapi atawaza kupigana? Afya zenyewe siku hizi ni mchoko tu,unaweza kukuta mtu anatembea kumbe kisha jifia zamani! Ukigusa tu unakua umenunua kesi ya mauwaji!
Halafu zamani eti ukipigana lazima uvue shati ili lisije kuchanika na Mama akajua home kua umepigana,
Where are those gold days aiseee?!
Halafu zamani eti ukipigana lazima uvue shati ili lisije kuchanika na Mama akajua home kua umepigana,
Where are those gold days aiseee?!