Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hahahaha wewe mark hebu acha utani bwana hivi ina maana haujawahi hata kuwaona wale wanawake wanaofanya mazoezi ya kunyanyua vyuma hadi wanakuwa na mamisuli makubwa kama mabondia wa kiume sasa wewe wale unadhani wanashindwa kunyanyua engine kweli??
Wale wanaume wenzetu...
 
Sikiliza wewe my point was this ulicho sema uko sawa 100% but the issue is wanawake mnadharaulika sana..ndio sababu ata mnaonewa yan kosa anaeza akafanya mwanaume lakin akataka kuombwa msamaha na mwanamke mwingne anaomba kweli of which sio kitu poa lakini ndio ivyo system tumeikuta na tutaiacha....

Ule mstari unao sema "wewe utakua chini ya Mumeo" umebeba na kuweka mengi....Nadhani tuishie apo ukiendelea utakua unapoteza muda wako bure male dominance is on its height..
 
Ahahahaha dah dada angu ulikataaa kuwa Iran peke yake ndiyo wahajemi naona sasa unaanza kukubali mdogo mdogo maana hadi maelezo ya Azerbaijan uliyakataa kuwa sio hajemi sasa unakubali.
Unapoambiwa ethnic related group unaelewa nini???
Ethnic related groups shares language and ethnicity.
Yani wanachangia asilia na lugha pia.

There are several ethnic groups and communities that are either ethnically or linguistically related to the Persian people, living predominantly in Iran, and also within Afghanistan, Tajikistan, Uzbekistan, the Caucasus, Turkey, Iraq, and the Arab states of the Persian Gulf . [85]
The Tajiks are a people native to Tajikistan, Afghanistan, and Uzbekistan who speak Persian in a variety of dialects. [17] The Tajiks of Tajikistan and Uzbekistan are native speakers of Tajik , which is the official language of Tajikistan, and those in Afghanistan speak Dari , one of the two official languages of Afghanistan.
The Tat people , an Iranian people native to the Caucasus (primarily living in the Republic of Azerbaijan and the
Russian republic of Dagestan ), speak a language (Tat language ) that is closely related to Persian. [86] The origin of the Tat people is traced to an Iranian-speaking population that was resettled in the Caucasus by the time of the Sasanian Empire. [87][88][89][90][91][92][93]
The Lurs, an ethnic Iranian people native to western Iran, are often associated with the Persians and the Kurds . [94] They speak various dialects of the Lurish language , which is considered to be a descendant of Middle Persian. [95

HII imeandikwa na hao hao huko google ebu dada soma kwa umakini Tajikistan,Afghanistan,Uzbekistan wanajulikana km Tajiks ambao ni zao la wahajemi pia kilugha na kiasili.
Azerbaijan haukuitaja kule mwanzo
 
Asante mwaya yaani hadi Lizarazu alikumiss jamani hatimaye umerudi hivi zile sifa alizotusifia kule juu umeziona hadi ikabidi niulize mbona sisi wenyewe hajawahi kutusifia hivyo direct ndiyo akatusifie kwa mtu mwingine kweli??

Ila hii id nimechambwa nimeambiwa eti inatisha na imekaa kiubishi zaidi!!
Ndio nimerudi.
Na ninafurahi kwa namna ulivyoendelea kuwanyoosha.
Nimependa jina lako la sasa.
 
FB_IMG_15688139751163494.jpg
 
Asante mwaya yaani hadi Lizarazu alikumiss jamani hatimaye umerudi hivi zile sifa alizotusifia kule juu umeziona hadi ikabidi niulize mbona sisi wenyewe hajawahi kutusifia hivyo direct ndiyo akatusifie kwa mtu mwingine kweli??

Ila hii id nimechambwa nimeambiwa eti inatisha na imekaa kiubishi zaidi!!

Hizo sifa nimeziona na ninaamini ni za kweli kabisa (sijasema ni halali alivyomjibu yule dada hell no!!! ) ila kwa sifa alizotupa ni kweli kila alichoandika and as for me huwa ananisifia sana japo tunalumbanaga ila alishaniambia mimi ni miongoni mwa watu smart Jf.. Lizarazu popote ulipo najua haukuni flatter[emoji23][emoji23][emoji23].

