Aysenem
Senior Member
- Dec 19, 2019
- 140
- 171
Sababu (reason) ndo nahitajiKwa sababu sisi ni wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu (reason) ndo nahitajiKwa sababu sisi ni wakuu
Huu uzi mwingine mkuu jibu hojaMkuu umeshapata yule mchumba unaemtafuta kwa kutumia mwavuli wa kutafuta rafiki wa kuchat?
Sijasema km kuna shida
Mkuu ID yako ya zamani ni ipi?Huu uzi mwingine mkuu
Sina mkuu na sijawahi kuwa nayoMkuu ID yako ya zamani ni ipi?
GoodSababu hatujuani,
haujui huyu me au ke, wala utambulisho wake wala jina lake ndio maana tunaitana majina ya avatars,au jina lolote lisilovunja Sheria za jf,mkuu,chief,kiongozi,boss, avatar,fake I'd,alien,asiyejulikana NK.
Kwani kuna tatizo mkuu? Uzi kama huu ulianzishwa 2013 au 14 wewe umeurudia, kipindi hicho Chris lukosi polisi mstaafu kabla ya umri alikuwa yupo hot sana jf hadi kupata tuhuma za kula....
Kama umefahamu, subiri mtiani mkuu.Good
Nmefaham
2013/2014 bado mdogo sana nasoma sec hata jamii forum sijaisikiapoKwani kuna tatizo mkuu? Uzi kama huu ulianzishwa 2013 au 14 wewe umeurudia, kipindi hicho Chris lukosi polisi mstaafu kabla ya umri alikuwa yupo hot sana jf hadi kupata tuhuma za kula....
Mkuu wewe ni mgeni halafu unajua mpaka maana ya ID?!Sina mkuu na sijawahi kuwa nayo
Kipi cha ajab ID ni IdentityMkuu wewe ni mgeni halafu unajua mpaka maana ya ID?!View attachment 1300625
Umeona uzi ushaunganishwa, angalia sasa Uzi orijino ni wa lini2013/2014 bado mdogo sana nasoma sec hata jamii forum sijaisikiapo
Mm nmejikuta tu najiuliza hivi kwa nini naitwa/naita mkuu
Hata uzi wangu wa kwanza kuna mtu alinambia "sasahv ww ni mkuu na kila mtu humu ni mkuu" hivyo yani
Nimekuwa humu kwa kipindi kidogo lakini hili la kuitana 'Mkuu' limekuja tu. Sijui kwanini wakuu?