Hivi ni kwanini wanawake hawapendi wanaume walio single?

Hivi ni kwanini wanawake hawapendi wanaume walio single?

Alicho kiongea ni sahihi. . .hata mimi ninaushahidi.

. . Ila ukifuatilia kwa umakini . . Huyo anae pendwa ni mwepesi. . .au kwalugha nyepesi anachezewa.

. . Usifikiri kunalingine bora kwahuyo mtu.

. .NOTE.

. . .#ila na wewe kama huyo demu wako ulikua haumtombi na kumsumbua hata kwamiguso tu hapo ndo ulipo jiharibia.

. . Daima Epuka kuleta ulokole kwa mpenzi wako . . Ulifeli apo tu. . . Uwage msumbufu.
 
Wanawake hupenda wanaume machachari ambao hawajatulia hata kidogo. Sie walokole tutaishia kupendwa na mama zetu tu. Nilibakisha kamoja, nako kameyeyuka yeyu kisa tulikuwa tukiongozana kuelekea somewhere, kwa bahati mbaya akakatiza mwanamke mmoja hivi ameushona mtrako wa kwenda, mlainiiii, halafu unanesa nesa, nikausindikiza kwa macho huku nikizuia shingo isirotate ili nisimkwaze mchumba wangu, muda huo mchumba wangu alikuwa busy anachat njiani

Nilishtushwa na swali, "Mbona huangalii nyashi kama wenzio?" Nikabaki nacheka tu, akamalizia kwa kusema, "Tatizo lako huna hekaheka, umepoa kama uji wa mgonjwa, nilidhani simu yako huwa unaieka Airplane Mode unapokuwa na mimi, kumbe huna wa ziada wa kukusumbua sumbua", kisha akacheka, kiutani utani tu penzi likavuja na kufa kabisa

Mtaani kwangu kuna kijana mwenzangu hatari sana unaambiwa, ananunua nyapu kuliko maelezo, cha ajabu vibinti vya Form Thrii, wakina Dazeti, majimama, mke za mtu zinamgombania kuliko kawaida. Mwenzie natoka nje na ka baibo kangu, maji ya uhai pembeni na kiredio changu chenye flash iliyosheheni ngoma za Awilo Longomba, cha ajabu kila binti ninayemuita, anaishia kusema "Seriously!" na kuondoka

Wanawake kuweni na huruma, wengine tuko single
Hahaha
 
Cha
Wanawake hupenda wanaume machachari ambao hawajatulia hata kidogo. Sie walokole tutaishia kupendwa na mama zetu tu. Nilibakisha kamoja, nako kameyeyuka yeyu kisa tulikuwa tukiongozana kuelekea somewhere, kwa bahati mbaya akakatiza mwanamke mmoja hivi ameushona mtrako wa kwenda, mlainiiii, halafu unanesa nesa, nikausindikiza kwa macho huku nikizuia shingo isirotate ili nisimkwaze mchumba wangu, muda huo mchumba wangu alikuwa busy anachat njiani

Nilishtushwa na swali, "Mbona huangalii nyashi kama wenzio?" Nikabaki nacheka tu, akamalizia kwa kusema, "Tatizo lako huna hekaheka, umepoa kama uji wa mgonjwa, nilidhani simu yako huwa unaieka Airplane Mode unapokuwa na mimi, kumbe huna wa ziada wa kukusumbua sumbua", kisha akacheka, kiutani utani tu penzi likavuja na kufa kabisa

Mtaani kwangu kuna kijana mwenzangu hatari sana unaambiwa, ananunua nyapu kuliko maelezo, cha ajabu vibinti vya Form Thrii, wakina Dazeti, majimama, mke za mtu zinamgombania kuliko kawaida. Mwenzie natoka nje na ka baibo kangu, maji ya uhai pembeni na kiredio changu chenye flash iliyosheheni ngoma za Awilo Longomba, cha ajabu kila binti ninayemuita, anaishia kusema "Seriously!" na kuondoka

Wanawake kuweni na huruma, wengine tuko single
Chai
 
Mtaani hapa kuna jamaa ni jobless na ana manzi ake huwa anakuja almost kila siku kumtembelea jamaa so mtaani watu wanajua kabisa jamaa ana mtu wake na wana muona huyo mtu ila cha ajabu kila demu kapita nae na wengine hujilengesha wenyewe kwa jamaa.
Ajabu zaidi sasa mimi nilie single sijawahi hata onekana na demu kila ninaemtongoza natolewa nje yaani kama waanmbizana vile wasinikubalie.
 
