Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu + ndugu inakuwa mkuundugu yanguMimi natumia neno ndugu badala ya neno mkuu kwakuwa Mimi sio mkuu
Hiyo "Bwashee" nimekutana nayo miaka kadhaa nyama kule kwa Mbowe, sehemu moja inaitwa "Mkuuanamboo" ikitumika sana na watu wa rika zote hasa kwenye vioski vya mbege. 😂Upo sahihii mkuu, japo mimi napenda kutumia "bwashee" kwa id ninayohisi ni yakiume, madem wa humu siwazingatii maana vijana wanatumia majina na avatar za pisi za kugugo ilhal wao ni wasela