Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Hatar mkuu fayaaa Subir uletewe ukimwi tena nikimuambia Leo nina genye fanya utaratibu faster anakuja kukupanda Ushauri wangu beba kilainishi usiumie

Sent by IPhone
Usijidharirishe bna, sio jambo jema.
 
Ukijiunga JF unapata cheo cha Mkuu, Kwaiyo usijali sana Mkuu
 
Mkuu usiogopa... humu hakuna mambo ya Mombasa.... hujalipiwa Mkuu
 
Hili jina la (mkuu) ni jina maarufu Sana humu JF majukwaa mbalimbali lazima ukute members wanaitana ivo.

Je, neno (Mkuu)Lina histori yeyote humu JF au lipo kwa ajiri ya heshima tu kuitana mkuu.

Wakuu naomba majibu yenu me ni mshamba humu JF😄

images.png
 
Back
Top Bottom