Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Wewe sio muelewa siwezi kukaa pamoja nawe tukijadiliana pia huwezi kuelewa nitakacho andika ubishi kwako ni sifa nikuache na wanao kuweza kubishana nawe.
Sasa kusema tu mimi sio muelewa kwa sentences mbili ambazo hazioneshi hata huko kutokuelewa kwangu mimi nitakuelewa nini na nitakuamini vipi!?

Kutokuelewa kwangu kukoje hebu fafanua?

Au mtu muelewa kwako yukoje?

Na vipi labda pengine wewe ndio sio muelewa sababu hata kufafanua tu kutokuelewa kwa huyo mtu unaye mtuhumu kuwa sio muelewa kumekushinda?

Umewahi kujadiliana na mimi sehemu yoyote ukagundua kuwa kwamba siwezi kukuelewa au unajikuta nabii tu?
 
Mkuu, mbona lipo andiko linalosema "mwanamume atawaacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja" (kwanini halijasema mwanamke) pia kuna andiko linasema "(mwanamume) aziniye na mwanamke hana akili kabisa afanya jambo litakalomuangamiza nafsi yake" (kwanini halijasema mwanamke).

Je utasema wanawake hawahusiki kwenye hayo maandiko kwa sababu tu hawajatajwa au hawajaongelewa??
Ni kweli kabisa maandiko yapo wazi katika hayo yote,kizuri ni kwamba unasoma vema biblia!

Umejibu baadhi tu ya hoja nikizokupa,nami nitakupa majibu machache lakini nitarejea hapo juu kukumbusha yale ambayo uliyasahau!

Mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa,ndiyo! Kama baba/kichwa cha familia anapaswa kuwa clear,kama anaweza kuoa mmoja,wawili, watatu ... Kwa nini ajifiche fiche? Anapaswa kufanya maamuzi ya kiume,ni either nabaki na mmoja au naingeza wengine ASIZINI!

Hapo utawatazama mababa wa imani,kuanzia IBRAHIM, na wengine wengi katika maandiko,waliweza kujitwalia wake kwa kadri walivyotaka,kikubwa uwezo wao wa kuwahudumia ujitosheleze

Lakini hakuna mahali mwanamke ameolewa na waume wawili au watatu katika marejeo ya kimaandiko,ukipata popote nitakulipa nusu ya pesa zote nilizo nazo!

Then mwanaume atamwacha baba yake na mama yake,naye ataambatana na mkewe,ni sawa kabisa,hapo mwanaume anapewa majukumu rasmi ya kumuongoza mke,(kwani ukienda mbele zaidi katika maandiko ulitlyoyanukuu,yanamtaja mwanaume kuwa kichwa cha familia) kwa maana hiyo,mke pamoja na kuwa anakuwa mwili mmoja na mumewe lakini mwenye kuongoza na kuendesha mambo ya huo mwili mmoja,amepewa mwanaume ambaye ndiye "kichwa"

Kwa hiyo dhana nzima ya kutenda dhambi haina justification,haijalishi anayeitenda ni mwanamke au mwanaume!
 
Nyinyi mnagoma kutafuta kwa jasho mle na walotoka mbavuni kwenu, mmekomaa tutafute wote halafu kuzaa tuzae peke yetu
Hao wanaume wanaotaka mtafute wote, ndio wanaotuharibia dunia yetu iliyokua tamu sana.....! Lakini chanzo cha tatizo sehemu yoyote ile hutokana na kushindwa kwa mwanaume,
 
Dada report nyingine ya forbes ikionesha ktk matajiri 25 wa kidunia jinsia ke iko moja tu tena nafasi ya kumi naa.
Sijaelewa ktk sekta ipi ya uchumi mmetuzidi wanawake ???

