Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Dada we mgumu kuelewa aisee km sio hvyo basi mbishi km cookie smokey!!!!!!!
Persian gulf ni ghuba ya uajemi inayoizunguka Mediterranean sea yenye mataifa ya watu wa asili za uhajemi na mataifa ya arab.
Umesoma maelezo yangu vema???
Mataifa yenye uasili ya uhajemi ni Iran,Iraq,Afghanistan,Pakistan,Turkimenistan.
Mataifa ya uarabu yaliyopakana ama yapo ktk coast line ya ghuba ya uajemi ni Qatar,Saudia,Oman,UAE,Egypt nk nk.

Wahajemi sio wairan peke yao dada angu,asili ya hajemi imesambaa mpk katika hayo mataifa nilokutajia Pakistan,Afghanistan,Turkimenistan n.k.
Tunaposemea ghuba ya uhajemi hatuna maana kuwa hiyo ghuba ipo mataifa ya uhajemi peke yake laa,bali mataifa yaliyoiteka hiyo ghuba mengi ni ya asili ya kihajemi.
Hayo mengine mataifa ya bara arab yamepakana na ghuba ya hajemi.
Umeleta raman ya mwanzo ikionesha mataifa yameshikana na Iran ndio maana nikakwambia unajua map interpretation dada angu???
Soma maelezo hayo chini nakuekea tena ;


The ancient Persians were originally an ancient Iranian people who migrated to the region of Persis , corresponding to the modern province of Fars in southwestern Iran, by the ninth century BC. [7][8] Together with their compatriot allies, they established and ruled some of the world's most powerful empires, [9][8] well-recognized for their massive cultural, political, and social influence covering much of the territory and population of the ancient world. [10][11][12] Throughout history, Persians have contributed greatly to
art and science. [13][14][15] Persian literature is one of the world's most prominent literary traditions. [16]
In contemporary terminology, people of Persian heritage native specifically to present-day Afghanistan, Tajikistan, and Uzbekistan are referred to as Tajiks , whereas those in the Caucasus (primarily in the present-day Republic of Azerbaijan and the Russian federal subject of Dagestan ), albeit heavily assimilated, are referred to as Tats . [17][18] However, historically, the terms Tajik and Tat were used as synonymous and interchangeable with Persian. [17] Many influential Persian figures hailed from outside Iran's present-day borders to the northeast in Central Asia and Afghanistan and to a lesser extent to the northwest in the Caucasus proper. [19][20] In historical contexts, especially in English, "Persians" may be defined more loosely to cover all subjects of the ancient Persian polities, regardless of ethnic background.
Halafu niambie Hajemi ni Iran peke ake ama???!!!
Duuh hapa kweli kazi ipo ndugu yangu mimi naona turudi tu kwenye mada hapa kwa kweli nimeona napoteza muda tu kukuelewesha maana nimejitahidi kukuelewesha ila bado unarudi kule kule nahisi tutabishana hadi mwakani na tusifikie muafaka cha msingi kila mtu abaki na anachokijua tu kwa kweli
 
Yaani hata mimi kwa upande wangu nimekuona wewe mgumu kuelewa kwahiyo sijui nikusaidiaje ila ninachoweza kuhitimisha ni kwamba tu kila mtu aamini anachoamini tu mkuu
Maelezo mengine ya kusadikisha kuwa mataifa nilokutajia nayo ni ya watu wa asili ya hajemi haya hapa chini;

There are several ethnic groups and communities that are either ethnically or linguistically related to the Persian people, living predominantly in Iran, and also within Afghanistan, Tajikistan, Uzbekistan, the Caucasus, Turkey, Iraq, and the Arab states of the Persian Gulf . [85]
The Tajiks are a people native to Tajikistan, Afghanistan, and Uzbekistan who speak Persian in a variety of dialects. [17] The Tajiks of Tajikistan and Uzbekistan are native speakers of Tajik , which is the official language of Tajikistan, and those in Afghanistan speak Dari , one of the two official languages of Afghanistan.
The Tat people , an Iranian people native to the Caucasus (primarily living in the Republic of Azerbaijan and the
Russian republic of Dagestan ), speak a language (Tat language ) that is closely related to Persian. [86] The origin of the Tat people is traced to an Iranian-speaking population that was resettled in the Caucasus by the time of the Sasanian Empire. [87][88][89][90][91][92][93]
The Lurs, an ethnic Iranian people native to western Iran, are often associated with the Persians and the Kurds . [94] They speak various dialects of the Lurish language , which is considered to be a descendant of Middle Persian.

