Du! kaazi kweli kweli........................
FP kwani vipi?
Ukimkuta pale Kempisky kwenye semina unaona bonge ya mwanamke!
Unarusha kete, bahati nzuri siku hizi kutongoza siyo tatizo, ni namba ya simu na location ya kukutana,
Baada ya maongezi kidogo, na story "feki" mara mnapanga the next weekend mkutane "off site"
Mara mwanamke "huyu hapa"! Wengina wanakuja wamevaa mini-skirt ili kuonyesha maeneo ambayo probably that is the most attractive parts katika mwili wake mzima
Bia ya kwanza, mchemsho, Wine, Balentine, e.t.c
Mara unaambiwa "Mimi nawahi kurudi nyumbani lakini Kyabu"! Mnakwenda "chobingo", normally wanawake wanatangulia.
Unaingia chumbani unakuta ameshapunguza baadhi ya mzigo wa nguo alizokuwa amevaa!
Salaleh!!! Ukitizama "maungo" yake unafikiri kama vile alikuwa amemezwa na chatu halafu akamtema!
Anyways kwa kuwa umeshalipia chumba na yeye yuko kwenye "heat", unaamua kupiga pun*eto live kisha "unamlipa" unarudi zako kaunta!
Yeye anadhani wewe nguvu hamna, kumbe wewe umekinaishwa na mwonekano wake akiwa mtupu!