Most people have a pretty good idea, even if they’re not an entrepreneur, or interested in the subject at all for that matter.
As you’re reading this, you probably already have names popping into your head as to who will appear on the list of the richest.
Let’s find out in this article, where we list the top 25 richest people in the world as of 2019. These are the game-changers, and the people who have helped transform and re-shape the world.
The 25 Richest People in the World
There’s been a huge fluctuation in the net worth of these billionaires in the past year. But, you can find out more about that below!
The stats given here in regards to net worth have come from Forbes directly. These are the top 25 richest people in the world in 2019:
25. Li Ka-Shing
Net Worth: $29.8 Billion
Li Ka-Shing is one of the most influential businessmen in Asia, and is the current chairman of CK Hutchison Holdings, and CK Asset Holdings. However, he plans to step down from the throne this year. As of June 2019, Li Ka-Shing’s net worth is roughly $29.8 Billion.
“Vision is perhaps our greatest strength… it has kept us alive to the power and continuity of thought through the centuries, it makes us peer into the future and lends shape to the unknown.” – Li Ka-Shing
24. Lee Shau Kee
Net Worth: $29.9 Billion
Lee Shau Kee is the co-founder of Sun Hung Kai, a successful property development company. He grew up in a very poor family, but today he is worth just under $30 billion.
23. Hui Ka Yan
Net Worth: $31.3 Billion
Hui Ka Yan is the current chairman for the Hong Kong-listed real estate developer, China Evergrande Group, of Shenzhen. The company is active in residential and commercial property.
As of this year, Hui Ka Yan’s net worth is $31.3 billion.
22. Sheldon Adelson
Richest People - Sheldon Adelson
Net Worth: $34.9 Billion
Sheldon Adelson is an American business magnate, investor, and philanthropist.
He is also the founder, chairman and CEO of Las Vegas Sands Corporation, which owns the Marina Bay Sands in Singapore.
Sheldon has recently managed to climb onto the list of the top 25 richest people worldwide in 2019, with a new estimated net worth of $34.9 billion.
“I look at every business and ask, How long can this last? How can I identify the status quo and change it?” – Sheldon Adelson
21. Jack Ma
Richest People in the World - Jack Ma
Net Worth: $36 Billion
Jack Ma is the founder of Alibaba, and although he’s been one of the richest people in Asia for several years, he’s only just made it onto the list of the richest people in the world this year.
Jack was rejected from multiple jobs, including KFC when it was first introduced to China. Today, Jack Ma’s net worth is estimated to be $36 billion, launching him to the 21th spot on this list.
“A leader should have higher grit and tenacity, and be able to endure what the employees can’t.” – Jack Ma
20. Ma Huateng
Net Worth: $37.2 Billion
Ma Huateng is a Chinese business magnate, investor, philanthropist, engineer, internet and technology entrepreneur. He’s also the founder of Tencent, which is the most valuable company in Asia.
Huateng is another of the richest in Asia, who made it on this list in 2019, with an estimated net worth of $37.2 billion in 2019.
19. David Koch
Net Worth: $42.1 Billion
David Koch is Charles Koch’s brother, and serves as the Executive Vice President of Koch Industries. David and Charles both own a 42% stake in the conglomerate.
Koch appears 19th on this list of the richest people in 2019, and with a net worth of $42.1 billion.
18. Charles Koch
Net Worth: $42.1 Billion
Charles Koch is an American businessman and philanthropist.
Koch is the co-owner and CEO of Koch industries. Koch Industries now includes process and pollution control equipment and technologies; polymers and fibers; minerals; fertilizers; commodity trading and services; forest and consumer products; and ranching.
Koch made this year’s list of the richest people, and with an impressive net worth of $42.1 billion!
17. Steve Ballmer
Richest People - Steve Ballmer
Net Worth: $49.1 Billion