Halafu mm wala sijasema kuwa mataifa yote yaliyo ghuba ya uhajemi ni wahajemi laaah.
Bali nimesema kuwa kuna mataifa yenye asili ya uhajemi ambayo ni Turkmenistan,Afghanistan,Pakistan n.k
Na kuna mataifa yaliyopo along coast of persian gulf ya bara arab km Saudia ,Oman e.t.c.
Nadhan hapo utanielewa.
Persians sio Iranians peke yao dada angu usipoelewa hayo maelezo nilokuletea toka mwanzo sijui utaelewa wapi!!!!!!
 
Ndivyo dunia ilivyo ili maisha yabalance lazima kila kitu kiwe na kinyume chake wanawake lazima wawepo wabaya na wazuri na wanaume pia lazima wawepo wabaya na wazuri siyo kila mwanamke ni wife material na vile vile siyo kila mwanaume ni husband material!!

Lakini pia hata kwenye ndoa wapo wanaume wanaooa wanawake magalasa na wapo wanawake wanaoolewa na wanaume magalasa sasa sijui wewe mwenzangu ulitaka kila mwanamke awe mzuri kusiwepo na mbaya hata mmoja au sijui ulitakaje??
Sio kila mwanamke ni wife material.
 
Nithibitishe vipi kuhusu uongo wakati sijasema kama hayo ni uongo zaidi ya mimi kutaka unithibitishie tu.

Au kuna sehemu umeona nimekanusha hapo bibie ?
Kama haujasema kuwa ni uongo basi hauhitaji kuthibitishiwa chochote!!
 
Ndiyo neno Uajemi najua kuwa limetokana na neno la kiarabu na siyo ajabu maana maneno mengi ya kiswahili yametokana na maneno mengi ya kiarabu

Ila hapo uliposema kwamba hadi mimi na wewe ni waajemi ndiyo nimegoma
Miongoni mwa maneno ambayo Kiswahili tumechukua na kubadilisha maana na kwenda kinyume na maana ya asili hili tamko la "Uajemi".

Tamko "Uajemi" lina asili ya kiarabu na hutamkwa "A'ajem au A'ajamiyyah" kwa maana ya yeyote ambaye sio Muarabu huitwa kwa jina hilo. Waswahili wakalichukua tamko hili na kulifanya kuwa maalumu kwa ajili ya Fursi/Persi/Irani pekee na kusomeka "Ajemi/Muajemi/Uajemi".

Yaani mpaka wewe na mimi sisi wote ni Waajemi pia. Nakupa hii ifanyie kazi.
 
Kama haujasema kuwa ni uongo basi hauhitaji kuthibitishiwa chochote!!
Nahitaji kuthibitishiwa kutokana na chanzo ukichokitumia kuleta habari hiyo.

Ithibati iko pale pale bibie,na swali langu lako pale pale,wewe ukicho kileta kutoka google una uhakika gani kama ni cha kweli ?.Hili ndio swali la msingi na ni lazima unithibitishie sababu sijakanusha hilo bali natak kuoata uhakika wake.
 
Hahahaha wewe mark hebu acha utani bwana hivi ina maana haujawahi hata kuwaona wale wanawake wanaofanya mazoezi ya kunyanyua vyuma hadi wanakuwa na mamisuli makubwa kama mabondia wa kiume sasa wewe wale unadhani wanashindwa kunyanyua engine kweli??
Kunyimwa tu hayo mabavu inaonesha otafauti na inaondoa hiyo kauli yako ya hakuna kazi mwanaume anaweza fanya mwanamke akashindwa..
 
Nahitaji kuthibitishiwa kutokana na chanzo ukichokitumia kuleta habari hiyo.

Ithibati iko pale pale bibie,na swali langu lako pale pale,wewe ukicho kileta kutoka google una uhakika gani kama ni cha kweli ?.Hili ndio swali la msingi na ni lazima unithibitishie sababu sijakanusha hilo bali natak kuoata uhakika wake.
Mimi nina uhakika nacho na ninajua kwanini nimekiamini hicho chanzo ila kwa sababu wewe ni mbishi hata nikuthibitishie vipi utabisha tu so forget about that and let's call it a day!!
 
Nimegoma kwa sababu umenidanganya na wala sitaki unithibitishie chochote hapo
Umegoma kwamba nimekudanganya au umegoma kwamba unaujua Ukweli au umegoma sababu hutaki tu ?
 
Mimi nina uhakika nacho na ninajua kwanini nimekiamini hicho chanzo ila kwa sababu wewe ni mbishi hata nikuthibitishie vipi utabisha tu so forget about that and let's call it a day!!
Huu sasa ndio ubishi wenyewe,umejuaje kama ukinithibitishia nitakataa ?

Hapa unaonekana huna uwezo wa kuthibitishia ndio maana umekimbilia kichaka cha kuniambia mimi mbishi.

Siku nyingine usiwe muoga namna hii.
 
Nimegoma kwa sababu umenidanganya na wala sitaki unithibitishie chochote hapo
Nimecheka sana. Kwenye Elimu huwa sidanganyi bibie,sababu najua Elimu ni amana,na amana huwa inarudishwa kwa watu wake.

