Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Umesoma historia ya Suleiman yote?? Unajua mwishoni ilikuwaje baada ya yeye kufanya yote yale?? Halafu kumbuka Suleiman alitenda hadi dhambi ya kuua na bado Mungu alimbariki kwahiyo utasema kuua siyo dhambi tena kwa sababu Suleiman aliua na Mungu alizidi kumbariki?? Halafu na hili la Suleiman itabidi nilianzishie uzi kuwaelewesha watu ili wale wanaomtumia Suleiman kama mfano waumbuke na wajione walivyo wajinga!!


]


Hakuna mfalme ambaye hajawahi kuua.

Waanzishie Uzi wasiojua Habari za Huyo Suleiman na wasiojua dunia inatoka wapi, Ilipo na inapokwenda.


Kwa habari ya Historia huna utakachoniambia maana huko ndipo nilipobobea.

Kwa habari ya lugha ndio kabisa. Sheria ndio usije ukagusa.

Habari ya falsafa usithubutu kabisa.

Binafsi najua hujui unachokipigania. Hujui matokeo ya wale waliokuwa wakisimamia kitu unachokisimamia leo hii.

Hapa utahangaika tuu Mkuu lakini mwisho wa siku hakuna utakalobadilisha kwenye huu ulimwengu.

Mwanamke hata asaidiwe vipi atabaki kuwa hivyo hivyo alivyo. Haijalishi yupo Ulaya au Asia. Ni yule yule siku zote.
 
Nimejibu point yako nikakwambia kuna vtu huwezi kujiona bora au kuhukumu nikakupa mfano wa fish. So hzo zote ni perception ya mtu anayoona that's why nikasema kwangu me na ke tofauti ni maumbile tu basi aisee
Wanaume siyo bora kuliko wanawake. Bali ni watendaji bora kuliko wanawake.
 
Ndiyo uone jinsi watu walivyo wapumbavu mimi tangu muda mrefu namchora tu anavyojinasibu hapo kila comment anasema karibu Stockholm Denmark anadhani kila mtu mshamba wa miji kama yeye na hapo inaonekana hajawahi kufika huko ila anatamani tu masikini
Mkuu hivi Stockholm ni mji wa Sweden au Denmark?
 
Uko out ya sense zako hoha hujibiwa Kwa hoja mumetoka kwenye maandiko sasa bad experience Kwa taarifa nimekuwa kwenye jamii ya wastaarabu na inayojielewa sana they gave me chance na nikafanya better kuliko wewe mwanaume unayekojoa Kwa kusimama upo nyonyooo....

Sina uchungu wowote nitasema kweli daima kunyoosha wanaume suruali wa hili jukwaa ambao ni inferior hawajiamini kutwa kulia lia humu, 21st nyie mnaishi bado gizani kuharibu jukwaa na mitazamo yenu hasi humu. Mfxiiiiiew zenu wanaume wa hovyo wa humu wenye bad trauma za utotoni, na lack of self estiim.

Mxiiiiiew, mfyuuuu
mi najua comment za mtu hulingana na experience alizopitia. inaonekana wewe umefanyiwa uchafu mwingi sana na wanaume. unaongea kwa uchungu sana. pole
 
Mkuu hata maandiko nayo kuna sehemu yametaka usawa kati ya mwanaume na mwanamke hasa kwenye dhambi ila wanaume wengi wanajifanya hawaoni hili mfano kuna andiko linasema "aziniye na mwanamke hana akili kabisa afanya jambo litakalomuangamiza nafsi yake mwenyewe"

Probably anayeongelewa hapo ni mwanaume sasa sijui wanaume wana nini la kusema kuhusu hilo andiko maana ukilitaja wengi wao wanalikwepa yaani linapokuja kwenye maswala ya utawala maandiko wanayaamini ila linapokuja kwenye swala la umalaya wanakuwa wapagani ghafla
Mi nafikiri angesimamia upande mmoja. Aidha usawa na kuyakataa hayo yanayoitwa maandiko matakatifu au kufuata hayo maandiko na kuachana na habari za usawa. Tatizo she wants to eat her cake and have it at the same time..
 
Ni sawa ndio.

Hata huko utakapoenda ndio hali halisi hii Mkuu.

Omba Mungu ukienda ulimwengu mwingine uwe tabaka tawala.

Hata Shetani aliwaza kama wewe. Aliona kila siku anapiga tizi kusujudu kwa Mungu akaona sio sawa. Akasahau yeye ni mtawaliwa.

Akaleta fyoko fyoko akatimuliwa.

Huyo Hawa aliona sio sawa awe vile alivyo akataka kuwa sawa na Mungu. Akasahau yeye ni mtawaliwa. Akaleta fyoko fyoko akiwa na mumewe akatimuliwa.

Hata wewe ukileta fyoko fyoko kwenye nyumba yako. Ukasahau wewe ni mtawaliwa unafukuzwa tuu.

hii ndio dunia. Kuna mambo huwezi yabadili hata ungefanya nini.

Hao wazungu walianza mambo unayofikiri karne ye 18 huko yaani miaka 1700 lakini mpaka leo hii hakuna lolote lililofanyika.

