Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?


Nimelemaa hata mimi . limenikaa sana kichwani
 
"mkuu" ni heshima........katika lugha nyingine unapotaka kuongea na mtu usiomjua unatumia kigezo maalum. kama " mheshimiwa au mkuu" Hpa JF "mkuu" inatumika sana hata katika matusi wapo wanapotumia neno la mkuu
 
"mkuu" ni heshima........katika lugha nyingine unapotaka kuongea na mtu usiomjua unatumia kigezo maalum. kama " mheshimiwa au mkuu" Hpa JF "mkuu" inatumika sana hata katika matusi wapo wanapotumia neno la mkuu

Ok . sawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…