Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe msamiati mbadala na sahihi
Yani kwa kweli neno mkuu ni km legal term ndani ya jf inayodumisha kuheshimiana,kuthaminiana, na zaidi ni brand ya hekima na busara ya jamii yetu watanzania.hivyo linapotumika humu huakisi vyote hivyo nilivyovitaja.na ukitaka kumjua mtu ni member wa jf hata kwa msg za kawaida au maongezi yyte hukosi kusikia neno mkuu toka kwake.
Watu wa tanga itabd msitumie neno mkuu maana kwenu ni shida
"mkuu" ni heshima........katika lugha nyingine unapotaka kuongea na mtu usiomjua unatumia kigezo maalum. kama " mheshimiwa au mkuu" Hpa JF "mkuu" inatumika sana hata katika matusi wapo wanapotumia neno la mkuu
Huko kwenu ni nini???
Kwetu inatumika kama itumikavyo hapa jf mkuu
Ook mkuu
Ninyi huko mna "mkuu" mara "odo",yaan full misamiati
Wewe wakaa wapi kwani??
Niko mbeya mkuu
Karibu tanga. Tanga Raha
Karibu tanga. Tanga Raha
Usijali mkuu,huko nimejifunga maisha c nimeoa dadako wa kitanga
Tanga barabara ya ngapi?
Ndo hivyo mkuu