Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Bado sijalaHelooo honey..,....umeshakula?.....nimekuhamu sana mwenzio
😀😀😀😀
Inasound good, kuliko ingekua hello Mkuu umekula, inakua kama unamwambia msela bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado sijalaHelooo honey..,....umeshakula?.....nimekuhamu sana mwenzio
Hahahaha....haya mwaya...msalimie MBITIYAZABado sijala
😀😀😀😀
Inasound good, kuliko ingekua hello Mkuu umekula, inakua kama unamwambia msela bana
majibu haya yamejitosheleza mnoo tuHili Neno Lilianza Miaka 2011 Hapo Ndo Jamiiforums Najiunga Ilikuwa Hivi Kipindi Hicho Member Wengi Wa Jf Walikuwa Wazee/watu Wazima Na Suala La Kujua Jinsia Ya Mtu Kipindi Hicho Ilikuwa Tabu Sana Mwanaume Hajulikani Na Mwanamke Hajulikani Maana Id Name Za Humu Zilikuwa Za Majina Ya Ukakasi Sana, Sasa Ukazuka Mtindo Wakuitana `dogo` Na Kuoneshana Dharau Basi Hicho Kitendo Kikawakela Wengi Ikabidi Walizungumzie Hilo Swala Kwa Kuanzisha Uzi Ili Kuwe Kuna Lugha Za Staha Kwakuwa Kuna Watu Wazima Humu Wengine Wazazi Wenu Basi Kwenye Uzi Huo Ndo Yakaibuka Maneno Hapo Hapo Watu Wakajibu `ndiyo Mkuu` Pamoja Mkuu `tumekusikia Mkuu` Na Maneno Mengine yakaibuka pia Kama `PAPUCHI` MBUNYE ` DUSHELELE `KITUMBUA` MTALIMBO nk unajua kwanini maneno haya yaliibuka ni kwasababu ya BAN na sheria za jf zilikuwa zinakataza kutoa lugha chafu,kutaja viungo vya mwili nk
hahahaMkuu napita. Cc: Wakuu wote
Kweli mkuu, yamkini Hili ni neno zuri linafaa kuenziwa ndani ya if. Mi nalikubali sana. Sana tu.majibu haya yamejitosheleza mnoo tu
mkuu hili neno mimi ndio huwa limenikaa mnoo..nahuwa nalitumia mpaka kwenye. maisha yngu yakawaida ..huwa nalipnda kwa sababu linataswira ya busara na adabuKweli mkuu, yamkini Hili ni neno zuri linafaa kuenziwa ndani ya if. Mi nalikubali sana. Sana tu.
Sawa babySipendi kuitwa mkuu sipendi sipendi
Majina yooote umekosa kweli si uniite hata baby.
Dume zima unakuta nalo eti "mkuu Eve" aaagrrr
Muitane huko wenyewe mi sitaki
wakuuWengi tulio humu ni wakurugenzi
Mkuu wako nani hapa ulomuita?
Acha kugeza usojua vyanzo wala misingi yake,utaita watu mabwana zako,we haya
sent by IPhone 6 using jamii forum app
Ha ha ha nakuona nakuonaSawa baby
HahahahaHa ha ha nakuona nakuona
Kwa sababu sisi ni wakuu
Kichwa cha habari kinajieleza