Simba Asiyefugika
JF-Expert Member
- Apr 20, 2017
- 600
- 239
kweli mkuuMkuu.....[emoji5] [emoji5] [emoji5]
Humu huwa tunajikuta hata tunawaita watoto wetu (Mkuu)
Hakika Ww Ni Mhenga Wa Jf.Hili Neno Lilianza Miaka 2011 Hapo Ndo Jamiiforums Najiunga Ilikuwa Hivi Kipindi Hicho Member Wengi Wa Jf Walikuwa Wazee/watu Wazima Na Suala La Kujua Jinsia Ya Mtu Kipindi Hicho Ilikuwa Tabu Sana Mwanaume Hajulikani Na Mwanamke Hajulikani Maana Id Name Za Humu Zilikuwa Za Majina Ya Ukakasi Sana, Sasa Ukazuka Mtindo Wakuitana `dogo` Na Kuoneshana Dharau Basi Hicho Kitendo Kikawakela Wengi Ikabidi Walizungumzie Hilo Swala Kwa Kuanzisha Uzi Ili Kuwe Kuna Lugha Za Staha Kwakuwa Kuna Watu Wazima Humu Wengine Wazazi Wenu Basi Kwenye Uzi Huo Ndo Yakaibuka Maneno Hapo Hapo Watu Wakajibu `ndiyo Mkuu` Pamoja Mkuu `tumekusikia Mkuu` Na Maneno Mengine yakaibuka pia Kama `PAPUCHI` MBUNYE ` DUSHELELE `KITUMBUA` MTALIMBO nk unajua kwanini maneno haya yaliibuka ni kwasababu ya BAN na sheria za jf zilikuwa zinakataza kutoa lugha chafu,kutaja viungo vya mwili nk
Teh Teh TehHakika Ww Ni Mhenga Wa Jf.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Mkuu wako nani hapa ulomuita?Habari Wakuu za mchana...
Hivi kwanini jf tunahitana Wakuu..
Asili ya neno mkuu jf ilianzia wapi?
Mkuu tangu umejifunza kupaka rangi na kuchora mistari imekuwa taabu sana..Hili Neno Lilianza Miaka 2011 Hapo Ndo Jamiiforums Najiunga Ilikuwa Hivi Kipindi Hicho Member Wengi Wa Jf Walikuwa Wazee/watu Wazima Na Suala La Kujua Jinsia Ya Mtu Kipindi Hicho Ilikuwa Tabu Sana Mwanaume Hajulikani Na Mwanamke Hajulikani Maana Id Name Za Humu Zilikuwa Za Majina Ya Ukakasi Sana, Sasa Ukazuka Mtindo Wakuitana `dogo` Na Kuoneshana Dharau Basi Hicho Kitendo Kikawakela Wengi Ikabidi Walizungumzie Hilo Swala Kwa Kuanzisha Uzi Ili Kuwe Kuna Lugha Za Staha Kwakuwa Kuna Watu Wazima Humu Wengine Wazazi Wenu Basi Kwenye Uzi Huo Ndo Yakaibuka Maneno Hapo Hapo Watu Wakajibu `ndiyo Mkuu` Pamoja Mkuu `tumekusikia Mkuu` Na Maneno Mengine yakaibuka pia Kama `PAPUCHI` MBUNYE ` DUSHELELE `KITUMBUA` MTALIMBO nk unajua kwanini maneno haya yaliibuka ni kwasababu ya BAN na sheria za jf zilikuwa zinakataza kutoa lugha chafu,kutaja viungo vya mwili nk
Ambacho hujakielewa ni nini mkuu?Habari Wakuu za mchana...
Hivi kwanini jf tunahitana Wakuu..
Asili ya neno mkuu jf ilianzia wapi?
Wewe Umejiunga 2015 Mie 2011 Sasa Nani Muhenga Hapo?Mkuu tangu umejifunza kupaka rangi na kuchora mistari imekuwa taabu sana..
sawa mkuu ila umeongopa kwa kusema umejiunga JF 2011 wakati umejiunga 2012Hili Neno Lilianza Miaka 2011 Hapo Ndo Jamiiforums Najiunga Ilikuwa Hivi Kipindi Hicho Member Wengi Wa Jf Walikuwa Wazee/watu Wazima Na Suala La Kujua Jinsia Ya Mtu Kipindi Hicho Ilikuwa Tabu Sana Mwanaume Hajulikani Na Mwanamke Hajulikani Maana Id Name Za Humu Zilikuwa Za Majina Ya Ukakasi Sana, Sasa Ukazuka Mtindo Wakuitana `dogo` Na Kuoneshana Dharau Basi Hicho Kitendo Kikawakela Wengi Ikabidi Walizungumzie Hilo Swala Kwa Kuanzisha Uzi Ili Kuwe Kuna Lugha Za Staha Kwakuwa Kuna Watu Wazima Humu Wengine Wazazi Wenu Basi Kwenye Uzi Huo Ndo Yakaibuka Maneno Hapo Hapo Watu Wakajibu `ndiyo Mkuu` Pamoja Mkuu `tumekusikia Mkuu` Na Maneno Mengine yakaibuka pia Kama `PAPUCHI` MBUNYE ` DUSHELELE `KITUMBUA` MTALIMBO nk unajua kwanini maneno haya yaliibuka ni kwasababu ya BAN na sheria za jf zilikuwa zinakataza kutoa lugha chafu,kutaja viungo vya mwili nk
sijjaonngopa sema hhujjuuii tu humu kukojesawa mkuu ila umeongopa kwa kusema umejiunga JF 2011 wakati umejiunga 2012
Very simple Mkuu.
Tunatumia neno "mkuu" sababu hatujuani humu,hatujui nani mkubwa na nani mdogo..hatujui nani mwanamke na nani mwanaume hivyo neno mkuu linafaa kutumika sehemu yeyote.
Nafikiri umenielewa kidogo mkuu
Hapo naamini umeelewa mkuuWalianzisha wahenga wa JF wakiwa na mtazamo wa kutunziana heshima kwa members.