Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Haya MLEVi Mmoja na wewe njoo hapa ujione ulivyo hauna akili
Nani alikwambia kwamba IQ ni kipimo cha kumjua mtu mwenye akili ?

IQ na mtu mwenye akili,ni vitu viwili tofauti,mtu mwenye akili hapimwi kwa kuulizwa maswali na kwa kutumia taratibu za kijinga,mtu mwenye akili anapimwa au tunamjua kwa :

1. Kujizuia na yale yote yenye kuzuru afya ya akili yake.
2. Kujizuia na yale yote yenye kuzuru afya ya mwili wake.
3. Kujizuia na yale yote yenye kuharibu mali yake.
4. Kujizuia na yale yote yenye kuzuru au kuharibu nasaba/kizazi chake.

Kinyume na hapo wewe huna akili,hata kama ukiwa na IQ zote,wewe kama una IQ kubwa halafu ni mlevi wewe huna akili,wewe ukiwa na IQ kubwa unavuta sigara wewe huna akili,ukiwa una IQ kubwa halafu unaenda kinyume na Dini inavyotaka wewe huna akili.
 
Kwahiyo ni kwamba haujui ni kwanini siyo?? Au unanijaribu ujinga tu??
Kwanini yasingewekwa na wanawake kisha wakajipendelea wao kama ambavyo wanaume wamejipendelea baada ya kuyaweka wao?

Kwanini wanawake walikubali kuyafuata mambo hayo kwa kipindi kirefu ilihali wakijua kwamba yanawakandamiza?

Kwanini wanawake wamekaa kwenye mfumo kandamizi kwa muda mrefu sana wamekuja kuanza empowerment movements hivi karibuni tu hapa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Kweli you will never walk alone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajitutumua na slogan yetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka Sana.
 
Na kauli kama hizi ndiyo zinajustify maovu ya wanaume kwenye jamii
Hii comment yako kwa ukiingilia kwa jicho la tatu ina mdharirisha sana mwanamke,

inaonesha kuwa mwanamke ni kiumbe kisichojielewa na hakina maamuzi juu ya mwili wake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huyu Lizarazu Ni jeshi la mtu mmoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kumbe Hadi Nyenyere hamfikii..
Kwani Nyenyere kaingia lini??
 
Tofautisha kati ya kuwa dominated na kuwa downgraded tunapenda kuwa dominated lakini wanaume wengi wa kiafrika mnatu downgrade
mwanamke mwenzenu huyo nimetoa hii comment kwenye uzi mwingine.. mtabishana ila mwisho wa siku ukweli ni kwamba deep inside mnapenda kuwa dominated.
Karma
 
[emoji23][emoji23]mmhh Saint anne mbona sijawahi kuambiwa haya yote directly mimi jamani?? Kweli ujio wa huyu dada ume unleash mambo mengi yaliyojificha!![emoji1787][emoji1787]
Hao wawili niliowataja wanakuzidi mbali sana kiupeo.

Hata jinsi wanavyo shiriki mijadala tu hawako kama wewe. Akili zao zimetulia sana

Hawako too sensitive and emotional kama wewe.

Hawana argumentation chains mbovu mbovu kama ulivyo wewe ambaye karibia kila hoja unarudia maneno yale yale tu na huku ukijibu kwa mkato mkato hata pale unapotakiwa kutoa ufafanuzi wa kina.

Hawana kawaida ya kutoa majibu yaliyo njee ya mantiki, tofauti na wewe ambaye karibia kila jibu unalotoa linakuwa out of context ya kile ulichoulizwa.

Wanajua kujenga hoja na kuitetea tofauti na wewe ambaye haujui hata kuitetea hoja yako mwenyewe, unatoa hoja kisha baadae unakuja una ji contradict mwenyewe.

Hawana midomo michafu na kuandika andika matusi ovyoo mitandaoni mithili ya chokoraa kama ulivyo wewe.

Angalau wanajua hata wanachosimamia na kukitetea tofauti na wewe ambaye hata haujui unasimamia wapi halafu unajikuta mjuaji.

Kiufupi hao wawili wako smart kwenye majadaliano, hoja zao wanazojenga zina nguvu na zinafikirisha na wala sio nyepesi mithili ya karatasi ambazo nimeziona wewe ukiziandika hapa.

Mwisho kabisa jitahidi ukue bado una utoto mwingi sana wa kupayuka payuka tu na panick za ajabu ajabu.
 
sasa kuna mwenzako anapinga hadi hio dominance.
na hilo swala la kukandamizwa em lifafanue vizuri. em nipe mfano
Mfano kumpiga mwanamke na kumdharau anapofanya makosa ila wewe ukifanya makosa unajiona uko sahihi
 
Back
Top Bottom