Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Wewe tunafanana mi natoaga ushindi wa mezani basi wanajionaaa,
humu wengi wanaishi kinadharia halafu wanaume wenye ukoloni huwezi kuta anabishana juu ya uanaume wake,, huku majumbani tu treatment yake tu pasipo kuongea saaana unajua tu hapa natakiwa nibehave hivi kwa huyu mwanaume
Yaani Ni wabishi Sana.
Ila huyu Marianah huwa hachoki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1373]
 
Yaani upande wa upinzani wapo wawili tu wanaoweza kubishana.

Huku Kuna Marianah na cariha..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Marianah akiwa tu pekeyake Ni shida..Sasa wapo wawili[emoji3526][emoji3526][emoji3526]

Bado wengine hatujaingia..tupo benchi bado[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha!! Kwahiyo nyie wengine ni supa sub siyo??
 
Umesoma historia ya Suleiman yote?? Unajua mwishoni ilikuwaje baada ya yeye kufanya yote yale?? Halafu kumbuka Suleiman alitenda hadi dhambi ya kuua na bado Mungu alimbariki kwahiyo utasema kuua siyo dhambi tena kwa sababu Suleiman aliua na Mungu alizidi kumbariki?? Halafu na hili la Suleiman itabidi nilianzishie uzi kuwaelewesha watu ili wale wanaomtumia Suleiman kama mfano waumbuke na wajione walivyo wajinga!!
Wanaume kujifananisha na suleiman wananichekeshaga kweli

Unakuta mtu anasema mfalme Suleiman wakati hata baiskeli hana, nguvu za kiume za kudunduliza, hekima hana wawe wanajitolea mifano wanayofanania lakini vinginevyo tutawacheka sana tu
 
I'm afraid you got me wrong again. I'm not sold on the notion that men are superior to women a teeny weeny more than you are. However, I vehemently believe that men are more efficient in different aspects of life than women. You seem to have confounded efficiency with superiority.
Nimejibu point yako nikakwambia kuna vtu huwezi kujiona bora au kuhukumu nikakupa mfano wa fish. So hzo zote ni perception ya mtu anayoona that's why nikasema kwangu me na ke tofauti ni maumbile tu basi aisee
 
kuna yule kicheche kwenye maandiko anaitwa Maria , Maria alikua malaya hiv ulishawai kujua jina la bwana yake waliokua wanazini pamoja?
Mkuu kauli kama hii inaweza kukupa sifa hapa jukwaan lakin ukalaaniwa kuanzia we pamoja na uzao wako! tulete sifa za kibinadamu tuache kufuluu!!
 
Toa mfano,acha uoga.

Pili,kuwa mama unabaguliwa vipi na unasumbuliwa vipi ? Hujui kama suala la wewe kuwa mama ni jambo ambalo liko nje ya uwezi wetu sisi binadamu ?
Uonevu wowote Kwa mwanamke kwangu ni marufuku na sisi tunataka kuwa huru sio nyie kujiona mnauhuru Kwa kuhangaika sisi tukitafta wakuturidhisha mtuonee never on earth
 
Nikiri kuwa numeishia namba 10 huko kwingine sijasoma. Naomba nikuulize swali Marianah
Wewe uko kundi gani kati ya hayo uliyotaja ( 1 had 10) ?
 
Hahahaha masikini kwahiyo wewe kwa akili yako Mungu anavyowaacha wanadamu wafanye maovu unadhani karidhika?? Ukisema hivyo basi unamaanisha pia hata wanawake Mungu karidhika na maovu yao maana wapo makahaba wanaobarikiwa na wapo single mothers wanaobarikiwa sasa ninyi wanaume ni kina nani hata mshupalie maovu yao??

Na ninyi endeleeni kupiga kelele kuhusu maovu ya wanawake tuone kama mtafanikiwa hasa kama wewe ulivyoshupalia kuhusu maswala ya bikira nakuapia siku jamii ikibadilika wanawake wote wakianza kujitunza na kuolewa wakiwa na bikira basi nitafute nikujengee nyumba nikununulie na magari ila tofauti na hapo wote tukae kimya tu kila jinsia iendelee na maisha yake
Sasa si umuambie huyo Mungu kuwa sisi ni wabaya. Yeye karidhika na namna tunavyowaongoza ndio maana kaacha tuendelee kuwatawala tutakavyo.

Nyie wanawake sio watu wakutufundisha namna ya kufanya sheria za Mungu.

Wewe utabaki kulalamika. Utapita kama walivyopita wanawake wengine lakini hakuna litakalo badilika.

Tutawaongoza tutakavyo. Tukiamua tuwasikilize tutawasikiliza. Tukiamua kutowasikiliza hatuwasikilizi.

Kwa akili yako ulidhani Hawa alipoambiwa atatawaliwa na mwanaume ulidhani Mungu aliongea porojo.

