Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

JF ILIKUWA YA WASOMI NA WANAOTUMIA UBONGO KUFIKIRI,WENGI WAO ENZI HIZO WALIKUWA WAMEAJIRIWA KWENYE VITENGO MBALIMBALI,HIVYO IKAONEKANA NENO "MKUU" LINAFAA KUWAPA SIFA WENYE AJIRA NA WASOMI !

Ila tangu JF ilipovamiwa na kidudu mtu aitwaye GENTAMYCINE imepoteza mvuto,JF imebaki ya Maparang'ang'a !
 
Katika maneno ya kitambo Huma JF nalo Hilo nimiongoni, Ila Kwa namna JF ilivyovyamiwa siku hizi Unaweza jikuta wewe mtu mzima na heshima zako unakapa heshima kitoto cha afu mbili Kwa kukiita mkuu
Halafu unaweza kuta ni mwanao wa kumzaa unamwita mkuu! Mimi siku hizi natumia neno ndugu badala ya mkuu ili kuepuka aibu ndogondogo kama hizi.
 
Kwa Ufupi Ni kwamba Jamiiforum Ina watu wa umri tofauti rika Tofauti, Jinsia Tofauti na Wadhifa tofauti..
Ili kuepusha Mwingine Kuhisi Kavunjiwa Heshimu Basi Mkuu Hutumika Ili kuNeutralize Effect ya Salutation..

Ila pia Mkuu inafanya Kuwe Na Heshima Ya Pamoja..
Kuliko Kuitaja Dogo, We fala au Na Mwngine
 
Nimefikiri nikawazua na wala sijapata majibu wakuu hivi kwanini jamii forum tunapenda kuitana mkuu? Na hili neno mkuu limetokana na vp mpaka watu wakaanza kuitana mkuu?

Maana Mkuu, Mkuu, eti mkuu watu hatujuani na tunatumia id's fake lakini bado tunaitana wakuu kwanini mkuu na si jina lingine kama dada, kaka, shangazi au mpwa kama linavyotumika kule X ila ukija huku ni mkuu Why?
Ni respect to Mkuu! Ni kama wanasheria wanavyo itana "Msomi".
 
Kwa Ufupi Ni kwamba Jamiiforum Ina watu wa umri tofauti rika Tofauti, Jinsia Tofauti na Wadhifa tofauti..
Ili kuepusha Mwingine Kuhisi Kavunjiwa Heshimu Basi Mkuu Hutumika Ili kuNeutralize Effect ya Salutation..

Ila pia Mkuu inafanya Kuwe Na Heshima Ya Pamoja..
Kuliko Kuitaja Dogo, We fala au Na Mwngine
Ni kwel mkuu, kuna namna ukisema "acha upumbavu mkuuu" , neno mkuu limepooza neno mpumbavu kwa siri sana mkuu🤣🤣🤣
 
Nimefikiri nikawazua na wala sijapata majibu wakuu hivi kwanini jamii forum tunapenda kuitana mkuu? Na hili neno mkuu limetokana na vp mpaka watu wakaanza kuitana mkuu?

Maana Mkuu, Mkuu, eti mkuu watu hatujuani na tunatumia id's fake lakini bado tunaitana wakuu kwanini mkuu na si jina lingine kama dada, kaka, shangazi au mpwa kama linavyotumika kule X ila ukija huku ni mkuu Why?
Huo ndio Utanzaniast. Usituletee mambo yako ya Kwinya mkuu
 
Ni kwel mkuu, kuna namna ukisema "acha upumbavu mkuuu" , neno mkuu limepooza neno mpumbavu kwa siri sana mkuu🤣🤣🤣
Upo sahihii mkuu, japo mimi napenda kutumia "bwashee" kwa id ninayohisi ni yakiume, madem wa humu siwazingatii maana vijana wanatumia majina na avatar za pisi za kugugo ilhal wao ni wasela
 
JF ILIKUWA YA WASOMI NA WANAOTUMIA UBONGO KUFIKIRI,WENGI WAO ENZI HIZO WALIKUWA WAMEAJIRIWA KWENYE VITENGO MBALIMBALI,HIVYO IKAONEKANA NENO "MKUU" LINAFAA KUWAPA SIFA WENYE AJIRA NA WASOMI !

Ila tangu JF ilipovamiwa na kidudu mtu aitwaye GENTAMYCINE imepoteza mvuto,JF imebaki ya Maparang'ang'a !
Mkuu umenichekesha mpaka watu wameniona chizi.
 
JF ILIKUWA YA WASOMI NA WANAOTUMIA UBONGO KUFIKIRI,WENGI WAO ENZI HIZO WALIKUWA WAMEAJIRIWA KWENYE VITENGO MBALIMBALI,HIVYO IKAONEKANA NENO "MKUU" LINAFAA KUWAPA SIFA WENYE AJIRA NA WASOMI !

Ila tangu JF ilipovamiwa na kidudu mtu aitwaye GENTAMYCINE imepoteza mvuto,JF imebaki ya Maparang'ang'a !
Ukiwa umeajiriwa ndo unaitwa MKUU

Hoja ya kitoto Sana

Mkuu inalenga kuondoa mkaganyiko badala ya kumuita MTU kaka na Dada unamuita mkuu
 
Back
Top Bottom