Steve Ballmer is the current owner of the NBA’s Los Angeles Clippers, and he is also the former CEO of Microsoft. As of 2019, Steve Ballmer’s net worth is estimated at $49.1 billion.
16. S. Robson Walton
Richest People - S. Robson Walton
Net Worth: $49.2 Billion
Rob Walton is the eldest son of Sam Walton, and served as the chairman for Walmart, after his father’s death, up until 2015.
Further more, he briefly surpassed his brother Jim recently on this list of the richest people in the world. However, he’s now fallen back to his original spot.
15. Sergey Brin
Net Worth: $49.3 Billion
Sergey Brin and Larry Page co-founded Google back in 1998, in just a small simple garage. The duo have taken Google to the top, putting Sergey Brin a few places behind Page in this list of the richest people worldwide.
14. Alice Walton
Net Worth: $49.4 Billion
Alice Walton is the daughter of Sam Walton, and heiress to the Walmart fortune. She founded the Llama Company in 1988, but it has since closed down.
Today, Alice Walton’s net worth is estimated to be $49.4 billion dollars, making her the 14th richest person in the world.
“I know the price of lettuce. You need to understand price and value. You buy the best lettuce you can at the best price you can.” – Alice Walton
13. Jim Walton
Richest People - Jim Walton
Net Worth: $50.3 Billion
Jim Walton is the son of Sam Walton, who was the founder of the world’s largest retail chain, ‘Walmart’. He is on the Walmart board of directors, and CEO of his own company, Arvest Bank.
In 2019, Jim Walton’s net worth is $50.3 billion.
12. Larry Page
Richest People - Larry Page
Net Worth: $50.3 Billion
Larry Page is the co-founder of Google, which was founded back in a garage in 1998.
Google, no doubt, has become the most successful search engine in the world, and the company has gone on to make various acquisitions such as YouTube. Google’s success has made Larry Page one of the richest people in the world.
11. Mukesh Ambani
Richest People in the World - Mukesh Ambani
Net Worth: $52.6 Billion
Mukesh Ambani is an Indian business magnate, currently chairman, managing director and largest shareholder of Reliance Industries Limited (RIL).
Ambani has been the richest man in Asia for a while now, and this year, he made it onto the list of the richest worldwide! As of 2019, Mukesh Ambani’s net worth is $52.6 billion.
“Today I see a billion people as a billion potential consumers, an opportunity to generate value for them and to make a return for myself” – Mukesh Ambani
10. Michael Bloomberg
Net Worth: $53.9 Billion
Michael Bloomberg is an American entrepreneur and politician. Bloomberg is the founder and CEO of Bloomberg L.P, the financial data and media company. Bloomberg is now 74 years old and one of the richest people in the world.
Michael Bloomberg has added another $5 billion dollars to his net worth in the past 6 months, which has caused him to re-gain his previous position of 10th on this list. His net worth is now estimated at $53.9 billion.
9. Francoise Bettencourt Meyers
Net Worth: $54.9 Billion
Francoise Bettencourt Meyers became the reigning L’Oreal heiress when her mother, Liliane Bettencourt, passed away in 2017. She now runs the holding company as chairwoman, with her family owning 33% of L’Oreal.
8. Carlos Slim Helu
Net Worth: $60.1 Billion
Carlos Slim Helu is a Mexican businessman and investor; owner of the conglomerate ‘Grupo Carso’. The conglomerate’s portfolio consists of brands in many different industries, such as health care, media, energy, real estate and retail.
Carlos is 8th on this list of the richest people in the world, with a net worth of $60.1 billion. In recent months, Carlos Slim has lost almost $6 billion from his net worth, and dropped from 4th to 7th.
7. Amancio Ortega
Richest People - Amancio Ortega
Net Worth: $64 Billion
Amancio Ortega is a Spanish entrepreneur and founder of the Inditex fashion group. Inditex owns Zara, and Zara is one of the most popular clothing chains worldwide.
Ortega recently moved back up to the 7th richest man in the world, after other players on the list have dropped down slightly. However, Ortega’s also lost over $11 billion from his net worth in recent months.
