Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Upo sahihii mkuu, japo mimi napenda kutumia "bwashee" kwa id ninayohisi ni yakiume, madem wa humu siwazingatii maana vijana wanatumia majina na avatar za pisi za kugugo ilhal wao ni wasela
Hiyo "Bwashee" nimekutana nayo miaka kadhaa nyama kule kwa Mbowe, sehemu moja inaitwa "Mkuuanamboo" ikitumika sana na watu wa rika zote hasa kwenye vioski vya mbege. 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…