Hivi ni kwanini wanaume waliooa ni wavivu katika mapenzi..?

Tatizo La TF ananiangalia huku amepanda baiskeli ngoja siku ashuke na kunitizama vizuri ndo atakapo jua kua kumpiga chura teke ni kumwongezea mwendo..lol
Hommie unajua Kwaresma inakuja kwahiyo sio vizuri ni bora ukaanza maungamo mapema ndio maana nasema sio wakati muafaka kwa Keren sasa hivi ngoja mimi niongee nae kwanza l.o.l
 
Mwenyewe si unazipata habari zangu utaniona nimeandikwa kwenye signature ya dada 1 hapa next few days.
Ohoooo!!! Sasa mkuu nimekumbuka kaka haujaachiwa watu wa kukulinda mimi nimewekewa surveillance camera 24/7
 
Nimepita tu mara moja kuwasalimuni.

Mungu awabariki na kuwalinda. Awasamehe dhambi mlizotenda jana, mtakazotenda baadaye na mtakazotenda usiku.

Narudi wodini!:rain::rain:

Sijui niende Boko leo? Maana nadhani nimemiss sana Jose!
 
Ebanae.... huyu Firstlady nimempenda sana aisee... lazma nim-PM

Bwahahaha hahahahaha hahahaa maana anaonekana anapenda ile kitu balaa
 
Mwanamke akishaolewa keshafika mwisho wa safari yake. Mwanaume akioa ndio safari imeanza hapo. Atawaza kujenga nyumba, kulisha familia, kusomesha ndugu na jamaa wa pande zote mbili, matibabu, na matumizi ya nyumba ndogo, if applicable. Haya mambo kwanza yamnampa msongo muda mwingi wa siku na pili yanamlazimisha afanye kazi zaidi ya wakati akiwa bado hajaoa. Matokeo yake ni kupunguza ufanisi kwa mambo mengine.

Lakini baadhi ya kina mama nao wakishaolewa na kuwa maveterani wanajisahau sana. Kwanza hawajitumi na pia wanabweteka sana ndio maana wengi utakuta wana vitambi. Hii nayo inachangia kwa kiasi kikubwa kupunguza mvuto na ufanisi kwenye shughuli kwani hii ni shughuli ya watu wawili.
 
Karibu,lakini mimi nilikusalimu tu na kusifu tabasamu lako na mpaka now hujajibu salaam.

Sorry my dear Uporoto, si unajua sikujua kuwa ni mimi, nilifiiri kuna Karen...! Basi pata hii hapa:

The Following User Says Thank You to uporoto01 For This Useful Post:

Keren_Happuch (Today)​
 
Du! kaazi kweli kweli........................

FP kwani vipi?

Ukimkuta pale Kempisky kwenye semina unaona bonge ya mwanamke!

Unarusha kete, bahati nzuri siku hizi kutongoza siyo tatizo, ni namba ya simu na location ya kukutana,

Baada ya maongezi kidogo, na story "feki" mara mnapanga the next weekend mkutane "off site"

Mara mwanamke "huyu hapa"! Wengina wanakuja wamevaa mini-skirt ili kuonyesha maeneo ambayo probably that is the most attractive parts katika mwili wake mzima

Bia ya kwanza, mchemsho, Wine, Balentine, e.t.c

Mara unaambiwa "Mimi nawahi kurudi nyumbani lakini Kyabu"! Mnakwenda "chobingo", normally wanawake wanatangulia.

Unaingia chumbani unakuta ameshapunguza baadhi ya mzigo wa nguo alizokuwa amevaa!

Salaleh!!! Ukitizama "maungo" yake unafikiri kama vile alikuwa amemezwa na chatu halafu akamtema!

Anyways kwa kuwa umeshalipia chumba na yeye yuko kwenye "heat", unaamua kupiga pun*eto live kisha "unamlipa" unarudi zako kaunta!

Yeye anadhani wewe nguvu hamna, kumbe wewe umekinaishwa na mwonekano wake akiwa mtupu!
 
Nimesikia Kimey amekamatwa na lita kumi za gongo ngoja nikamtafute kwenye vituo vya polisi
 
Keren ignore this advice give Kimey a chance and you will never walk alone he is a good man.

Thanks Uporoto for the advice.... sasa nashindwa niamue lipi......TF????....:decision::decision:......Kimey:decision:.....:confused2::confused2: ..........Bora nibaki home...:A S 13::A S 13::A S 13:!
 
Thanks Uporoto for the advice.... sasa nashindwa niamue lipi......TF????....:decision::decision:......Kimey:decision:.....:confused2::confused2: ..........Bora nibaki home...:A S 13::A S 13::A S 13:!
Keren you can do better than be a rebound for a guy that still misses hi EX,think Keren think !!
 
Kyabu Leo umewaamulia kamanda lol!
Utafanya siku mingine wakwambie zima ta basi kyabu mi naona aibu......!
 
Naona hii imekuwa fashion tu siku hizi hata ujitoe kiasi gani kama wa kwenda nje ataenda tu, unafanye kila maujanja wapi? nahisi wanachoka tu nyama ileile mbona mie sichoki?? hata kama nikiiba nje sio kwamba simpendi au nimemchoka ni sababu nakosa excitement kwake ya mapenzi. na wakianza kutoka ukiomba tendo unaanza kupigwa danadana mpaka utalia nakwambia. Mi sijaacha kumtamani hat siku moja ila upande wa pili sasa . Na wakiachwa utaona jinsi mashambulizi yanavyorudi home, ni hatar, na jinsi tulivyo na huruma huwa tunasahau yote tuliyotendewa na kuwapokea kwa mikono miwili.

Ndoa ni ndoano bana, inakera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…