6. Larry Ellison
Richest People - Larry Ellison
Net Worth: $64.9 Billion
Larry Ellison is the co-founder of the Oracle Corporation, and he was also the company’s CEO until September 2014. Over the years, Oracle has become an incredibly successful tech company, now being 39 years old and employing over 136,000 people.
Larry Ellison is 6th on this list of the richest people in the world, with a net worth of $64.9 billion.
5. Mark Zuckerberg
Net Worth: $67.4 Billion
We all know Mark Zuckerberg as the founder of Facebook. Facebook has become the most popular and most valuable social media company in the world. And it all started in Mark’s dorm room at Harvard University.
Mark Zuckerberg has recently dropped off from the 3rd spot, after losing a lot of his net worth due to the Cambridge data scandal and various other issues causing the Facebook stock prices to fall.
Mark Zuckerberg is now the 5th richest man in the world, with an estimated net worth of $67.4 billion.
“When you give everyone a voice and give people power, the system usually ends up in a really good place. So, what we view our role as, is giving people that power.” – Mark Zuckerberg
4. Warren Buffett
Richest People - Warren Buffett
Net Worth: $84.8 Billion
Warren Buffett is an American entrepreneur and investor, and CEO of Berkshire Hathaway. Buffett is the most successful investor worldwide, and millions of other traders look up to him because of his success.
Warren Buffett is the 4th richest man in the world, with an incredible net worth of $84.8 billion. However, despite this fact, Buffett still lives in the home he purchased back when he didn’t even know what a billion dollars looked like.
What a humble guy!
Richest People Quotes - Warren Buffett
“I will tell you how to become rich. Close the doors. Be fearful when others are greedy. Be greedy when others are fearful.” – Warren Buffett
3. Bernard Arnault
Richest People - Bernard Arnault
Net Worth: $93.9 Billion
Bernard Arnault is the CEO of LVMH (Louis Vitton Moet Hennessey).
Ultimately, the company was formed from merging the two businesses together. Louis Vitton is the very successful luxury fashion brand, and Moet Hennessey is the merged champagne and cognac manufacturers.
Bernard has been making serious movements up this list in the past year. In fact, at the beginning of 2017, he was at 14th. Now, a year later, he’s placed at 3rd on the list of the 20 richest people on earth in 2019.
2. Bill Gates
Net Worth: $102.1 Billion
Bill Gates is the founder of Microsoft, and was the richest man in the world for several years running. Gates founded Microsoft in 1975 with Paul Allen, and has since become the largest PC software company worldwide.
Last year, Bill Gates has gained an incredible $10 billion in additional net worth! This has put him at an estimated net worth of $102.1 billion overall. However, he’s recently been overtaken by the next man on this list…
“Success is a lousy teacher. It seduces smart people into thinking they can’t lose.” – Bill Gates
1. Jeff Bezos
Net Worth: $153.72 Billion
Jeff Bezos is the founder of Amazon, one of the biggest and most popular companies on the web. Amazon started as a simple online bookstore in Jeff’s bedroom, and the initial sales were slow.
In 2019, Jeff Bezos has become the richest man in the world, after adding a whopping $40 billion to his net worth last year! Amazon is making major moves, after recently acquiring Wholefoods, launching drone shipping and a bunch of other strong ideas.
Bezos is soon divorcing his wife MacKenzie; after which she will receive 4% of Amazon, which is worth billions.
Jeff Bezos is the first man ever to reach the $100 billion mark, which is just insane! Keep reading below to view a complete summary of the richest people in 2019.
Richest People Quotes - Jeff Bezos
“There are two kinds of companies, those that work to try to charge more, and those that work to charge less. We will be the second.
Tumewazidi kila kitu hadi dhambi tumewazidi.
 
