The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Hommie unajua Kwaresma inakuja kwahiyo sio vizuri ni bora ukaanza maungamo mapema ndio maana nasema sio wakati muafaka kwa Keren sasa hivi ngoja mimi niongee nae kwanza l.o.lTatizo La TF ananiangalia huku amepanda baiskeli ngoja siku ashuke na kunitizama vizuri ndo atakapo jua kua kumpiga chura teke ni kumwongezea mwendo..lol
:A S 13::A S 13::A S 13: Keren yatakayokukuta huko dont tell me i didn't warn you
Ohoooo!!! Sasa mkuu nimekumbuka kaka haujaachiwa watu wa kukulinda mimi nimewekewa surveillance camera 24/7Mwenyewe si unazipata habari zangu utaniona nimeandikwa kwenye signature ya dada 1 hapa next few days.
Mimi na wewe tena ? sawa sis huyu Finest we muache tu ugomvi wetu wa siku nyingi.
Sasa pale si ulinikuta nimeshatayarisha mazingira ya 3-some we unataka kumtoa mmoja na kuharibu fantasy yangu,ningekuelewaje ?Hommie ulinipiga katafunua kule l.o.l
Nimepita tu mara moja kuwasalimuni.
Mungu awabariki na kuwalinda. Awasamehe dhambi mlizotenda jana, mtakazotenda baadaye na mtakazotenda usiku.
Narudi wodini!:rain::rain:
Karibu,lakini mimi nilikusalimu tu na kusifu tabasamu lako na mpaka now hujajibu salaam.Uporoto, nitakuja kule kwenye sredi yako nitoe malalamiko......!
Karibu,lakini mimi nilikusalimu tu na kusifu tabasamu lako na mpaka now hujajibu salaam.
:A S 13::A S 13::A S 13: Keren yatakayokukuta huko dont tell me i didn't warn you
Keren ignore this advice give Kimey a chance and you will never walk alone he is a good man.Mhh...ya kweli hayo??!!! inawezekana unanionea wivu....:A S 13::A S 13:
Malalamiko yote yalete kwangu usipeleke kwa uporotoUporoto, nitakuja kule kwenye sredi yako nitoe malalamiko......!
Uporoto endelea kumsumbua Keren ole wako siku niseme imetosha l.o.lKeren ignore this advice give Kimey a chance and you will never walk alone he is a good man.
Du! kaazi kweli kweli........................
Keren ignore this advice give Kimey a chance and you will never walk alone he is a good man.
Kamanda kumbe kweli hunipendi hata malalamiko hutaki yaje kwangu nitoe therapy.Malalamiko yote yalete kwangu usipeleke kwa uporoto
Hahaha! sorry sikujua bado ni machinga mnauza mitumba na Mwisho wa Bigbro lol!Uporoto endelea kumsumbua Keren ole wako siku niseme imetosha l.o.l
Keren you can do better than be a rebound for a guy that still misses hi EX,think Keren think !!Thanks Uporoto for the advice.... sasa nashindwa niamue lipi......TF????....:decision::decision:......Kimey:decision:.....:confused2::confused2: ..........Bora nibaki home...:A S 13::A S 13::A S 13:!
Kyabu Leo umewaamulia kamanda lol!Salaleh!!! Ukitizama "maungo" yake unafikiri kama vile alikuwa amemezwa na chatu halafu akamtema!
Anyways kwa kuwa umeshalipia chumba na yeye yuko kwenye "heat", unaamua kupiga pun*eto live kisha "unamlipa" unarudi zako kaunta!
Yeye anadhani wewe nguvu hamna, kumbe wewe umekinaishwa na mwonekano wake akiwa mtupu!