Hivi ni kwanini siku hizi watu hawapigani mitaani kama miaka ya 1980s?

Hivi ni kwanini siku hizi watu hawapigani mitaani kama miaka ya 1980s?

Sikumbuki kama niliwahi kumpiga mtu wa rika yangu zaidi ya kutembezewa kichapo tu .
Nilikua nawaonea wadogo kiumri .
Rika langu walikua wananifumua sana tu,uzuri nilijenga urafiki na mabaunsa ndo walikua wananiokoa

Napendaga watu wanaozungumza ukweli kama wewe
 
msinikumbushe enzi za watemi wa wazamani.akina double difu(rip) na kidume (rip).hao wote walikuwa ni mabaunsa ktk kumbi mbalimbali za starehe hapa town dsm.

walikuwa wanafanya kazi ya ziada sana maana zama hizo disko likuwa haliishi bila watu kupigina.Mara nyingi chanzo nilikuwa ni mwanamke.


Siku hizi watu wanapigana na maisha.ugumu wa maisha na harakati za utafutaji ni kipigo tosha

Dah,huyo Double dif japo sikuwahi kumuona nilimsikiaga kipindi hicho nipo mitaa ya kwa Aziz Ally
 
Siku hizi kuna vifo vya ghafla, zamani ukisikia njemba imekufa kijijini ujue ameliwa na Simba au ameuwawa na nyati au tembo kwenye harakati za kuwinda au kutega wanyama.
Siku hzi ukipiga story na mtu ukikohoa tu mtu anadondoka.
 
Siku izi ukirusha ngumi. Wanakupiga chupa ya kichwa. Ndio maana watu wamekuwa wastaarabu. Au unapigwa spana ya mdomoni lazima meno yatoke. Na ndio maana mtaani ukipata mdaa ukapita unakutana na vijana wengi awana meno iyo ni spana ya mdomo. Maeneo mengi vijana wamepoteza meno
Wee utakuwa mtu wa garage tu, lazima...
 
Daah, ilikuwa si mchezo, yaani watu wazima, mbabe wa kila mtaa wanakutana na zinakunjwa huku watu wamezunguka
Nakumbuka Mtaani kwetu kulikuwa na Zitto na Jamali, sikumtimu zao zinacheza lazima mkono uwekwe


Duuuuuu, Umenikumbusha 😀😀😀😀Umenikumbushaaaa Enzi hizoooo, Dah Jamall na Zitto, Kinondoni Moscow Viwanja vya Ananasif P.S au Mkwajuni, Aisee zilikuwa zinapigwa mtaa mzima. Aisee maisha yalikuwa soft sanaaaa, vichwa vilikuwa vimejaa maji tu. Unakumbuka timu za mpira za enzi hizo TP Nyundo, Berlin😀😀
 
Duuuuuu, Umenikumbusha 😀😀😀😀Umenikumbushaaaa Enzi hizoooo, Dah Jamall na Zitto, Kinondoni Moscow Viwanja vya Ananasif P.S au Mkwajuni, Aisee zilikuwa zinapigwa mtaa mzima. Aisee maisha yalikuwa soft sanaaaa, vichwa vilikuwa vimejaa maji tu. Unakumbuka timu za mpira za enzi hizo TP Nyundo, Berlin😀😀

Dah, niliandika hao watu ili nijue ni nani wa kitaa, dah TP Nyundo kiwanja kilikuwa pale Mkwajuni, Berlin timu ya kina Manyama, Moshi Majungu, Andogo, Nyange kiwanja chao kilikuwa pale mwembe jini, dah zamani sana hiyo kaka,
 
Majuzi humu mshana alimwambia mtu yeye kama mwanaume kweli wakutane sehemu wafuane... Hahahahaha sasa sijui walikutana
 
Nakumbuka miaka ya 80-90 ilikuwa jambo la kawaida kukuta jamaa wanapigana mitaani halafu watu wanashangilia sana.

Yaani ukiwa mtemi au gangwe basi unaonekana wa maana sana. Hata baadhi ya disco ilikuwa lazima ziishe kwa ngumi.

Kwa wale wa Iringa mtawakumbuka kina cool 9, shedadi, Ray nk
Mbeya walikuwepo jamaa wawili warefu miraba mi4..mmoja anaitwa YESU na mwingine alikuwa anajiita Shetani
 
Juzi kati tu hapa tuko kwa mama muuza tunakula vyombo jamaa mmoja eti anajifanya mwanajeshi aninyang'anye kofia yangu. Nikamuonya, usiniletee uanajeshi wako kwenye kibanda cha gongo ntakupindua pindua tuharibu starehe za watu hapa. Hakunielewa akaendelea kuvuta kofia yangu anadai kama sio ya jeshi twende kambini nikaone nyingine kama hii.
Sikumchelewesha tena nikampa nakoz moja chini ya jicho akaenda nayo mpaka chini akarudi anayumba kalowa damu. Jamaa akanishika akaniambia twenzetu. Wale wa kitaani wakawa wanagopa ataleta mapoti wenzie, mpaka Leo kimya nafikiri kashapata discpline.
 
Sio kila homa ni malaria zama zimebadilika.
Watemi wamepungua fursa za maisha ni chache watemi wa mtaa wanawahia fursa
 
Daaah! mleta mada umenikumbusha mbali miaka ya 1995_2000 kesi nyingi sana nilipelekewa nyumbani.Kwanza kunadogo alipokea ndosi/teke la kivandame alivunjika mkono,kesi ambayo ndiyo ukawa mwisho wa kupigana ni pale kijana mmoja nilimpa free header na alizimia 30minutes hapo ndipo kijasho chembamba kilinitoka na kuvua gloves rasmi.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] eti freehader nimecheka sana mkuu
 
Back
Top Bottom