Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Dunia hii kuna vitu viwili huwezi kupambana navyo muda na wanaume, wanawake ni dhaifu hata wewe unalijua hilo , binafsi nakushauri tafuta mwanaume wa tabia unayopenda uishi nae maana muda utakuacha ukiendelea kufikilia na kujilinganisha na mwanaume then utakuja baadae kuleta post za lawama pale unapo fikia menopause huwez kuzaa unabaki unalialia tu, alafu wanaume size yako bado wanadumu na kuzaa na vitoto ambavyo wew unaweza kuvizaa ndio dunia hii dada we are not the same.
 
Vitabu vya Mungu vimemfeva sana mwanaume kuliko mwanamke.
Tumekua programmed tangu utotoni kwamba men are more superior and more deserving than women.

Unknowingly, we feel entitled to do wrongs and be tolerated, but a woman is supposed to behave properly at all times. We have been programmed like that.

Laumu vitabu vya Mungu, sio wanaume. kama vitabu vya Mungu vingeandikwa katika maudhui ya usawa basi maisha, na jinsi tunawavyowachukulia wanawake ingekua tofauti.

Kwa vile hatuwezi kubadili maandiko, hata mtoto wa kiume utakaemzaa kesho atakuzwa na mafundisho haya haya tuliyokuzwa nayo sisi na atabehave kama tunavyobehave sisi watu wazima, na hii endless cycle haitaweza kuwa broken.
 
Summary wanaume hawaeleweki,hawajui watakacho, ni mapopo vigeugeu geuka, wakipewa bila shida wanadai ni umalaya, wakinyimwa wanadai ni ushamba, wakizungushwa wanauliza kwani ke hawanaga hamu, wakiombwa hela wanadai ni ugold digger, wasipoombwa wanadai uko cheap....nakuendelea
 
Kama ingekuwa tunaendana na tupo sawa basi pele lingekua limempata mkunaji..

Mnasema hamna cha kupoteza eti niiiiniiiiiii ??? Iyo kitu ikishakuwa ndala utajiringanisha na ya binti wa miaka 18 hebu shika adabu yako...

Kimsingi nyie ndio mnaongoza kwa kulalamika na kuongea sana kuhusu wanaume..hebu fikiria kuna taasisi ngapi mmeanzisha kwa ajili ya kuwatetea wanawake ?????na za wanaume zipo ngapi ???

Tena mkafika mbali eti mnataka haki sawa yani 50/50 tukasema hakuna shida akija kaka jambazi huko nnje anza kutoka wewe mkasema ooihh haki sawa hatukumaanishi hivyo...

Dhambi zetu haziwezi kuwa sawa hata kidogo wewe unatia sisi tunatia mwanaume anaweza kuwapa mimba wanawake 10 ndani ya mwaka mmoja je wewe kama mwanamke peke yako unaweza kushika mimba 10 ndani ya mwaka mmoja..

Tunapoamua kuwa wanaume nyie wanawake inatakiwa mshinde jikoni ata hivyo mshukuru tumewahurumia sana..

Njoo pm baby tuongezee zaidi
 
Summary wanaume hawajui watakacho, ni mapopo vigeugeu geuka, wakipewa bila shida wanadai ni umalaya, wakinyimwa wanadai ni ushamba, wakizungushwa wanauliza kwani ke hawanaga hamu, wakiombwa hela wanadai ni ugold digger, wasipoombwa wanadai uko cheap....nakuendelea
Shaur yenu mimi Nipo hapa Denmark nakula maisha tuu Pambaneni na hali zenu

Endelea kufanya uhanarakati wa usawa
Mtanyooka tuu

Mwanaume Sio Sawa na mwanamke
 
Vitabu vya Mungu vimemfeva sana mwanaume kuliko mwanamke.
Tumekua programmed tangu utotoni kwamba men are more superior and more deserving than women.

Unknowingly, we feel entitled to do wrongs and be tolerated, but a woman is supposed to behave properly at all times. We have been programmed like that.

Laumu vitabu vya Mungu, sio wanaume. kama vitabu vya Mungu vingeandikwa katika maudhui ya usawa basi maisha, na jinsi tunawavyowachukulia wanawake ingekua tofauti.

Kwa vile hatuwezi kubadili maandiko, hata mtoto wa kiume utakaemzaa kesho atakuzwa na mafundisho haya haya tuliyokuzwa nayo sisi na atabehave kama tunavyobehave sisi watu wazima, na hii endless cycle haitaweza kuwa broken.
Leo mnakumbuka vitabu vya mungu eeeeh, wanaume wanafiki sana
 
Maandiko yapo very clear, hayajamruhusu binadamu yeyote kutenda dhambi (si mwanaume wala mwanamke)

Maandiko hayo hayo unayosema wanaume "wameyatumia vibaya" yapo straight forward mwenye kustawisha familia ni mwanamke (mithali inasema:mwanamke mpumbavu ataivunja nyumba yake kwa mikono yake)

Kama Mungu angetaka tuwe sawa sawa,tungeona katika maandiko wanawake wakiishi na wanaume zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja kama ilivyo kwa wanaume,(kwa imani zote unakuta mwanaume mmoja ana wanawake watatu wanne na kuendelea,na wote wanaishi pamoja pasipo tatizo kabisa)

Sasa fanya utafiti wako wako kwa kadri unavyoweza,ulete marejeo yanayokupa usawa katika mahusiano?HAKUNA!

Na ndiyo maana muoaji analazimika kuleta mahari kwa mwanamke,unajua ni kwa nini? Umewahi kujiuliza utamaduni huu una msingi gani?

Mwanamke anapokuwa cheap sana,thamani yake inashuka sana,na wanaume wakimtaka mwanamke kingono bila mafanikio,wengi wao humuheshimu zaidi mwanamke huyo na kuanza kumpigania ili wamuoe (thamani ya mwanamke iko mikononi mwake mwenyewe)
 
Back
Top Bottom