Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hahah wanawake hamjawahi kutulia, ni swala la mda tu before hujajishtukia tena. Utaomba ID mpya.
 
Kwani nimesema hujakua??? Mi nimesema usemacho uko sawa kabisa 100%...Naomba hunielewe nimekwambia tatizo ni mfumo dume Ova!!..we naona unaniletea mada ambazo mi sijazizungumzia mara hujakua mara maandiko yameruhusu wanaume kutenda dhambi....hayo sijataja apa labda wewe ndio naona una mihemko
 
Kuamini unaruhusiwa kuamini chochote dada.

Sijawahi kuwa na shida na imani ya mtu. Elimu ya msingi ya ustaarabu mpaka ustaafrika naijua.

Labda inawezekana kuna tatizo la kuelewana katika mijadala hapa, watu wengine wanakuwa hawaelewi ninachojadili ni kipi.

Tena mtu akikuingilia kwenye uhuru wako wa kuamini, nijulishe nikutetee kwa kutumia katiba ya Tanzania nchi yangu ya kuzaliwa, katiba ya Marekani nchi yangu niliyoi adopt, Universal Declaration of Human Rights iliyopitishwa na Umoja wa Mataifa December 10 1948, the International Covenant on Economic, Social and Cultural Rights, the International Convention on the Elimination of All Forms of Racial Discrimination, 1981 Declaration of The United Nations General Assembly Commission on Human Rights resolution 2005/40 (paragraph 4 (d)), Human Rights Council resolution 6/37 (paragraph 9(g)) and General Assembly resolution 65/211 (paragraph 12 (g)), Human Rights Council resolution 6/37, et cetera, et cetera, et cetera....
 
Karma unapenda battle haijapata kutokea. Inabidi uingie kwenye Guinness World Records. Ingawa ninatumaini kwamba huu ubishi unaishia jamii forum, ukiwa kwako ni mke msikivu na mtiifu.
 
Karma unapenda battle haijapata kutokea. Inabidi uingie kwenye Guinness World Records. Ingawa ninatumaini kwamba huu ubishi unaishia jamii forum, ukiwa kwako ni mke msikivu na mtiifu.
Eeeh mkuuu list ungeitaja tu maana hayuko pekee ana tag hilo chaf pozi;
1)Karma
2)cookie smokey
3)cariha.
Hzo ni chaf poz hatari zinapenda battle hadi zinasahau kula.
 
Ila mashine mtaendelea kupigwa kama kawa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Na Mwanamke anayefanya Abortion ni sawa na Mwanaume anayepiga punyeto. Wote wauaji.
We tema mate chini, punyeto na arbotion ni vitu viwili tofauti kabisaaaaa. Ni sawa na kufanisha aliemwaga maji ya ugali na aliemwaga ugali wenyewe watakuaje sawa hao.
 
Vyote sawa
 
Pole sana dada, ila daima huwezi kufanana na mwanaume. Kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanaume na mwanamke kihisia na kifikra.
Umegusia zaidi mahusiano wacha nikujibu kwa mlengo huo pia;

1. Wanawake wanaochepuka wanaendana na Wanaume wanaochepuka
Hii sio sawa kabisa, mwanaume atachepuka na atahudumia familia kama kawaida, ni nadra sana kwa mwanamke kuchepuka na kuendelea na mumewe. Kama wewe ni mwana MMU basi utakua umeona shuhuda nyingi za wadau wakivunja mahusiano na wanawake waliohamisha mapenzi yao kwa michepuko.


3. Wanawake wanaojiuza wanaendana na Wanaume wanaowanunua
Kuendana kivipi hapo. Muuzaji ndie kaanza ndipo kaja mnunuzi na hapo utaona kua anaefanya ujuha ni anaeuza. Hebu fikiria mtu analala na zaidi ya watu 2 kwa siku utamfananisha na anaepita kwa mala moja tu. Tena huyo ni ajira yake kabisa jama jama unamfananishaje na mteja wa mala moja moja.

4. Wanawake wasagaji wanaendana na Wanaume mashoga
Hapa sijui kwasababu mashoga wanaonekana lakini wasagaji kuwagundua ni kazi wote mnaitana mpenzi na majina ka hayo.

6. Wanawake wanaopenda kutoka na mijibaba alias sugardaddies kwa ajili ya pesa wanaendana na Wanaume wanaopenda kutoka na mijimama alias sugarmummies kwa ajili ya pesa
Idadi haifanani mkuu wewe pia unaweza kua shahidi wa hili.
Na hili pia linadhihirisha jinsi wanaume walivyo juu ya wanawake. Wanawake wakishafika utu uzima sio rahisi kujihusisha na mahusiano tofauti na sisi hata vibahu vinashuulika. Ndio maana wanawake wengi wanapapatika huko, tofauti na wanaume na hao masuggar mamy unaowaongelea wengi wao hawajazidi 50 years, lakini kwa wanawake wengi wa hao mababa wamezidi 50 years.

7. Wanawake waliopo kwenye mahusiano kwa sababu ya pesa tu wanaendana na Wanaume waliopo kwenye mahusiano kwa sababu ya mbunye tu
Hawaendabi hata kidogo, mwanamke atataka pesa na penzi, ndivyo mlivyoumwa. Na sisi tunataka mbunye coz huna cha kutoa ukiacha mbunye utatoa nini sasa, labda uwe mke lakini kama ni mpenzi tu nasikitika kusema kua girls wengi hamna cha kuoffer zaidi ya mbunye.

8. Wanawake wanaopenda kuhudumiwa (kupewa pesa, kununuliwa vitu et al) na wapenzi wao wanaendana na Wanaume wanaopenda kulelewa (kupikiwa, kufuliwa et al) na wapenzi wao
Ni nature hiyo mkuu, mwanaume kumhudumia mwanamke na mwanamke kufanya izo kazi hapo ulizotaja. Ndio maana kwenye jamii zetu wanawake wanajua mambo ya mapishi kuliko wanaume, wanajua mambo ya usafi kuliko wanaume, ndivyo walivyoumbwa na izo hulka wala sio jambo la kustaabisha hilo.


10. Wanawake wanaowaacha wanaume waliowasomesha wanaendana na Wanaume wanaowaacha wanawake walioanza nao kwenye umasikini
Daah yaani hata hii umeona iko sawa kabisa.
Aliesomesha katumia gharama zake bila kusaidiana na aliesomeshwa na hizo gharama hawezi kurudishiwa ila huyo alieachwa na alieanza nae umaskini anaweza kudai haki zake na akapata huo usawa hapo umeuweka kihisia au ni kwa namna gani umeweka huo usawa.


Tusivilaumu vitabu vya dini kua vimeleta hizi mambo za mwanaume kua juu kimaamuzi. Hebu fikiria tu zamani huku kwetu kabla ya ujio wa hizi dini si kulikua na mila zetu ??, Kulikua na wafalme ambao kila leo tunawasoma vitabuni lakini katika hao ni nadra kukuta kua kulikua na mtawala/shujaa wa kipindi iko mwanamke.

Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…