Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Basi wanaume endeleeni kuongelea maovu ya wanawake ili muonyeshe huo utofauti halafu tuone kama hiyo jamii mnayoitaka itakuja kuwepo wewe sitaki kubishana na wewe maana hauna hoja zaidi ya kulazimisha kitu kile kile usawa nabishana na wenye hoja tafadhali
Hunijui vema, siko humu jukwaani kubishana. Natoa mchango. wangu tu, si lazima ukufurahishe na hiyo ndiyo democracy.. JF where we dare talk openly and I am doing just that!!
 
Kama ingekuwa tunaendana na tupo sawa basi pele lingekua limempata mkunaji..

Mnasema hamna cha kupoteza eti niiiiniiiiiii ??? Iyo kitu ikishakuwa ndala utajiringanisha na ya binti wa miaka 18 hebu shika adabu yako...

Kimsingi nyie ndio mnaongoza kwa kulalamika na kuongea sana kuhusu wanaume..hebu fikiria kuna taasisi ngapi mmeanzisha kwa ajili ya kuwatetea wanawake ?????na za wanaume zipo ngapi ???

Tena mkafika mbali eti mnataka haki sawa yani 50/50 tukasema hakuna shida akija kaka jambazi huko nnje anza kutoka wewe mkasema ooihh haki sawa hatukumaanishi hivyo...

Dhambi zetu haziwezi kuwa sawa hata kidogo wewe unatia sisi tunatia mwanaume anaweza kuwapa mimba wanawake 10 ndani ya mwaka mmoja je wewe kama mwanamke peke yako unaweza kushika mimba 10 ndani ya mwaka mmoja..

Tunapoamua kuwa wanaume nyie wanawake inatakiwa mshinde jikoni ata hivyo mshukuru tumewahurumia sana..

Njoo pm baby tuongezee zaidi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Mkuu umetisha
 
Ni haki yangu maana linanihusu na Uhuru wakujiamulia kufanya jambo linalonipa furaha sio kubanwa na MTU yoyote yule kunipangia na mindset zake.
Hili sasa ndio tatizo ndio maana mnalia lia,inaonekana hujui hata haki yako ni ipi na lipi si haki yako.

Nakufundisha sasa sio kila jambo linalokupa wewe furaha ni haki yako au linakuhusu,huu sio uhuru bali ni utumwa wa matamanio ya nafsi,inatakiwa muwe mnajifunza mjue lipi lenu na lipi si lenu na kwanini.

Nimekupima kwa swali rahisi sana lakini umeshindwa kujibu,nimekuuliza unajuaje kama lipi lako na lipi sio lako. Furaha sio kipimo cha wewe kujua hilo linalo kufurahisha ni lako,nakupa mfano wapo ambao wanafurahia na kufurahishwa na uzinzi,ufisadi,dhulma,wizi,unyang'anyi,kusema uongo,umbea,unafiki,uzandiki,kusengenya na mfano wa hayo,je ni kweli hayo mambo anatakiwa mtu kuyafanya hata kama yanamfurahisha ? Sasa bibie unatakiwa utoke katika utumwa ulio nao,utumwa ambao unakufanya ufikirie mambo kitoto na kwa upande mmoja,na uhuru bila mipaka ni utumwa na kutumia akili vibaya.
Nchi lazima ifate haki za raia za wananchi wake Kwa kutoa usawa Kwa kila jambo Kwa watu wake
Mimi nimeamua kukufundisha sasa,baada ya kuona hujui kitu juu ya hicho unacho kidai,hakuna haki isiyo zingatia maumbile na silika.

Nakuuliza swali,je huanza haki au huanza nchi ? Kama huanza haki kisha haki zinasimamiwa ni wazi kabisa nchi imezikuta haki na nchi haina uwezo wa kuijua haki mpaka haki iwepo,unakubaliana na hilo ?

Lakini,kauli yako bado inaonyesha ya kuwa haki ndio ilianza na serikali inasimamia haki,sasa swali la msingi liko pale pale,je unajuaje kwamba hii ni haki yako na hii si haki kisha ndio serikali ije kuisimamia ?
Dini ambayo ni muongozo wa wanadamu imemkandamiza mwanamke hasa dini flani siitaji.

