cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Sijaongopa my friend naandika ninachokiamini.
Nimekuuliza kwanini huogopi kuongopa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuuliza kwanini huogopi kuongopa ?
Ni haki yangu maana linanihusu na Uhuru wakujiamulia kufanya jambo linalonipa furaha sio kubanwa na MTU yoyote yule kunipangia na mindset zake.Mwanzo nilikuuliza swali,unajuaje kwamba hii ni haki yako ?
Msingi wa katika ya nchi ni nini ? Na kwanini katika ya nchi ifatwe kwa kila jambo ?
Sasa,je kama jambo sio lako ukadai ni lako,ukinyimwa utasema umeonewa au umenyimwa uhuru ?
Sasa kwenye maandiko si ndio kuna misingi na haki zenyewe.
Baada ya kusoma taarifa yote, nime-observe vitu vichache.
All in all, wewe ni moja ya wanawake wachache humu wanaoweza kuandika andishi likaenda kwa mtiririko mzuri, likasomeka hata kama content ni 0.
- Mwandishi dada Marianah wewe ni mwandishi mzuri, matumizi ya alama - 100%, matumizi ya aya - 100%, mtiririko wa habari husika - 100%, kutochanganya lugha - 100% nk nk.
- Content ya ulichokiandika - sina comment.
- Inawezekana kabisa msukumo wa ulichokiandika umetokana na kelele za wanaume kulalamika kwenye mitandao, lakini naamini kuna msukumo mwingine nje ya huo, na kwa vile 3, 7, 8 na 10.
Nikipata muda nitakuelewa, big up.
Umesema kweli dada
Hii mada mnaharibu na maandiko sijui ukuu sijui nini mnataka kufuru tu humu. Ya kaisari mpeni kaisary na Ya Mungu yabaki church ujue biblia ni jinsi mtu alivoelewa, hyo haina tofauti na yule mchungaji anayetumia biblia kuoa wake wanne1 Timotheo 2: 12-14 inazungumzia ukuu wa Adam juu ya Eva.View attachment 1208362
Faizafoxy simkubali kiivyo ila leo natumia msemo wake.. "tatu bila"Hii mada mnaharibu na maandiko sijui ukuu sijui nini mnataka kufuru tu humu. Ya kaisari mpeni kaisary na Ya Mungu yabaki church ujue biblia ni jinsi mtu alivoelewa, hyo haina tofauti na yule mchungaji anayetumia biblia kuoa wake wanne
Hili tusi ulilompa mtoa mada mbona kubwa sana?
Una maanisha nini hapaFaizafoxy simkubali kiivyo ila leo natumia msemo wake.. "tatu bila"
Nilipouluza kuwa kwanini kwenye ndoa nyingi hasa hizi tulionazo siku hizi mwanaume akiyumba kiuchumi basi hata ndoa nayo inaingia matatani kuvunja sababu ikiwa ni uwezo wa mwanaume kuprovide financially kupungua!? Sasa kama kweli nyie wanawake wa siku hizi mna nguvu ya kiuchumi tena kuliko wanaume kwanini inapotokea hali kama hii ya mwanaume kushuka kiuchumi msibebe hiyo financial responsibility na badala yake mnaanza kumuona mume ni mzigo tu ambao unastahili kuutua? Simaanishi kwamba hawapo wanawake wa dizaini hii wanaowasaidia waume zao kwenye halu kama hii wapo sana ila ni wachache mno.Si kweli nyie ndo huanza kuyumbisha ndoa hasa mkishapata hela mnajiona majogoo mashenzi mnatesa wanawake wenu sasa zikiisha mnajifanya malaika kurudi mapema sasa na wanawake mda huo tunawanyoosha.
Sasa kama wanawake wana hela kuliko wanaume na wana uwezo wa kulea watoto wao wenyewe kwanini wakimbilie kushitaki kwa RC kuwa wametelekezewa watoto na wenza wao na wanahitaji msaada? Kwanini wanaume wao hawaendagi kushtaki hili kupata msaada wa kifedha kama walivyo wanawake!?Hyo ya kwenda Kwa RC ni wanawake wamekuwa na ujasiri nyie sihuwa mnakimbilia kutekeleza watoto na kuwa street children na hamkomi wallah kujali, mngekuwa mnajali msingekimbia na kuacha wanenu wateseke. Hafu single father hawafiki laki moja maana huwa hamjali.