Najua fyoko fyoko zako zitaishia humu JF lakini ukizipeleka nyumbani mumeo atakutimua.Ili ujue maana ya Mtawala na mtawaliwa.

Ni hayo tuu.
Naona sasa hauna hoja zaidi ya kuja na mihemko na 'fyoko fyoko' zako hivi hiyo amri ya mwanaume kumtawala mwanamke Mungu aliitoa kabla au baada ya tunda kuliwa?? Halafu uwe unajibu maswali basi!!
 
Mkuu hata maandiko nayo kuna sehemu yametaka usawa kati ya mwanaume na mwanamke hasa kwenye dhambi ila wanaume wengi wanajifanya hawaoni hili mfano kuna andiko linasema "aziniye na mwanamke hana akili kabisa afanya jambo litakalomuangamiza nafsi yake mwenyewe"

Probably anayeongelewa hapo ni mwanaume sasa sijui wanaume wana nini la kusema kuhusu hilo andiko maana ukilitaja wengi wao wanalikwepa yaani linapokuja kwenye maswala ya utawala maandiko wanayaamini ila linapokuja kwenye swala la umalaya wanakuwa wapagani ghafla
Mkuu mimi wala sijalikataa hilo. Lakini ni ukweli usiopingika kuwa hayo maandiko yamegubikwa na stori nyingi zinazomshusha mwanamke kuliko zinazoakisi usawa. Yani ukitumia biblia kudai usawa wa kijinsia lazima utakwama tu...
 
Nyie Ndiyo mnatakiwa kujirekebisha

Mbona Mke wangu hana Haya mambo ya kijinga hivi??
Ndiyo msubiri tujirekebishe endeleeni kusubiri hiyo meli itie nanga kwenye uwanja wa ndege!!

Ndiyo wapo wanawake wengi tu hawana ujinga kama ambavyo wapo wanaume wengi tu hawana ujinga sasa kama hilo linajulikana mbona wanaume ndiyo mnapiga kelele sana wewe kama mkeo tayari yuko hivyo hawa wanawake wengine wanakuhusu nini??
 
Hahahaha masikini kwahiyo wewe kwa akili yako Mungu anavyowaacha wanadamu wafanye maovu unadhani karidhika?? Ukisema hivyo basi unamaanisha pia hata wanawake Mungu karidhika na maovu yao maana wapo makahaba wanaobarikiwa na wapo single mothers wanaobarikiwa sasa ninyi wanaume ni kina nani hata mshupalie maovu yao??

Na ninyi endeleeni kupiga kelele kuhusu maovu ya wanawake tuone kama mtafanikiwa hasa kama wewe ulivyoshupalia kuhusu maswala ya bikira nakuapia siku jamii ikibadilika wanawake wote wakianza kujitunza na kuolewa wakiwa na bikira basi nitafute nikujengee nyumba nikununulie na magari ila tofauti na hapo wote tukae kimya tu kila jinsia iendelee na maisha yake


Sisi hatupigia makelele kama unavyojinasibu humu.

Hizo ni propaganda tuu za Watawala.

Unaonekana hujui mambo mengi kuhusu huu ulimwengu.

Hata Wazungu wanawaandama kila siku Waafrika kwa maneno ya kejeli na dhihaka. Wanasema waafrika ni wajinga, wakatili, masikini n.k Lakini hizo ni propaganda za Watawala wa kizungu.

Hata Wachungaji na Mashekhe wanamuandama Shetani na mawakala wake yaani waganga wa kienyeji na wachawi. Hilo ni tabaka tawala linashambulia tabaka tawaliwa ambalo ni la shetani.

Kama hujui sifa ya tabaka tawala huwezi elewa wanachokifanya wanaume.

Kama nilivyokuambia endelea kupigana ba upepo lakini najua mambo haya yanaishia humu. Ukitoka hapa kaoshe vyombo, kafue na kumpikia mumeo.

Ni hayo tuu
 
Uonevu wowote Kwa mwanamke kwangu ni marufuku na sisi tunataka kuwa huru sio nyie kujiona mnauhuru Kwa kuhangaika sisi tukitafta wakuturidhisha mtuonee never on earth
Bibie naona unakimbia kivuli chako na kukimbia swali la msingi. Nakusaidia sasa na naendelea kufanya hivyo.

Kwahiyo kuonewa ndio kukosa uhuru ?

Kwa mfano,ukiambiwa mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi kwa maana mtawala,hapo umeonewa ? Ukiambiwa mwanamke haruhusiwi kuchanganyika na wanaume hapo umeonewa ? Ukiambiwa mwanamke ni wa nyumbani na kuchunga nyumba na kuwalea watoto hapo umeonewa au umekosa uhuru wa nini ?
 
Tatizo lenu mnatembea na wavulana mnasema ni wanaume

Ngoja wawanyooshe

Mtapiga kwata za kutosha tuu

Mwanaume halisi na mwanamke halisi hawafanyi huu ujinga unafanyika hapa
Kama mnalijua hilo kwanini mnahangaika na wanawake waliobaki?? Kwani wema si wapo basi hao hao wanatosha!!
 
Back
Top Bottom