Najua unaashiria dini gani,naweza kukupa hata miaka elfu uonyeshe wapi imemkandamiza mwanamke kisha ujibu kila swali nitakalo kuuliza,najua hutaweza kujibu hata swali moja,sababu hata misingi ya haki na haki yenyewe huijui.

Unaiweza kuniambia hiyo dini imemkandamiza wapi mwanamke na wewe umejuaje hilo na marejeo yako ni yapi na kwanini hayo marejeo yako tuyafate ?
Ndio mana nili prefer mada huru bila kuingiza hizi dini maana hazi encourage watu kufikiria nje ya chupa
Naendelea kukufundisha bibie,hakuna mtu ambae anafikiria kwa uhalisia kuliko mtu mwenye dini,sababu mtu wa dini anakuwa na yote ya dunia na akhera,na anafikiria pale ambapo akili ilipokomea.

Nilikuuliza juu a kufikiria nje ya box,na ulitoa maana nzuri sana,ambayo kwa maelezo yako inaakisi ya kuwa kwanza uko kinyume na maana ile bali hujaielewa na huifanyii kazi pia. Katika maana yako ulizungumzia kuhusu faida na hasara au kama ulivyoandika,lakini ajabu kiutendaji na maandishi yako hayaonyeshi kama unazingatia faida na hasara katika kulitaka jambo.

Nipo ...
 
Marianah huu ndio Ulimwengu.

Ulimwengu wa pande mbili.

Giza na Nuru. Nuru inatawala giza.

Muumba na muumbaji.

Mtawala na mtawaliwa.

Masikini na Tajiri.

Mungu na Shetani.

Mwanaume na Mwanamke.

Mweupe na Mweusi. N.k.

Mwanamke yupo kundi la kutawaliwa. Hata afanye jambo gani zuri mtawaliwa ni mtawaliwa tuu. Atabaki kuwa mtumwa wa Mwanaume.

Utahangaika sana Kupambana na Nature.

Hilo lipo wazi hata kwa Viumbe wengine waliowengi.

Mwanamke akienda porini akikutana na Nyani au Sokwe hawezi kumtisha kwa lolote. Sokwe atamchukulia kama mwanamke tuu. Nyani atakuchukulia kama mwanamke tuu. Na ndivyo ilivyo. Wewe ni mwanamke utabaki kama mwanamke na utachukuliwa kama mwanamke.

Yaani tunaweza kusema. Mwanamke yupo upande dhaifu wakati Mwanaume yupo upande mkuu.

Hata Mungu pamoja ya kuwa hana Jinsia lakini Bado anaitwa Baba. Yaani mwenye nguvu, Mamlaka, Asiyekosea, Mtawala.

Mungu hawezi itwa Mama wala mwanamke kwa kuwa Mwanamke anasifa ya Kutawaliwa, Hana nguvu, anayekosea mara kwa mara, Anayeenda kila mwezi katika unajisi wake n.k.

Mwanamke pamoja na umuhimu wake lakini mpaka dunia inaisha atabaki kuonekana mkosaji siku zote.

Hata huko Ulaya wanapojitahidi kutetea haki zao lakini bado Mwanamke anachukuliwa kama kiumbe duni tuu.

Kuhusu Uovu. Dhambi ni dhambi haijalishi ni nani anaifanya.

Lakini Biblia inamtambua mwanamke kwa namna kadhaa. Moja ya namna hizo ni kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu sana.

Pia biblia uisemayo inamchukulia Mwanamke kama daraja la chini kabisa.

Moja, Biblia inamtaka mwanamke asihubiri mbele ya wanaume hasa wanaume halisi. Hii ni kutokana na kuwa Mwanaume hapaswi kuisikiliza sauti ya mwanamke bali mwanamke ndiye anapaswa kusikiliza sauti ya mwanaume.

Pili, Mwanamke maumbile yake yanamfinya na kumdunisha awapo kwenye makutano. mfano Biblia inamkataza Mwanamke aliyekatika siku zake kuingia mahali pa ibada. Yaani kanisani au msikitini.