Niliposema matajiri wa bongo sikuweka specificiability kuwa ni matajiri wa race gani, mimi nimeongelea generally matajiri wote wa bongo haijalishi ni muhindi, mwarabu,half cast au mswahili. Inaonekana unielewi kabisa wewe mwanamke.Hyo ya matajiri wakike ni hamna hata matajiri weusi nchi alikuwa mengi na mwingine kwahyo na wao unataka kusema na wao ni wanawake vile wako wachache.
Sasa kama una hela zako mimi tena nyingi tu kuna haja gani ya kutafuta mwanaume mwenye hela wakati tuna uwezo wa kuishi kwa kutumia hela zako?Wanawake tunapambana kufika juu zaidi hata tukiwa na vipato lazima tutafte aliyevzuri maana vijana wasasa hampendi kazi ni kulelewa tu, yani vyote tufanye nyie mubaki tu
Dah bro umempa zenkuzdachi,kibadachi,uchiuke na shotokan za maana na stance ya maabuu.Nikumumbushe tu mpaka tunafikishana hapa ni baada ya wewe kusema kwamba nyie wanawake siku hizi ndio mna nguvu ya kiuchumi kuliko wanaume Nilipouluza kuwa kwanini kwenye ndoa nyingi hasa hizi tulionazo siku hizi mwanaume akiyumba kiuchumi basi hata ndoa nayo inaingia matatani kuvunja sababu ikiwa ni uwezo wa mwanaume kuprovide financially kupungua!? Sasa kama kweli nyie wanawake wa siku hizi mna nguvu ya kiuchumi tena kuliko wanaume kwanini inapotokea hali kama hii ya mwanaume kushuka kiuchumi msibebe hiyo financial responsibility na badala yake mnaanza kumuona mume ni mzigo tu ambao unastahili kuutua? Simaanishi kwamba hawapo wanawake wa dizaini hii wanaowasaidia waume zao kwenye halu kama hii wapo sana ila ni wachache mno. Sasa kama wanawake wana hela kuliko wanaume na wana uwezo wa kulea watoto wao wenyewe kwanini wakimbilie kushitaki kwa RC kuwa wametelekezewa watoto na wenza wao na wanahitaji msaada? Kwanini wanaume wao hawaendagi kushtaki hili kupata msaada wa kifedha kama walivyo wanawake!?
Hapa ndipo point yangu ilipo kufuatia madai yako kuwa eti nyie wanawake mna uchumi mkubwa kuliko wanaume. Hizi porojo ulizoandika hapa hata sikuzihitaji kwenye jibu lako. Niliposema matajiri wa bongo sikuweka specificiability kuwa ni matajiri wa race gani, mimi nimeongelea generally matajiri wote wa bongo haijalishi ni muhindi, mwarabu,half cast au mswahili. Inaonekana unielewi kabisa wewe mwanamke.
Haya hata tukija kwa hao weusi tukiacha wahindi, waarabu na wengineo ambao sio weusi, je nyie wanawake wangapi mko kwenye hiyo top ten ya matajiri weusi hapa bongo!? Since you claim to be wealthier than men.
Sasa kama una hela zako mimi tena nyingi tu kuna haja gani ya kutafuta mwanaume mwenye hela wakati tuna uwezo wa kuishi kwa kutumia hela zako?
. Na pia mbona sisi wanaume hatuoni shida kuoa mwanamke ambao hana kipato kabisa lakini ni kinyume chake kwa nyie wanawake(ambao ndio mna hela kuliko sisi)
Masterbation na abortion ni vitu viwili tofauti abortion tayari ni mtoto ametungwa, hicho ni kiumbe tayari, ni sawa na wewe tu, vile chenyewe bado KIPO tumboni lakini kina haki zote za kuishi. Masterbation ya kike na kiume havina tofauti wote mnatoa manii ambayo hayajatengeza kiumbe, katika mtungo mmoja wa mimba manii ya mbegu za viluwiluwi za kiume karibu million moja hupoteaNa Mwanamke anayefanya Abortion ni sawa na Mwanaume anayepiga punyeto. Wote wauaji.