Hoja za Lizarazu utalinganisha na za cariha!???
Kwa huyu dada ,Lizarazu akajipange upya.
Nioneshe hoja yoyote ya maana aliyoitoa huyo cariha tangu huu mjadala uanze iwe ni kwenye comments alizokuwa anajibu mimi au mtu mwingine yoyote hapa!

Hoja zake zilizopelekea kubishana na mimi ni hizi:

1.Wanawake wa Tanzania sasa hivi wameshika na kuitawala sekta ya ujasiriamali.

2.Mwanamke na mwanaume sasa hivi wote tuko sawa kwenye kila kitu tofauti zetu ni jinsia tu.

Sasa naomba na wewe umsaidie kutetea hizo hoja mbili kwa maelezo yenye mashiko na ushawishi na yaliyoambatana na mifano hai, maana yeye ameshindwa.

This thread alone has bewrayed her chain of argumentation is fvcked up big time, i would rather debate with Marianah.
 
Kwa hiyo huko unapoishi ulivyoona biashara nyingi wanao zi run ni wanawake basi ndio ukahitimisha kwamba Wanawake wamewapiga bao wanaume kwenye ujasiriamali hapa nchini?
Mimi nimeshuhudia Kwa macho na hyo ni report niliyoisoma ngoja nitafte mda Nita screenshot kuweka hapa maana mwanaume inferior ni janga Kwa karne hii
 
1.Aliko Dangote – Net worth $10.3 billion
2.Mike Adenuga- Net worth $9.2 billion
3. Nicky Oppenheimer & family- Net worth $7.3 billion.
4.Nassef Sawiris- Net worth $6.3 billion
5.Johann Rupert & family – Net worth $5.3 billion
6.Issad Rebrab & Family – Net worth $3.7 billion
7. Naguib Sawiris – Net worth $2.9 billion
8. Koos Bekker - Net worth $2.3 billion
9. Isabel dos Santos- Net worth $2.3 billion
10. Mohamed Mansour- Net worth $2.3 billion
11. Strive Masiyiwa- Net worth $2.3 billion
12.Patrice Motsepe- Net worth $2.3 billion
13. Aziz Akhannouch & family – Net worth $2.1 billion
14. Mohammed Dewji - Net worth $1.9 billion
15. Othman Benjelloun & family- Net worth $1.7 billion

Hiyo ni list ya forbes ya top 15 richest in Africa mwanamke mmoja tu na yupo nafasi ya tisa.
Eti dada mnaongoza ktk nini??
Wewe ka mwanaume unashadadia boksa za wanaume wenzako net worth yako shilling ngapi yani mwanaume mzima hujiamini mpaka kushadadia wanawaume wenzako una shida wewe na kina lizararu wapenzi wenu wana shida sana
 
Asante kwa kulijua hili.... Eti wanasema dunia ipo updated [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao wanaume wanaotaka mtafute wote, ndio wanaotuharibia dunia yetu iliyokua tamu sana.....! Lakini chanzo cha tatizo sehemu yoyote ile hutokana na kushindwa kwa mwanaume,
 
Mimi nimeshuhudia Kwa macho na hyo ni report niliyoisoma ngoja nitafte mda Nita screenshot kuweka hapa maana mwanaume inferior ni janga Kwa karne hii
ko wapi fanya kuileta hiyo report tena iwe ni recent published.

Kutaja taja neno"inferior" hata pasipokuwa na ulazima huko ni kujihami na mara nyingi mtu anayejihami hami hata bila uwepo wa maadui ni inferior.
 
Jifunze Ku summarize in short kuliko kuandika bandiko refu huku likiwa halina point why meandering, hyo Franklin I lengo lako lilikuwa uzalilishaji that's why nikasoma between the lines eti jeshini sijui Ku bleed, hapo ulitaka tu kuonyesha discrimination acha kukwepa na nikakupa jibu direct bleeding is normal without hyo kitu usingekuwepo so wanaume wasiojielewa hukimbilia Ku attack kwahyo bleeding, so next time na smart enough.

Niko more knowledge more than you think, eeeh hafu hujui hata maana ya feminist movements na lengo lake wala aina zake wewe umemezeshwa sumu na waliokuzunguka, kwahyo wewe unavo argue na Ku discriminate women here in JF ina wakilisha patriarchy system eeeh.

Mengine staki kujichosha minor issue sana kupoteza mda yani eeeh
Pamoja na kutumia nguvu nyingi na udadavuzi yakinifu niliyokupa kwa kuzingatia mpangilio wa hoja zako lakini bado hatuelewani kabisa.

Sitaki kuutilia shaka uwezo wako wa kuelewa bali acha nijipe tu benefit of doubt kuwa yawezekana unanielewa ila unafanya makusudi kwa kutoa majibu yasiokuwa na mfanano wa kimantiki na hoja zangu ninazo kupa.

Pia pamoja na ujuaji wako Lakin unaonekana wewe ni mchache wa maarifa na hata kwenye hiyo mitazamo yako ya kifeminist bado unayumba yumba tu, umejaa self contradictions tu.