So Karma hata kama Lizarazu anabishana na wewe na anakubishia kila kitu au kila unachoandika anaona ni mfumo dume haina maana wewe ni kilaza wewe bado ni smart na ndio maana anaendelea ku argue na wewe ni vile tuu mjadala wowote ili uende lazima pawe na wanaopinga na wanao support.

Kuamini kitu ambacho mwenzako hakiamini haimaanisha yeye ni mjinga. Cha msingi ni kuweza kusimamia unachokiamini na kujikita kwenye mjadala.
Mfano Kiranga haamini uwepo wa Mungu na mimi nina amini Mungu yupo sasa hiyo hainipi uhalali wa kumuona yeye ni mjinga, au yeye anione mimi ni mjinga kwa sababu anasema Mungu hayupo na anasimamia anachokiamini na ana point zinazoeleweka hata kama hauta kubaliana nazo. Na mimi nikiingia kwenye mjadala kama nimesimamia ninachokiamini na nimejikita kwenye mjadala hata kama haamini point zangu.

Hivyo sifa za Lizarazu na amini ni za kweli kabisa kwa mtu yoyote mwenye akili sema sasa hiyo ya kusifia kwa mtu mwingine hiyo sasa.........
 
Azerbaijan haukuitaja kule mwanzo
Ooooh umeshaamka malkia!!!
Itakua ile article hukuizingatia Azerbaijan ilikuepo pamoja na Tajiks,anyway dada battle liishe NA MADA ULIOLETA INA MAFUNDISHO UMENENA KWELI KUWA KILA JINSIA IBADILIKE KWA NAFASI YAKE.
ILA NINYI MJIHESHIMUUU DADA ZETU SIKU HZ HAMUNA HESHIMA KABISAAAA KIUKWELI.
 
Hizo sifa nimeziona na ninaamini ni za kweli kabisa (sijasema ni halali alivyomjibu yule dada hell no!!! ) ila kwa sifa alizotupa ni kweli kila alichoandika and as for me huwa ananisifia sana japo tunalumbanaga ila alishaniambia mimi ni miongoni mwa watu smart Jf.. Lizarazu popote ulipo najua haukuni flatter[emoji23][emoji23][emoji23].

So Karma hata kama Lizarazu anabishana na wewe na anakubishia kila kitu au kila unachoandika anaona ni mfumo dume haina maana wewe ni kilaza wewe bado ni smart na ndio maana anaendelea ku argue na wewe ni vile tuu mjadala wowote ili uende lazima pawe na wanaopinga na wanao support.

Kuamini kitu ambacho mwenzako hakiamini haimaanisha yeye ni mjinga. Cha msingi ni kuweza kusimamia unachokiamini na kujikita kwenye mjadala.
Mfano Kiranga haamini uwepo wa Mungu na mimi nina amini Mungu yupo sasa hiyo hainipi uhalali wa kumuona yeye ni mjinga, au yeye anione mimi ni mjinga kwa sababu anasema Mungu hayupo na anasimamia anachokiamini na ana point zinazoeleweka hata kama hauta kubaliana nazo. Na mimi nikiingia kwenye mjadala kama nimesimamia ninachokiamini na nimejikita kwenye mjadala hata kama haamini point zangu.

Hivyo sifa za Lizarazu na amini ni za kweli kabisa kwa mtu yoyote mwenye akili sema sasa hiyo ya kusifia kwa mtu mwingine hiyo sasa.........
Ukweli kabisa na mimi tangu nimelijua hilo nimejifunza kuheshimu mawazo ya kila mtu hata kama hatuelewani ila kuna watu wanataka wanachoamini wao ndiyo kiwe uhalisia na wasipingwe wakipingwa basi waliowapinga wote ni wajinga!!
 
Mbona unabadili ID like nobodys business, una ubia na Mods nini bibie.
 
Mbona unabadili ID like nobodys business, una ubia na Mods nini bibie.
Hamna mwaya kila id ninayoitumia naona haifai sababu nilikuwa sijapata id muafaka ila nadhani hii ndiyo nitakaa nayo kwa muda mrefu zaidi halafu hauwezi amini id zote kanibadilishia Melo mwenyewe maana yeye ndiye yuko active muda wote

Mods wengine hawako active sana unampm leo anakupm back baada ya wiki mbili ila Melo anakupm back siku hiyo hiyo au akichelewa sana ni siku mbili kwahiyo nahisi kuanzia leo nikimpm tena Melo kumuomba anibadilishie id atanipotezea
 
Back
Top Bottom