Tatu, Mwanamke mchawi anatakiwa kuuawa. Lakini Biblia imenyamaza kuhusu mwanaume mchawi. Je haikujua kama kuna wanaume wachawi. Jibu ni hapana. Ilijua.

Lakini kwa vile Mwanamke yupo tabaka la chini kwa habari za jinsia ndio maana kawekewa sheria nyingi kuliko mtawala.

Wanaume ndio watawala ndio maana wanaweka sheria wazitakazo na zinazowanufaisha.

Hata Mungu kwa vile ndiye mtawala ndio maana akatuwekea sheria.

Wewe utabaki kulia lia humu lakini huna utakapofika. Ukirudi nyumbani utaosha vyombo, utapika, utafua kama sio zako ni za watoto. Utapangiwa muda wa Kurudi nyumbani. Yaani wewe umetawaliwa.

Kama hujanielewa hutanielewa tena.
Mkuu umemaliza ...
 
Hamtaki kutuletea, huoni wenzio wakileta matangazo ya kutafuta wake utasikia "awe na kipato" au awe na kazi ya kumuingizia pesa, means hawataki kutuletea.... Kuna mmoja jana humu amesema wanawake tutafute pesa zetu
Bibie,weka akilini hili,kwenye Wanaume kuna Wanaume.

Mwanaume kamili huyu wa pili,hawezi kumwambia Mwanamke alete hela nyumbani,kwanza anatoka katika maumbile na ni aibu kwetu sisi na hivyo ndivyo nilivyo mimi.
 
Sasa hutakiwi uandike unacho kiamini,uantakiwa uandike ukweli,kwenye kuanimi kuna imani potofu ambayo ya uongo pia.

Embu kaa utulie kisha uandike ukweli.
Ninandika chenye ukweli na uhalisia wa mambo Kwa mazingira ninayoishi. Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko kabisa aisee, why kuoneana wengine why why???
 
Wewe ulishawahi kumuona huyo mungu au vile viliandikwa na wanaume Kwa hisia mkajipendelea, acheni kujificha kwenye maandiko ili kukandamiza wanawake, eti mlaumu Mungu mxiiiiiew, ndio maana ili udumu na mwanamke lazima umuonee mwanamke, mabadiliko ya sasa ya wanawake kuwa huru mnabaki kulia lia umagharibi, I'm happy wanawake sasa tuna raise against all forms of discrimination na years to come tuta rule the world na nyie muanze kulia lia tu.
Endelea kujifariji
 
Ninandika chenye ukweli na uhalisia wa mambo Kwa mazingira ninayoishi. Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko kabisa aisee, why kuoneana wengine why why???
Bibie naona umetoka kwenye imani umehamia kwenye ukweli,ukweli hakika hauko nao bali hamko nao katika hili.

Hapa naweza kukuuliza nini maana ya UKWELI ukashindwa kunijibu,ajabu unadai kuwa una andika ukweli.

Niko pale pale,nakupa kazi sio lazima unipe jibu leo wala kesho,nenda kawaulize wakubwa zako katika hizo fikra za kivivu,kwamba huwa wanajuaje kwamba hii ni haki ya mtu na hii si haki yake ?

Wakikujibu nistue.
 
Kuwapa wanawake wengi mimba si urijali ni lack of self control na kujielewa, kwanza hzo taasisi za wanawake zinasaidia kuinuia wanawake na Kwa takwimu za World bank Tanzania wanawake sasa wamewazidi wanaume kwenye ujasiriamali, nyie bakini na kutia mimba huku wanawake wakinyanyuka kiuchumi tu
Sasa ujasiriamali wa kuuza juice, kupost viatu mitandaoni, kwa hela za kudanga ndo mnajiita wajasiriamali... Mnapoteza muda
 
Marianah huu ndio Ulimwengu.

Ulimwengu wa pande mbili.

Giza na Nuru. Nuru inatawala giza.

Muumba na muumbaji.

Mtawala na mtawaliwa.

Masikini na Tajiri.

Mungu na Shetani.

Mwanaume na Mwanamke.

Mweupe na Mweusi. N.k.

