Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Am in love with you, with what you put here on JF. I believe your head is such a smart mind.
I don't care how you look. You are just a human being, female, you quench my thirst. I love you cariha
LMAO!!
Are you ready to be half-man half-woman kind of man once you sail the love boat with her ?
 
Yani ni seek sympathy Kwa mwanaume asiyejielewa eeh over my deadbody. Kuna wanaume wakuwanyenyekea sio vibushuti wa JF
Yeah..!! Seems that you cited Anne in your debilitated attempt to elicit sympathy.

We understand you women very well sympathy seeking is one of the tools found in your Arsenals, and it's moment like this when it is unleashed.

Kwa huyo kumbe na ujuaji wako woooote huo lakini bado kuna mwanaume una mnyenyekea!?
 
Reactions: Cyb
LMAO!!
Are you ready to be half-man half-woman kind of man once you sail the love boat with her ?
Acha dharau zako na kejeli.
Kwanini unataka kumlazimishia asimpende kwa sababu tu ya misimamo yake na kile anachokiamini!??
Ukimchukia wewe sio lazima wote wamchukie.
 
Mimi ndiye nilimquote mwanzo.
Wala hajatafuta huruma yoyote kwangu..
Acha porojo zako bwana
 
Hakuna anaye bishana hapa tunaeleweshana

Sema kila mtu hataki kumuelewa mwenzake
Naona mnatambishiana Hadi wapenzi wenu.
Wewe Lizarazu hujui kuelewesha mtu rafiki yangu..unachofanya hapa ni kumuattack...na ndio mtindo wako siku zote.
 
@marianah umeandika kwa hasira sana vp umeolewa
 
Tuko sawa kwenye nini sasa? Mbona mimi sioni sehemu yoyote ambayo tuko sawa?

Sio kiuchumi.... Sio kisiasa... Sio kiakili.... Sio kwa ujasiri..... Sio kwa physical strength... Sio kielimu....

Yaani ni almost kila kitu mimi naona bado mwanamke yuko nyuma.

Hebu niambie tuko sawa kwenye nini?

Wewe mwenyewe hapo maisha ya kila siku kwa kiasi kikubwa yanaendeshwa na wanaume kuliko wanawake.. Halafu unasema tuko sawa?

Toa hata mfano mmoja kwa hapa hapa nyumbani Tanzania unaoonesha kwamba sasa hivi wanawake na wanaume wote wako sawa.
 
Kuna kiongozi hana kiburi? Mtaje mmoja.
Huyo Mungu mwenyewe ana kibri (kiburi) ndo maana tunasema kiburi ni sifa ya Mungu binaadam ukifanya ni makosa makubwa
Kwa huyo unajilinganisha na Mungu!?
 

Arguing with you is like pushing the the bricks wall it won't move forward even for one cm.
Ulichokielewa kwenye bandiko langu ni hiyo bleeding tu..???
Tangu nimeanza kubishana na wewe karbia kila unachojibu kiko out of context ya kile nilichokiuliza.
Una matatizo ya comprehension?
Maelezo yako yamejaa contradictions tupu wala hata feminism misingi yake hujui
 
Acha dharau zako na kejeli.
Kwanini unataka kumlazimishia asimpende kwa sababu tu ya misimamo yake na kile anachokiamini!??
Ukimchukia wewe sio lazima wote wamchukie.
Dharau ziko wapi?

Si ndio aina ya mwanaume anayefiti kwenye mitazamo ya Cariha? Half-man half-woman kind of man? Au woman wrapper!?

Nimekosea wapi?
 
Hakuna Mwanaume anaweza kuwa na roho kama ya wanawake wanaofanya Abortion. Yaani wanaoua vichanga au kuwatupa chooni au mtaroni na kusepa.
Mkuu kwa heshima kabisa jee wale wanaozalisha watu na kuwakataa watoto jee hao ni kina nani
 
Dharau ziko wapi?

Si ndio aina ya mwanaume anayefiti kwenye mitazamo ya Cariha? Half-man half-woman kind of man? Au woman wrapper!?

Nimekosea wapi?
Kumwita mwanaume mwenzio nusu mwanaume nusu mwanamke Ni dharau kubwa.
Ungepewa Hilo Jina wewe ungejisikiaje!?
 
Hahaaa umeshindwa hoja unakimbilia matusi eeh eti half man hyo haibadilishi ukweli wa hoja yangu mzee njoo na nyingine ulianza na bleed now eti my man ni half man mpe basi tako uone urijali wake vzuri
 
Maandishi marefu halafu nonsense. Kuandika pumba Kwa urefu haikufanyi uwe na hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…