Mimi nimemtaja Franklin Benjamin kuwa yeye ni mgunduzi wa sanitary pad unayoitumia leo hii unapokuwa MP kama mfano mdogo tu wa kuonesha jinsi gani wanaume walivyo so much creative kiasi cha kubuni vitu ambavyo ni kwa ajili ya faida yenu nyie wanawake tangu enzi na enzi, Na wala sikuwa na maana nyingine zaidi ya hii. Ila sasa angalia wewe ulivyoipokea hata mtoto mdogo akiona ulivyo respond hapa atakushangaa sana.

Pengine nilitegemea labda katika ku-counter hii argument yangu uniambie na wewe tangu mpate huo ukombozi wenu na nyie wanawake mmegundua hiki na hiki na kile ambacho ni kwa ajili ya faida ya mwanaume hili kuonesha kwamba kweli hata nyie mnaweza kufanya mambo makubwa mkipewa ulingo sawa na wanaume . Sasa wewe unaanza kuleta sijui masuala ya bleeding ni wapi nimeongelea bleeding mimi?

Yaani tangu mwanzo una bwabwaja tu na kuji contradict mwenyewe badala ya kujibu hoja.

Umesema sasa hivi nyie tayari hamko tena kwenye mfumo kandamizi uliokuwa unawanyima fursa za kufanya mambo makubwa hasa kwenye academic arena, haya sasa hivi nyie mna access sawa na wanaume kwenye huduma zote ikiwemo elimu.

Nimekuuliza kwanini bado taaluma nyingi za kisayansi ziko dominated na wanaume na hatuna hiyo 50/50, wewe unajibu eti tangu mpate huo ukombozi hamjafikisha hata miaka 100 wakati hapo mwanzo umesema kwamba hamko tena kwenye ukandamizi, sasa hapa niikueleweje?

Nakuulize tena kwanini ukiingia kwenye darasa la PCB kwenye shule yoyote ile mchanganyiko lazima utakuwa wanafunzi wa kiume ndio wwngi kuliko wakike!? Je hii nayo tusubiri baada ya miaka 100 ndio tuliulize?

Unakubali kuwa men are intellectually superior than women??
 
Usijal Mamii hapa tunachangamsha genge tuu, Ila tunatambua mchango wenu kwenye Jamiii, tunawaheshimu na tunawapenda, Kikubwa n kila mmoja atambue nafas ya mwenzake ndo maisha yataenda.
Mwanaume anayehangaika na wanawake dhaifu na hajiamini au mwatuonea wivu na papuchi zetu
 
Eti anatishia, "kuoa wa hivi ataua", wakati siku hizi kuna ndoa za wao kwa wao si aende huko sasa ili asiue akaishia kufungwa
Wanaume kujifananisha na suleiman wananichekeshaga kweli

Unakuta mtu anasema mfalme Suleiman wakati hata baiskeli hana, nguvu za kiume za kudunduliza, hekima hana wawe wanajitolea mifano wanayofanania lakini vinginevyo tutawacheka sana tu
Hahahaa haki umejua kunifurahisha
 
Hyo report ndefu na ilikuwa huku JF this year, tusiandikie mate na wino ungalipo

Pia siwezi jihami Kwa kitu ninachokiamini
ko wapi fanya kuileta hiyo report tena iwe ni recent published.

Kutaja taja neno"inferior" hata pasipokuwa na ulazima huko ni kujihami na mara nyingi mtu anayejihami hami hata bila uwepo wa maadui ni inferior.
 
Wewe ka mwanaume unashadadia boksa za wanaume wenzako net worth yako shilling ngapi yani mwanaume mzima hujiamini mpaka kushadadia wanawaume wenzako una shida wewe na kina lizararu wapenzi wenu wana shida sana
Hahahahha!! Nimecheka sana!

Kwamba wapenzi wetu wana shida, hapana mimi mpenzi wangu hana shida hata kidogo kwa uamuzi wake wa kuwa na mimi, badala yake anafurahia kuwa na mimi.

Mimi namuhurumia tu huyo kidume uliyenae maana kuishi na mtu kama wewe itabidi awe mwanaume-mwanamke.
 
Back
Top Bottom