Nikumumbushe tu mpaka tunafikishana hapa ni baada ya wewe kusema kwamba nyie wanawake siku hizi ndio mna nguvu ya kiuchumi kuliko wanaume Nilipouluza kuwa kwanini kwenye ndoa nyingi hasa hizi tulionazo siku hizi mwanaume akiyumba kiuchumi basi hata ndoa nayo inaingia matatani kuvunja sababu ikiwa ni uwezo wa mwanaume kuprovide financially kupungua!? Sasa kama kweli nyie wanawake wa siku hizi mna nguvu ya kiuchumi tena kuliko wanaume kwanini inapotokea hali kama hii ya mwanaume kushuka kiuchumi msibebe hiyo financial responsibility na badala yake mnaanza kumuona mume ni mzigo tu ambao unastahili kuutua? Simaanishi kwamba hawapo wanawake wa dizaini hii wanaowasaidia waume zao kwenye halu kama hii wapo sana ila ni wachache mno. Sasa kama wanawake wana hela kuliko wanaume na wana uwezo wa kulea watoto wao wenyewe kwanini wakimbilie kushitaki kwa RC kuwa wametelekezewa watoto na wenza wao na wanahitaji msaada? Kwanini wanaume wao hawaendagi kushtaki hili kupata msaada wa kifedha kama walivyo wanawake!?
Hapa ndipo point yangu ilipo kufuatia madai yako kuwa eti nyie wanawake mna uchumi mkubwa kuliko wanaume. Hizi porojo ulizoandika hapa hata sikuzihitaji kwenye jibu lako. Niliposema matajiri wa bongo sikuweka specificiability kuwa ni matajiri wa race gani, mimi nimeongelea generally matajiri wote wa bongo haijalishi ni muhindi, mwarabu,half cast au mswahili. Inaonekana unielewi kabisa wewe mwanamke.
Haya hata tukija kwa hao weusi tukiacha wahindi, waarabu na wengineo ambao sio weusi, je nyie wanawake wangapi mko kwenye hiyo top ten ya matajiri weusi hapa bongo!? Since you claim to be wealthier than men.
Sasa kama una hela zako mimi tena nyingi tu kuna haja gani ya kutafuta mwanaume mwenye hela wakati tuna uwezo wa kuishi kwa kutumia hela zako?
. Na pia mbona sisi wanaume hatuoni shida kuoa mwanamke ambao hana kipato kabisa lakini ni kinyume chake kwa nyie wanawake(ambao ndio mna hela kuliko sisi)
Masterbation na abortion ni vitu viwili tofauti abortion tayari ni mtoto ametungwa, hicho ni kiumbe tayari, ni sawa na wewe tu, vile chenyewe bado KIPO tumboni lakini kina haki zote za kuishi. Masterbation ya kike na kiume havina tofauti wote mnatoa manii ambayo hayajatengeza kiumbe, katika mtungo mmoja wa mimba manii ya mbegu za viluwiluwi za kiume karibu million moja hupotea
Hamtaki kutuletea, huoni wenzio wakileta matangazo ya kutafuta wake utasikia "awe na kipato" au awe na kazi ya kumuingizia pesa, means hawataki kutuletea.... Kuna mmoja jana humu amesema wanawake tutafute pesa zetuSasa kwanini wanawake nao wameingikia majukumu yetu ya kimaumbile ? Nani aliwaambia na nyinyi mtafute hela kwa jasho ? Nyinyi mnapaswa mkae nyumbani mzae sisi tuwaletee hela.
Hahahahaha, wewe haupo broBaadhi ya Wanaume Zesh [emoji41][emoji41][emoji41]
Dah bro umempa zenkuzdachi,kibadachi,uchiuke na shotokan za maana na stance ya maabuu.
Akiinuka tena niite mkuu.
Dah dada hahahahaah hapa bhana hapana umeenda mbali hii sasa hapana.Yote ni kosa masterbation, kutamani Kwa kuona zote hzo ni dhambi na according to maandiko dhambi zote sawa tu.unaweza kuua hats Kwa mawazo ni kosa maana jambo lote huanzia akilini. So usitafte kupunguza uzito wakosa mastebation ni kosa
ShukranWewe kuandika hujui wakiitwa wanaume utaenda kweli? Kajifunze kuandika kwanza ndo uje hopeless kweli wewe
Sasa hutakiwi uandike unacho kiamini,uantakiwa uandike ukweli,kwenye kuanimi kuna imani potofu ambayo ya uongo pia.Sijaongopa my friend naandika ninachokiamini.