TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Sasa FL mydia akianza uvivu asubuhi si utamdampu?? Just like what we always do when we are on probation mydia. And believe me sio wanaume tu hata sie............. but hebu jaribu kumwamsha sasa..mpanie, mpe mambo mazito, mkimbize mchakamchaka ..mara mbili tu ataamka maana atahisi kuwa unamtoa knockout na hakuridhishi ataogopa kutafutiwa msaidizi.
(By the way uwage unasema kama hujaridhika......kukaa kimya au kudanganya hakusaidii we mwambie ....Bwana mie mwenzio bado.....tena kwa hasira)
dah.. tofauti ya makamanda na ngwilulupi iko very clear maskini ya Mungu!!! n'toto wa watu kaona atoe ya moyoni, keshageuzwa form four na training ya ukweli na nyakanga
i love this post... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee heheheeeeeeeeeeeee
FL... nakuaminia mazee