Huna utakalo badili. Zaidi endelea kupoteza muda wako kubadilisha mambo yaliyoshindikana tokea dunia kuumbwa
 
Hyo kuwa mabilionea wawili haina justification ya uonevu au kuonyesha a certain gender is superior ni big no usawa unaangaliwa Kwa equal chance ya kijamii.
Hata mimi sijawataja hao mabilionea kama justification ya gender inequality kwa namna yoyote ile. Hujaelewa kabisa point yangu
Kuhusu pedi inayofonza damu mbona haihitaji akili ya la saba kutengeneza wengi tu wanatengeneza Mimi pia I can tena hizo sio recommended for health purpose bora kitambaa kisafi au kutengeza cotton ambayo hapa Kwa Tanzania haiko Kwa wingi
Again hujaelewa tena point yangu ililenga nini, inventor wa sanitary pad anaitwa Franklin Benjamin(Mwanaume) alikuja na idea ya ktengeneza pad mwaka 1888 hili kuwasidia wanajeshi wa kike waliokuwa wana bleed kwenye uwanja wa kivita na kuacha alama za damu damu ambazo zilikuwa zinawasaidia maadui kutambua ulekeo wa wanajeshi hao. Kwa baadae ndio ikawa commercialized globally sasa mimi hapa nilikuwa na kucrush uliposema kuwa mwanamke na mwanaume ni sawa tu tofauti yetu ni jinsia, mwanaume ana mchango mkubwa kwenye maisha yako na wala haulingani naye hata kidogo
.Kuhusu ugunduzi wa mambo mengi nayo hyo hoja haina mashiko maana tangu zamani wanawake hawakuruhusiwa kufanya mengi au kwenda shule so hyo haishangazi au kufanya eti mwanaume ndo wako ahead
kwanini hawakwenda shule!? Na kwanini wasiruhusiwe kufanya hayo mengi ikiwa kama hata wao walijua yana umuhimu kwao!? Pamoja na kwamba siku hizi na nyie mko kwenye scientific arena je mchango wenu tunaweza kuulinganisha na wa mwanaume!?
. Ingekuwa tangu enzi za kale wanawake wanapewa same platform ingekuwa sawa kulinganisha ila mabadiliko ya haki sawa yameanza juzi sio hyo sio hoja ya kujifanya wanaume ni genious hyo to me ni big no kabisa ni sawa na mlemavu kumshindanisha na mtu mzima Kwa mbio.
Basi tuanze kuwalinganisha nyie na wanaume kwenye hizi zama za ukombozi wenu kama mnavyouita, kwanini leo hii ukienda kwenye chuo chochote Engineering courses utakuta kwa 80% takers wake ni wanaume? Kwanini ukienda vyuoni medical professions wasomaji wake wengi ni wanaume!? Ina maana tuseme kuwa wanawake hawazipendi hizo courses ndio maana wasomaji wake wengi sio wanawake?

Mpaka sasa hivi kuna binadamu zaidi ya 30 waliowahi kufika mwezini lakini kati yao hakuna mwanamke hata mmoja wote ni wanaume, sasa je ina maana wanawake pamoja na fair ground ya kushiriki mambo ya kisayansi mpaka leo hii bado mtaki kufanya mambo makubwa makubwa kama hilo la kufika mwezini!?

Silcon Valleys innovators wengi inaowatoa ni wanaume akina Teddy Macknoon, Andre Rubin, Ross mason,Solomon Hykes,Jeff Hemmeebecher,Josh Reeves,Edward Kim na Mark Zuckerberg...?? Ina maana wanawake nyie hamna interest kabisa na scientific innovation pamoja na kuwekewa accessibility sawa ya elimu na wanaume?
Pia wewe wasema wanaume superior and blah blah za hapa na pale zaidi ya ubishi wakutokujiamini JF umeachive nini Ku change hata jamii. Maana wanaume positive tumeona impacts zao na wana big brain to understand how about you.
kwa jinsi ulivyo andika hapa ni kama vile unanijua personally, hivyo hata nikikwambia mambo niliyo achieve na yakaisaidia jamii itakuwa ni kazi bure tu.

Jibu la kukupa hapa ni kwamba mimi ni Triple K yaani ni mtu wa Kula,Kunya na Kulala tu.
Sijaweza kujibu hoja zako zote vile natumia simu na nimeku quote
Hata mimi natumia kifaa kama hicho chako ila nimeweza kujibu hoja zako zote kwanini wewe ushindwe?
 
Wanaume kujifananisha na suleiman wananichekeshaga kweli

Unakuta mtu anasema mfalme Suleiman wakati hata baiskeli hana, nguvu za kiume za kudunduliza, hekima hana wawe wanajitolea mifano wanayofanania lakini vinginevyo tutawacheka sana tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom