Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Afadhali unajua hili.
Nyingi zimejaa kejeli,ushindani na fitina tu.
Bora ukae zako usikilize nyimbo.

Vipi ule mapango (kanisani)bado unaendelea nao!??au ndio ulishaacha!??

Nilienda mara kadhaa, then nikaacha baada ya kuanza mizunguko mikoani. Mpaka nikitulia tena.
 
Hahaha, sijaweka agano bana, bado natafakari.
Ulishaweka...na uliahidi kutekeleza.
labda Kama mimi nimesahau..

Unatafakari Nini!??
Unasubiri Nini?
Nini kinakukwamisha!???
Kumbuka muda unakwenda mbele...haukusubiri..

Kwa mfano Leo ndio ingekuwa siku yako ya mwisho...ungefanyaje!??
Kasome mhubiri12:1.
 
No haya mambo yaliwekwa na wanaume hayakujiweka wenyewe wala hayakuwekwa na Mungu
Kwanini yasingewekwa na wanawake kisha wakajipendelea wao kama ambavyo wanaume wamejipendelea baada ya kuyaweka wao?

Kwanini wanawake walikubali kuyafuata mambo hayo kwa kipindi kirefu ilihali wakijua kwamba yanawakandamiza?

Kwanini wanawake wamekaa kwenye mfumo kandamizi kwa muda mrefu sana wamekuja kuanza empowerment movements hivi karibuni tu hapa?
 
Large paragraph hayo yote uloandika nayajua na iq ni mojawapo ya kigezo cha kufanyia vilaza popote pale
Niliyo yaandika huyakuti katika kipimo chenu cha IQ,najua nimekuandikia jambo jipya.

Siku ukiwa na hoja na ukishajua maana ya maneno unayo jiegemeza kwayi,nitustue,tuendelee hapa tulipoishia.

Huwa tunazungumza kanuni,hatulalami sisi.
 
Hata sijapoteza kumbukumbu wewe ndo huelewi yani udini uanzishe wewe then now unibadilikie naona wewe ndo una matatizo ya kutokujielewa acha kuhamisha magoal bwana. Nyie mwanaume suruali mlijificha kwenye kichaka cha udini
Rejea pale uliposema kuna dini nyingine inamkandamiza mwanamke ila hutaitaja.

Unakimbia kivuli chako.
 
Lizararu you called my man half man, basi ka ni half man mpe hicho kijambio chako halafu ulete mrejesho hapa ka ni half man, siunajua kashfa wewe, mpe kijambio hicho
Hahahahha!! Chiliax girl, why all of these faux pas and gaffes?

Has my unflappant statement sent you out of your composure?

Let me demystify whatever seems to perplex your damn mind.

When i said half-man half-woman i literally meant the kind of man whose manhood is already gigantically engulfed by waves of feminism and he has no genuine masculinity anymore.

A man who is ready to comply with whatever conditions his woman gives him.

I know most of men dating feminists falling in those aforementioned characters.

I didn't mean to offend you as you perceived it.
 
Hata sijalala lolote please fupisheni comment zenye logic. Sisomi paragraph refu ka za Song of lawino and okol
Unaweza kutumia ya logic kukosoa haya niliyo yaandika ? Jibu huwezi sababu hujui hata mipaka ya logic,inaonekana unapenda sana kusikia maneno bila kuyaelewa maneno hayo.

Nakuonyesha ya kuwa kila unalo andika unatakiwa ulijue na hii ndio maana halisi ya mijadala,sasa unajadili jambo mwisho wa siku hata kulitetea na kulijengea hoja huwezi,haya ni matumizi mabaya ya akili.

Usiposoma wewe watasoma mfano wako na wasio kuwa nyinyi. Kuna muda tuna yaandika haya ili wengine waone ujinga ulipo.

Hii ni kwako wewe khasa na kwa wengine kwa ujumla.
 
Hayo mambo ya udini ni kichaka cha wadhaifu wasio think beyond something tangu juu nimeshasema
Ulitoa maana nzuri kiasi ya kufikiri nje ya box,lakini nikakupa mfano uonyeshe namna ya kufikiri nje ya box,ukashindwa nikahitimisha ya kuwa unafahamu maana tu ila uhalisia hauko nao.

Huwa tunasema hivi "Ukitaka kuruka hakikisha umeagana na nyonga" na husemwa hivi "Tengeneza kiti chako kwanza kisha ndio ukipambe"


Nipo .....
 
Lizararu you called my man half man, basi ka ni half man mpe hicho kijambio chako halafu ulete mrejesho hapa ka ni half man, siunajua kashfa wewe, mpe kijambio hicho
And you will still brag kuwa "una jielewa" with all these childish tantrums display?
 
Lizararu you called my man half man, basi ka ni half man mpe hicho kijambio chako halafu ulete mrejesho hapa ka ni half man, siunajua kashfa wewe, mpe kijambio hicho
Kwenye Wanaume kuna Wanaume.
 
And you will still brag kuwa "una jielewa" with all these childish tantrums display?

Utandawazi umewafanya kuwa wajinga sana hawa watoto wa kike,wanapambana na wasichokijua,acha waonekane vituko na watumiwe kama bidhaa.

Halafu huyo ndio awe kiongozi au mtetezi na kuaminiwa ? Hata maana ya maneno tu hajui.
 
Hayo yote unaweza ukayaongezea na ndiyo maana nikasema kabisa kwamba nikiandika yote sitayamaliza mengine mtaongezea ninyi wadau kwahiyo wewe weka mezani ulichonacho ili kijadiliwe
Hii nukta kwa ukubwa wake unaweza kuandika vitabu na vitabu. Inaonekana umeitaja bila kujua ukubwa wake.

Naomba nikuulize maswali yafuatayo juu ya nukta hii.

1. Mipaka ya utii wa mwanamke kwa mumewe ni ipi ?
2. Kwanini umelinganisha utii na kutokuwa na upendo kwa Mwanaume kwa mke wake ?
3. Wakati gani Mwanamke huitwa si mtiifu kwa mumewe ?
4. Wakati gani Mwanaume huambiwa hana upendo na mkewe ?

Hii nukta ukiiacha hivi inaitwa upotofu au unapotosha,kwanini nasema hivyo ? Hapa ulitakiwa kusema isipokuwa kwa sababu zinazopelekea ulazima wa kuachana.

Je huko kuachana hakuna sababu ? Bila shaka zipo,hapa ulitakiwa uzitaje japo kwa uchache.
 
Lizararu you called my man half man, basi ka ni half man mpe hicho kijambio chako halafu ulete mrejesho hapa ka ni half man, siunajua kashfa wewe, mpe kijambio hicho
Unajua hata maana ya kashifa kwanza?
 
Back
Top Bottom