Kutokujiamini..... Kitokujiamini.... Kutokujiamini... Blah blah blah!! Another line please this one is getting boring!!
Hakuna mwanamke mjanja mbele yangu hasa kwa nyie wa zama hizi mnaojiona sijui mmeelimika na mnazitambua haki zenu.
Wengi wenu mimi nawaona ni wajinga sana na vithibitisho vipo ukitaka nakupa kwanini nawaita nyie wanawake wa millennials ni wajinga na elimu zenu ndio zimezidi kuwatia ujinga.
Huyo jamaa yako tayari umesha mmanipulate basi kwa akili yako unatamani kila mwanaume awe manipulated kama yeye.