Hili la uajemi nimeshalithibitisha huko nyuma,ndio maana nikauuliza maswali hayo.

Hapa umeonekana kituko sababu umeukataa ukweli kwa makusudi na hii ndio sifa yako anuai,yaani umeathiriwa na oga na kutaka kujitutumua kwa kila jambo,mengine ukijitutumua unaonekana mjinga hili ulilo ligomea ni sawa na wewe leo hii uukatae uanamke wako ukweli wewe ni mwanamke.
 
Hahahaha unadhani ukisema hivyo ndiyo nitaogopa kwamba eti utaniona sijui?? Hata mimi kuna mambo google huwa siiamini ila kwenye mambo mengine hadi niiamini nakuwa nimeshafuatilia vya kutosha kwenye sources nyingine nyingi tu

Ila nisingeweza kumletea huyo zote hapa kwa sababu angejichanganya bure sasa kama wewe eti unadhani kwa vile sijakuthibitishia basi ndiyo sijui pole na endelea kuwaza hivyo hivyo ila msimamo wangu uko pale pale kwamba sikuthibitishii chochote kwa huo ubishi wako usio na mantiki unadhani nitapoteza muda wangu?? Nahi Karungi, Kabhi Nahi.
Huu sasa ndio ubishi wenyewe,umejuaje kama ukinithibitishia nitakataa ?

Hapa unaonekana huna uwezo wa kuthibitishia ndio maana umekimbilia kichaka cha kuniambia mimi mbishi.

Siku nyingine usiwe muoga namna hii.
 
Duuh hapa kweli kazi ipo ndugu yangu mimi naona turudi tu kwenye mada hapa kwa kweli nimeona napoteza muda tu kukuelewesha maana nimejitahidi kukuelewesha ila bado unarudi kule kule nahisi tutabishana hadi mwakani na tusifikie muafaka cha msingi kila mtu abaki na anachokijua tu kwa kweli
Dada angu una asili ya ubishi.
Nimekuletea article ya world atlas bado unapingana nayo we dada mbishi Mungu anakuona.
Duh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Unachokataa ndicho kila mwanafunzi amesoma na mm nimesoma na kulifundisha hili 2014 kama mwalim wa kukodiwa dada angu japo nilikua sina cheti cha ualimu ktk shule ya Almustaqim kwa uweledi tu.
Utakua unapingana na world atlas sio mm.
 
Yaani hata mimi kwa upande wangu nimekuona wewe mgumu kuelewa kwahiyo sijui nikusaidiaje ila ninachoweza kuhitimisha ni kwamba tu kila mtu aamini anachoamini tu mkuu
Sawa lakini nakupa tu hint.
Kasome history of persia and related ethnic groups of persia.
Utaja nambia mwenyewe.
Na unachokipinga ndicho students wanasoma huko mashuleni.
 
Kwahiyo Zurri wewe mtu akikataa chochote ulichomwambia basi maana yake hataki ukweli?? Yaani kwamba wewe mwenzetu unataka tuamini kila unachotuambia siyo??
Nimecheka sana. Kwenye Elimu huwa sidanganyi bibie,sababu najua Elimu ni amana,na amana huwa inarudishwa kwa watu wake.

Hili la uajemi nimeshalithibitisha huko nyuma,ndio maana nikauuliza maswali hayo.

Hapa umeonekana kituko sababu umeukataa ukweli kwa makusudi na hii ndio sifa yako anuai,yaani umeathiriwa na oga na kutaka kujitutumua kwa kila jambo,mengine ukijitutumua unaonekana mjinga hili ulilo ligomea ni sawa na wewe leo hii uukatae uanamke wako ukweli wewe ni mwanamke.
 
Kwahiyo wewe unachosema ni kwamba watu wote wa hizo nchi ulizozitaja ni wapersia si ndiyo??
Dada angu una asili ya ubishi.
Nimekuletea article ya world atlas bado unapingana nayo we dada mbishi Mungu anakuona.
Duh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Unachokataa ndicho kila mwanafunzi amesoma na mm nimesoma na kulifundisha hili 2014 kama mwalim wa kukodiwa dada angu japo nilikua sina cheti cha ualimu ktk shule ya Almustaqim kwa uweledi tu.
Utakua unapingana na world atlas sio mm.
 
Sawa mwaya mimi sijaenda shule na wala hata sijui what is geography wala atlas yaani sijui chochote!!

Yaani wanaume kukubali ukweli kutoka kwa wanawake ni kama Shetani kutubu na kurudi kwa Mungu!!
Sawa lakini nakupa tu hint.
Kasome history of persia and related ethnic groups of persia.
Utaja nambia mwenyewe.
Na unachokipinga ndicho students wanasoma huko mashuleni.
 
Back
Top Bottom