Mwanamke yupo kundi la kutawaliwa. Hata afanye jambo gani zuri mtawaliwa ni mtawaliwa tuu. Atabaki kuwa mtumwa wa Mwanaume.

Utahangaika sana Kupambana na Nature.

Hilo lipo wazi hata kwa Viumbe wengine waliowengi.

Mwanamke akienda porini akikutana na Nyani au Sokwe hawezi kumtisha kwa lolote. Sokwe atamchukulia kama mwanamke tuu. Nyani atakuchukulia kama mwanamke tuu. Na ndivyo ilivyo. Wewe ni mwanamke utabaki kama mwanamke na utachukuliwa kama mwanamke.

Yaani tunaweza kusema. Mwanamke yupo upande dhaifu wakati Mwanaume yupo upande mkuu.

Hata Mungu pamoja ya kuwa hana Jinsia lakini Bado anaitwa Baba. Yaani mwenye nguvu, Mamlaka, Asiyekosea, Mtawala.

Mungu hawezi itwa Mama wala mwanamke kwa kuwa Mwanamke anasifa ya Kutawaliwa, Hana nguvu, anayekosea mara kwa mara, Anayeenda kila mwezi katika unajisi wake n.k.

Mwanamke pamoja na umuhimu wake lakini mpaka dunia inaisha atabaki kuonekana mkosaji siku zote.

Hata huko Ulaya wanapojitahidi kutetea haki zao lakini bado Mwanamke anachukuliwa kama kiumbe duni tuu.

Kuhusu Uovu. Dhambi ni dhambi haijalishi ni nani anaifanya.

Lakini Biblia inamtambua mwanamke kwa namna kadhaa. Moja ya namna hizo ni kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu sana.

Pia biblia uisemayo inamchukulia Mwanamke kama daraja la chini kabisa.

Moja, Biblia inamtaka mwanamke asihubiri mbele ya wanaume hasa wanaume halisi. Hii ni kutokana na kuwa Mwanaume hapaswi kuisikiliza sauti ya mwanamke bali mwanamke ndiye anapaswa kusikiliza sauti ya mwanaume.

Pili, Mwanamke maumbile yake yanamfinya na kumdunisha awapo kwenye makutano. mfano Biblia inamkataza Mwanamke aliyekatika siku zake kuingia mahali pa ibada. Yaani kanisani au msikitini.

Tatu, Mwanamke mchawi anatakiwa kuuawa. Lakini Biblia imenyamaza kuhusu mwanaume mchawi. Je haikujua kama kuna wanaume wachawi. Jibu ni hapana. Ilijua.

Lakini kwa vile Mwanamke yupo tabaka la chini kwa habari za jinsia ndio maana kawekewa sheria nyingi kuliko mtawala.

Wanaume ndio watawala ndio maana wanaweka sheria wazitakazo na zinazowanufaisha.

Hata Mungu kwa vile ndiye mtawala ndio maana akatuwekea sheria.

Wewe utabaki kulia lia humu lakini huna utakapofika. Ukirudi nyumbani utaosha vyombo, utapika, utafua kama sio zako ni za watoto. Utapangiwa muda wa Kurudi nyumbani. Yaani wewe umetawaliwa.

Kama hujanielewa hutanielewa tena.
Haya madini uliyoyatema bure bila ata ya ku charge pesa hayaitwi POINT bali yanaitwa "PURE FACT and FREE EDUCATION".
 
Mbona Mimi nakujua sana Zurri...
Umenijulia wapi mrembo ? Ila jf kubwa sana,yaani kama jiji fulani hivi ambalo lina mitaa kibao na watu wanaishi maisha yao kimpango wao na wanajuana na kutokujuana pia.
 
Hili sasa ndio tatizo ndio maana mnalia lia,inaonekana hujui hata haki yako ni ipi na lipi si haki yako.

Nakufundisha sasa sio kila jambo linalokupa wewe furaha ni haki yako au linakuhusu,huu sio uhuru bali ni utumwa wa matamanio ya nafsi,inatakiwa muwe mnajifunza mjue lipi lenu na lipi si lenu na kwanini.

