Ila mkuu wewe ni mbishi mno hapa unaweza kubishana hadi mwakaniBibie naona umetoka kwenye imani umehamia kwenye ukweli,ukweli hakika hauko nao bali hamko nao katika hili.
Hapa naweza kukuuliza nini maana ya UKWELI ukashindwa kunijibu,ajabu unadai kuwa una andika ukweli.
Niko pale pale,nakupa kazi sio lazima unipe jibu leo wala kesho,nenda kawaulize wakubwa zako katika hizo fikra za kivivu,kwamba huwa wanajuaje kwamba hii ni haki ya mtu na hii si haki yake ?
Wakikujibu nistue.
Sasa ujasiriamali wa kuuza juice, kupost viatu mitandaoni, kwa hela za kudanga ndo mnajiita wajasiriamali... Mnapoteza muda
Isiwe nimewahi kukutongoza halafu nimesahau,ngoja nipekue kwenye makabrasha yangu.Mbona Mimi nakujua sana Zurri...
Zote ni dhambi tu eeh hafu uliondoa kwanza boriti ya jicho lako ndo ukamtoe jicho la mwenzakoDah dada hahahahaah hapa bhana hapana umeenda mbali hii sasa hapana.
Dhambi haziwezi kuwa sawa hata siku moja.
Kuzini huwez fananisha na masturbating ama kulawiti huwez kufananisha na kutukana.
Inategemea na uzito wa dhambi.
Kuchomoa mimbaa ni dhambi kubwa sannaaaa unaua kiumbe kisicho na hatia huwez fananisha na puchu kutoa mbegu zisizorutubishwa bado kuwa mtoto.
Ila mkuu wewe ni mbishi mno hapa unaweza kubishana hadi mwakani
Lete hzo takwimu hapa acha kujifurahisha
Naona siku hizi umehamia jukwaa pendwa.Hivyo ndivyo nilivyo mimi.
Watoto wa kike huwa mnanipa raha sana.
Bibie naona umetoka kwenye imani umehamia kwenye ukweli,ukweli hakika hauko nao bali hamko nao katika hili.
Hapa naweza kukuuliza nini maana ya UKWELI ukashindwa kunijibu,ajabu unadai kuwa una andika ukweli.
Niko pale pale,nakupa kazi sio lazima unipe jibu leo wala kesho,nenda kawaulize wakubwa zako katika hizo fikra za kivivu,kwamba huwa wanajuaje kwamba hii ni haki ya mtu na hii si haki yake ?
Wakikujibu nistue.
Mtoa mada... Umeonyesha weakness yako kwenye hii hii mada yako kwanza umeanza kwa kujihami. Umemaliza kwa kujihami hii ni ishara tosha kwamba uko weak sana na ulikuwa na hofu kubwa kumuongelea mtawala yani Mimi (Mwanaume) Usijali tumekusamehe usirudie tena najua haya yanatokana na uhuru ulioletwa na utandawazi... By the way usijchokijua ni kuwa hutakaa uje kujua Siri ya Sisi kuwatawala nyie.Wakurupukaji ni wengi mno
Ndo ukweli na sihitaji ufariji wowoteEndelea kujifariji
Yaani nimeshawajua wabishi kama woteee kwa nyuzi mbili tu! Kuna watu wana kipaji jameni!Ila mkuu wewe ni mbishi mno hapa unaweza kubishana hadi mwakani
"Boriti ya jicho"??!!!!!!Zote ni dhambi tu eeh hafu uliondoa kwanza boriti ya jicho lako ndo ukamtoe jicho la mwenzako
Umeonyesha udhaifu wako hapa hapa jukwaani umetumia hisia kujibu...anyway.. Labda uko mwezini [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Acha uvivu ingia usome mwenyewe hii sio academic kuweka takwimu
Ukweli ni kwamba huku kwenye mitandao ndio sehemu ya kutoa ya moyoni ila kwenye uhalisia mwanamke yuko juu Ukute hapo ana bishana ila mwanamke akikohoa tu Zurri anatetemeaka mwili mzima.Yaani nimeshawajua wabishi kama woteee kwa nyuzi mbili tu! Kuna watu wana kipaji jameni!
Duuuh dada mkorofiii inamaana zurri kaekewa limbwata anaendeshwa au??Ukweli ni kwamba huku kwenye mitandao ndio sehemu ya kutoa ya moyoni ila kwenye uharisia mwanamke yuko juu Ukute hapo ana bishaba ila mwanamke akikohoa tu Zurri anatetemeaka mwili mzima.
π€£π€£π€£π€£ Ngoja aje...Ukweli ni kwamba huku kwenye mitandao ndio sehemu ya kutoa ya moyoni ila kwenye uhalisia mwanamke yuko juu Ukute hapo ana bishana ila mwanamke akikohoa tu Zurri anatetemeaka mwili mzima.
Sio Zurri peke yake wanaume wote wanaopinga mada hii wapo kwenye maumivu makali ya 50 kwa 50.Duuuh dada mkorofiii inamaana zurri kaekewa limbwata anaendeshwa au??
Kwangu Mimi furaha yangu ni muhimu kuliko jambo lolote na sipangiwi kufanya jambo na mtu ili nimfuraishe never, never, na hamna wa Ku ni force ili iweje, furaha yangu na kila kitu I live own my own world na reality na sio ya watu wachache au wanaume walojipangia.
Sijatoa maana ya furaha,bali nimeweka yale ambayo watu wanapata furaha kwayo. Unatakiwa uwe makini katika kusoma maneno.I'm a woman of principle so hzo definition za furaha ulizo zimention ni according to you not me,
Kwa jamii ya yoyote aliyestaarabika hawezi shabikia uzinzi, ufisadi na ukandamizaji au lolote huyo ni uncivilized pia barbaric,so my friend toka kwenye huo mtazamo wakupangia wengine furaha au kikandamiza wanawake vile umemezeshwa since utoto you have to change kabisa, nakuwa huru while dunia inapambana kuondoa ukandamizaji wewe umekumbatia yani ni mhafidhina you don't want change.
Unaposema kuna dini,bila kuonyesha huo ukandamizaji wewe unabaki kuwa muongo. Weka huo ukandamizaji kisha nikuonyeshe haki iko wapi,kisha uchague kuifata au kuiacha.So na Mimi nasema kuna dini zina ukandamizaji mkubwa though na zenyewe zimeanza kubadili perception towards women's discrimination maana mengi yaliyofanyika ilikuwa zama za mawe sasa hivi ni zama mpya kabisa.
Acheni bias zenu za uonevu Mara sijui nini blah blah zimepanda na kushuka Mara nchi what I want ni equal treatment mambo ya ukandamizaji tupa kule kwenye dustbin ya dark ages.
#SayNoToWomenDisriminationandChildren.
Najua atakuja na maandishi hapa ππππ€£π€£π€£π€£ Ngoja aje...
Kutetemeka sio jambo la ajabu,kama nimemkosea lazima nitetemeke tena mimi ambae ni msimazi wake lazima nimchunge,na nimlinde sababu nitakuja kuukizwa kwanini sikumfanyia wema.Ukweli ni kwamba huku kwenye mitandao ndio sehemu ya kutoa ya moyoni ila kwenye uhalisia mwanamke yuko juu Ukute hapo ana bishana ila mwanamke akikohoa tu Zurri anatetemeaka mwili mzima.