Ndiyo kwa sababu you are always negative on issues concerning women!!Tatizo lako unajifanya umeshai hack mind yangu. Na pengine wakati unaandika huu uzi ulikuwa tayari una mawazo yako kichwani kuwa mimi nikija hapa mchango wangu utawa vipi.
Ameshakwambia usimkariri[emoji3526][emoji3][emoji3]Ndiyo kwa sababu you are always negative on issues concerning women!!
Unaoana sasa, punguza kunikariri
Sipati picha hicho kipindi ambacho kweli mtakuwa nyie ndo mna sauti ya mwisho duniani cha kwanza viwanda vya nguo vitafungwa maana hakuna kiumbe mwenye utashi anayependa kukaa uchi kama sio half naked kama mwanamke.
Na huu ukuu hutumiwa vibaya na wanaume karibia wote.
Wamebaki waking'ang'ania tu kuwa Ni vichwa lakini matendo yao hayasadifu wayasemayo...
Na imani bila matendo imekufa...
kichwa Cha familia bila vitendo nilivyotaja hapo juu Ni sawa na kazi bure.
Hunijui vema, siko humu jukwaani kubishana. Natoa mchango. wangu tu, si lazima ukufurahishe na hiyo ndiyo democracy.. JF where we dare talk openly and I am doing just that!!
Cariha if you don't mind can I ask you this??From beggining hata sikuwa Kwa imani ni nyie mlikimbilia kujifanya wadini ili kujidefend kuliko waliotuletea hizo dini zenyewe, yani nyie mna uchungu kuliko waliotuletea sio. So design mnakwepa uhalisia na sasa waniuliza definition ya ukweli does it mean hujui kweli?
Mtoa mada... Umeonyesha weakness yako kwenye hii hii mada yako kwanza umeanza kwa kujihami. Umemaliza kwa kujihami hii ni ishara tosha kwamba uko weak sana na ulikuwa na hofu kubwa kumuongelea mtawala yani Mimi (Mwanaume) Usijali tumekusamehe usirudie tena najua haya yanatokana na uhuru ulioletwa na utandawazi... By the way usijchokijua ni kuwa hutakaa uje kujua Siri ya Sisi kuwatawala nyie.
Endelea kujipa hope nyuma keyboard...
Ndiyo kwenye maovu wote sawa tu na hata maandiko ndivyo yanavyosema na hata huko mashuleni pia kuwa prefect siyo ticket ya kufanya makosa na kutarajia asikosoleweNature. Nikirefer Quran inasema wanaume ni viongozi wa wanawake. Sasa we na prefect wako mnataka muwe sawa? Au hukuona shuleni?
Mkuu, kwa wakristo hakuna ndoa za wake wengi wala waume wengi bali kuna ndoa za mume mmoja na mke mmoja tu na hata maandiko yapo.Ni kweli kabisa maandiko yapo wazi katika hayo yote,kizuri ni kwamba unasoma vema biblia!
Umejibu baadhi tu ya hoja nikizokupa,nami nitakupa majibu machache lakini nitarejea hapo juu kukumbusha yale ambayo uliyasahau!
Mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa,ndiyo! Kama baba/kichwa cha familia anapaswa kuwa clear,kama anaweza kuoa mmoja,wawili, watatu ... Kwa nini ajifiche fiche? Anapaswa kufanya maamuzi ya kiume,ni either nabaki na mmoja au naingeza wengine ASIZINI!
Hapo utawatazama mababa wa imani,kuanzia IBRAHIM, na wengine wengi katika maandiko,waliweza kujitwalia wake kwa kadri walivyotaka,kikubwa uwezo wao wa kuwahudumia ujitosheleze
Lakini hakuna mahali mwanamke ameolewa na waume wawili au watatu katika marejeo ya kimaandiko,ukipata popote nitakulipa nusu ya pesa zote nilizo nazo!
Then mwanaume atamwacha baba yake na mama yake,naye ataambatana na mkewe,ni sawa kabisa,hapo mwanaume anapewa majukumu rasmi ya kumuongoza mke,(kwani ukienda mbele zaidi katika maandiko ulitlyoyanukuu,yanamtaja mwanaume kuwa kichwa cha familia) kwa maana hiyo,mke pamoja na kuwa anakuwa mwili mmoja na mumewe lakini mwenye kuongoza na kuendesha mambo ya huo mwili mmoja,amepewa mwanaume ambaye ndiye "kichwa"
Kwa hiyo dhana nzima ya kutenda dhambi haina justification,haijalishi anayeitenda ni mwanamke au mwanaume!
Mbona mnalazimisha mada iwe utawala badala ya maovu?? Nilijua tu wengi hamtajisumbua kusoma huu uzi ila cha ajabu mnakuja comment na matokeo yake ndiyo haya kuandika ambavyo havipo kwenye mada!!
Wewe Lizarazu acha uongo miaka 15 iliyopita si ulikuwa mvulana tu tena ulikuwa hata bado haujabalehe wewe sasa huo mfumo wa sasa unaousemea umeuishi lini??Kwa taarifa tu huko ulipo wewe na huyo bwana yako mimi nilishapita miaka 15 iliyopita, kuniona hivi nilivyo haijatokea tu ghafla ghafla.
Kabla sijawa hivi nilivyo niliwahi kuwa aina ya mwanaume ambaye jamii hii ya leo(watu wake wana mitazamo kama yako)inamtaka, nikangudua mapungufu makubwa yaliyopo kwenye hiyo version ya mwanaume kisha nikaamua kutoka haraka sana na kurudi kwenye uanaume asilia.
Kwa jinsi nilivyokuona tu hapa tangu umeanza kuchangia mada, mwanaume mwenye maturity kwako ni lazima akubali kumezwa na mfumo wa maisha unaoupigia debe(mfumo jike), mfumo ambao upo kwa ajili ya kufuata matakwa ya mwanamke kwanza kisha mwanaume baadae na mwanaume ambaye ni muhusudu wanawake (pussy worshipper au woman wrapper).
Wanaume ambao wanaojiona wako modernized mimi huwa nna washusha sana, maana wengi wao wameshapoteza uasili wao bila kujua na wamekuwa programmed kuwafurahisha watu kama Cariha.
Uzuri sio kila mwanamke anapenda kuishi kwenye huo mfumo wenu wa kisasa ambao waasisi wake wana ajenda nzito ya siri ambayo wengi hamuijui. Mwanamke wangu ni muhafidhina kama nilivyo bwana yake na ninathubutu kusema she's way smarter than you.