Nimekupima kwa swali rahisi sana lakini umeshindwa kujibu,nimekuuliza unajuaje kama lipi lako na lipi sio lako. Furaha sio kipimo cha wewe kujua hilo linalo kufurahisha ni lako,nakupa mfano wapo ambao wanafurahia na kufurahishwa na uzinzi,ufisadi,dhulma,wizi,unyang'anyi,kusema uongo,umbea,unafiki,uzandiki,kusengenya na mfano wa hayo,je ni kweli hayo mambo anatakiwa mtu kuyafanya hata kama yanamfurahisha ? Sasa bibie unatakiwa utoke katika utumwa ulio nao,utumwa ambao unakufanya ufikirie mambo kitoto na kwa upande mmoja,na uhuru bila mipaka ni utumwa na kutumia akili vibaya.

Mimi nimeamua kukufundisha sasa,baada ya kuona hujui kitu juu ya hicho unacho kidai,hakuna haki isiyo zingatia maumbile na silika.

Nakuuliza swali,je huanza haki au huanza nchi ? Kama huanza haki kisha haki zinasimamiwa ni wazi kabisa nchi imezikuta haki na nchi haina uwezo wa kuijua haki mpaka haki iwepo,unakubaliana na hilo ?

Lakini,kauli yako bado inaonyesha ya kuwa haki ndio ilianza na serikali inasimamia haki,sasa swali la msingi liko pale pale,je unajuaje kwamba hii ni haki yako na hii si haki kisha ndio serikali ije kuisimamia ?


Najua unaashiria dini gani,naweza kukupa hata miaka elfu uonyeshe wapi imemkandamiza mwanamke kisha ujibu kila swali nitakalo kuuliza,najua hutaweza kujibu hata swali moja,sababu hata misingi ya haki na haki yenyewe huijui.

Unaiweza kuniambia hiyo dini imemkandamiza wapi mwanamke na wewe umejuaje hilo na marejeo yako ni yapi na kwanini hayo marejeo yako tuyafate ?

Naendelea kukufundisha bibie,hakuna mtu ambae anafikiria kwa uhalisia kuliko mtu mwenye dini,sababu mtu wa dini anakuwa na yote ya dunia na akhera,na anafikiria pale ambapo akili ilipokomea.

Nilikuuliza juu a kufikiria nje ya box,na ulitoa maana nzuri sana,ambayo kwa maelezo yako inaakisi ya kuwa kwanza uko kinyume na maana ile bali hujaielewa na huifanyii kazi pia. Katika maana yako ulizungumzia kuhusu faida na hasara au kama ulivyoandika,lakini ajabu kiutendaji na maandishi yako hayaonyeshi kama unazingatia faida na hasara katika kulitaka jambo.

Nipo ...
Kwangu Mimi furaha yangu ni muhimu kuliko jambo lolote na sipangiwi kufanya jambo na mtu ili nimfuraishe never, never, na hamna wa Ku ni force ili iweje, furaha yangu na kila kitu I live own my own world na reality na sio ya watu wachache au wanaume walojipangia.

I'm a woman of principle so hzo definition za furaha ulizo zimention ni according to you not me, Kwa jamii ya yoyote aliyestaarabika hawezi shabikia uzinzi, ufisadi na ukandamizaji au lolote huyo ni uncivilized pia barbaric,so my friend toka kwenye huo mtazamo wakupangia wengine furaha au kikandamiza wanawake vile umemezeshwa since utoto you have to change kabisa, nakuwa huru while dunia inapambana kuondoa ukandamizaji wewe umekumbatia yani ni mhafidhina you don't want change.

So na Mimi nasema kuna dini zina ukandamizaji mkubwa though na zenyewe zimeanza kubadili perception towards women's discrimination maana mengi yaliyofanyika ilikuwa zama za mawe sasa hivi ni zama mpya kabisa.

Acheni bias zenu za uonevu Mara sijui nini blah blah zimepanda na kushuka Mara nchi what I want ni equal treatment mambo ya ukandamizaji tupa kule kwenye dustbin ya dark ages.
#SayNoToWomenDisriminationandChildren.
 
Back
Top Bottom