Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Mkuu acha mfumo dume kwani wanawake hawastahili kuwa wakuu. acha hizo mkuu
 
Sasa humu utajuaje kuwa huyu ni mtoto au mkubwa ili usitumie neno mkuu? watu wengine ni pasua kichwa.
 
Kuna katabia ka kuitana mkuu i don't like sijui nyinyi wenzangu kitu kidogo "mkuu" mpaka watoto wa kike nao utawasikia "mkuu" Janaume nalo linamuita mtoto wa kike "Mkuu" Cc. nifah

kweli MKUU, hii si tabia nzuri MKUU ya kuitana waKUU na mim nakuunga mkono MKUU.....
 
Last edited by a moderator:
Kuna katabia ka kuitana mkuu i don't like sijui nyinyi wenzangu kitu kidogo "mkuu" mpaka watoto wa kike nao utawasikia "mkuu" Janaume nalo linamuita mtoto wa kike "Mkuu" Cc. nifah

Tumekuelewa mkuu
 
Last edited by a moderator:
Kuna katabia ka kuitana mkuu i don't like sijui nyinyi wenzangu kitu kidogo "mkuu" mpaka watoto wa kike nao utawasikia "mkuu" Janaume nalo linamuita mtoto wa kike "Mkuu" Cc. nifah
Ni kweli kabisa, Mkuu; haka katabia kanakera sana atii, sasa tufanyeje Mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Acha wenye adabu na heshima waendelee kutumia "Mkuu".
 
Back
Top Bottom