Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Mimi mwanajeshi sichoki upesi
Yaani Ni wabishi Sana.
Ila huyu Marianah huwa hachoki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1373]
 
@SAINTANNE I am fvcking sick and tired of your incessant biased diplomatic game. Hope you read this comment below .. You better stay on the sidelines from now.
Sawa.

Sicomment Tena hata Kama nnawashwa kiasi gani.
 
Yaani nashangaa mtu anajifananisha na Suleiman aliyekuwa na imani ya kuhamisha milima wakati yeye hana hata imani japo ya kusogeza kiti tu hawajui kwamba wale imani zao ziliwabeba na kumfanya Mungu asamehe maovu yao yote
Wanaume kujifananisha na suleiman wananichekeshaga kweli

Unakuta mtu anasema mfalme Suleiman wakati hata baiskeli hana, nguvu za kiume za kudunduliza, hekima hana wawe wanajitolea mifano wanayofanania lakini vinginevyo tutawacheka sana tu
 
Ukitaka kufananisha mwanamke na mwanaume tuko sawa, unajipotezea muda..haswa hapa Africa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huyu Lizarazu Ni jeshi la mtu mmoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kumbe Hadi Nyenyere hamfikii..
 
Cariha anajinasibu kuwa amestaharabika wakati hana ustaharabu wowote, amejawa na mihemko tu na mdomo mchafu
Nilimuona tangu mwanzo. Sijui kwanini inakuwa ngumu kwao kufanya majadiliano bila kuingiza hisia. Anatakiwa ajifunze kwa marianah jinsi ya kufanya majadiliano bila ya kuingiza ad hominem attacks...
 
Hakuna program men are physically, biological and emotional superior to women... Kwenye intelligence sina uhakika but historically tu naonekana we are by far superior
 
Hahahaha unakwepa hoja mkuu
 
sometimes tunapenda wanaume physically aggressive as its a sign of security/protection.....ukiwa mpole ni sign ya weakness....

mwanamke mwenzenu huyo nimetoa hii comment kwenye uzi mwingine.. mtabishana ila mwisho wa siku ukweli ni kwamba deep inside mnapenda kuwa dominated.
Karma
 
Hahahaha mbona umekazania hayo ya kumfulia na kumpikia mume wangu utafikiri kufanya hayo ni adhabu?? Au ndiyo unajaribu kupotezea mada?? Hayo mbona nayafanya vizuri tu sababu hata yeye ananihudumia na anatimiza majukumu yake yote kama mwanaume!! Jaribu kingine!!
 
Wewe ni dhaifu ulipata miteremko dawa ya moto ni moto tu loh, na kwangu sio lazima unielewe Mimi ni negative ungrkuwa positive tunge attract each other.
Hao wawili niliowataja wanakuzidi mbali sana kiupeo.

Hata jinsi wanavyo shiriki mijadala tu hawako kama wewe. Akili zao zimetulia sana

Hawako too sensitive and emotional kama wewe.

Hawana argumentation chains mbovu mbovu kama ulivyo wewe ambaye karibia kila hoja unarudia maneno yale yale tu na huku ukijibu kwa mkato mkato hata pale unapotakiwa kutoa ufafanuzi wa kina.

Hawana kawaida ya kutoa majibu yaliyo njee ya mantiki, tofauti na wewe ambaye karibia kila jibu unalotoa linakuwa out of context ya kile ulichoulizwa.

Wanajua kujenga hoja na kuitetea tofauti na wewe ambaye haujui hata kuitetea hoja yako mwenyewe, unatoa hoja kisha baadae unakuja una ji contradict mwenyewe.

Hawana midomo michafu na kuandika andika matusi ovyoo mitandaoni mithili ya chokoraa kama ulivyo wewe.

Angalau wanajua hata wanachosimamia na kukitetea tofauti na wewe ambaye hata haujui unasimamia wapi halafu unajikuta mjuaji.

Kiufupi hao wawili wako smart kwenye majadaliano, hoja zao wanazojenga zina nguvu na zinafikirisha na wala sio nyepesi mithili ya karatasi ambazo nimeziona wewe ukiziandika hapa.

Mwisho kabisa jitahidi ukue bado una utoto mwingi sana wa kupayuka payuka tu na panick za ajabu ajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…