Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Neno Mkuu kidogo linaweza kutumiwa kwa jinsia zote mbili maana hizi Id zetu feki ni ngumu kujua Me na Ke... ikiita mtu Mkuu kwa jinsia yoyote ile hawez leta makasiriko
Nakubari, maelezo yamenyooka
 
Wacha tafsir mbaya wew, hilo Neno liko vzr kabsa na linatumika vzr, kwanza linatumika kumpa heshima yule unayeMtag ama unayemreply ktk thread.

[emoji117] Pili kama walivyosema hao wengine neno mkuu ni mbadala wa majina&identity zisizomuhusu mwana JF kwa ID yake, mfano wewe humu kwa wasiokujua hawawezi kukuita Mjomba, shangazi, mzee baba, dingi, brother, sister, dada, kaka ama vyovyote vile maana hawana uhakika na jinsia yako hivyo watatumia Neno "mkuu'' ambalo ni multipurpose linaitika ktk jinsia zote.

[emoji117] Tatu Neno mkuu linaipa sifa JF kuwa na Utukufu wake wa Members ambao kweli ni great thinkers na kujitofautisha na platforms zingine huko za kijamii ambazo watu huitana kwa majina ya kejeli&utani&dharau, humu wote mnatambulika kama WAKUU yaana hata wale vichwa panzi wasiopenda kutumia akili humu hawabaguliwi bado ni WAKUU kwa maana great thinkers.

Hilo ni jibu langu kwako MKUU ukiona hupendezwi na namna ya huu muito hamia kwa wenzako wa Twetter kule wote wanaharakati.
Perfect 💯
 
Kuna boss fulani wetu alikuwa mkuda sana so badala ya kumwiita boss tukawa tunamwiita MKUU anafurahi sana kumbe sisi tulimaanisha MKUUUNDU,sasa alivyokuja kugundua tunachomaanisha kwake ilikuwa balaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].So kila mtu akikuita mkuu anamaanisha hiyo[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Kwa sababu ya ID fake, na ile hali ya kutokujuana (yawezekana ukawa unapingana hoja na mzazi wako n.k) hupelekea watu kutumia lugha ya busara ya kuitana wakuu badala ya kuitana mburura.​
 
Back
Top Bottom