Wanawake hupenda wanaume machachari ambao hawajatulia hata kidogo. Sie walokole tutaishia kupendwa na mama zetu tu. Nilibakisha kamoja, nako kameyeyuka yeyu kisa tulikuwa tukiongozana kuelekea somewhere, kwa bahati mbaya akakatiza mwanamke mmoja hivi ameushona mtrako wa kwenda, mlainiiii, halafu unanesa nesa, nikausindikiza kwa macho huku nikizuia shingo isirotate ili nisimkwaze mchumba wangu, muda huo mchumba wangu alikuwa busy anachat njiani

Nilishtushwa na swali, "Mbona huangalii nyashi kama wenzio?" Nikabaki nacheka tu, akamalizia kwa kusema, "Tatizo lako huna hekaheka, umepoa kama uji wa mgonjwa, nilidhani simu yako huwa unaieka Airplane Mode unapokuwa na mimi, kumbe huna wa ziada wa kukusumbua sumbua", kisha akacheka, kiutani utani tu penzi likavuja na kufa kabisa

Mtaani kwangu kuna kijana mwenzangu hatari sana unaambiwa, ananunua nyapu kuliko maelezo, cha ajabu vibinti vya Form Thrii, wakina Dazeti, majimama, mke za mtu zinamgombania kuliko kawaida. Mwenzie natoka nje na ka baibo kangu, maji ya uhai pembeni na kiredio changu chenye flash iliyosheheni ngoma za Awilo Longomba, cha ajabu kila binti ninayemuita, anaishia kusema "Seriously!" na kuondoka

Wanawake kuweni na huruma, wengine tuko single
Pole sana mkuu
 
Mtaani hapa kuna jamaa ni jobless na ana manzi ake huwa anakuja almost kila siku kumtembelea jamaa so mtaani watu wanajua kabisa jamaa ana mtu wake na wana muona huyo mtu ila cha ajabu kila demu kapita nae na wengine hujilengesha wenyewe kwa jamaa.
Ajabu zaidi sasa mimi nilie single sijawahi hata onekana na demu kila ninaemtongoza natolewa nje yaani kama waanmbizana vile wasinikubalie.
Hahaha pole mkuu
 
Wanawake hupenda wanaume machachari ambao hawajatulia hata kidogo. Sie walokole tutaishia kupendwa na mama zetu tu. Nilibakisha kamoja, nako kameyeyuka yeyu kisa tulikuwa tukiongozana kuelekea somewhere, kwa bahati mbaya akakatiza mwanamke mmoja hivi ameushona mtrako wa kwenda, mlainiiii, halafu unanesa nesa, nikausindikiza kwa macho huku nikizuia shingo isirotate ili nisimkwaze mchumba wangu, muda huo mchumba wangu alikuwa busy anachat njiani

Nilishtushwa na swali, "Mbona huangalii nyashi kama wenzio?" Nikabaki nacheka tu, akamalizia kwa kusema, "Tatizo lako huna hekaheka, umepoa kama uji wa mgonjwa, nilidhani simu yako huwa unaieka Airplane Mode unapokuwa na mimi, kumbe huna wa ziada wa kukusumbua sumbua", kisha akacheka, kiutani utani tu penzi likavuja na kufa kabisa

Mtaani kwangu kuna kijana mwenzangu hatari sana unaambiwa, ananunua nyapu kuliko maelezo, cha ajabu vibinti vya Form Thrii, wakina Dazeti, majimama, mke za mtu zinamgombania kuliko kawaida. Mwenzie natoka nje na ka baibo kangu, maji ya uhai pembeni na kiredio changu chenye flash iliyosheheni ngoma za Awilo Longomba, cha ajabu kila binti ninayemuita, anaishia kusema "Seriously!" na kuondoka

Wanawake kuweni na huruma, wengine tuko single
😂😂😂
 
Wanawake hupenda wanaume machachari ambao hawajatulia hata kidogo. Sie walokole tutaishia kupendwa na mama zetu tu. Nilibakisha kamoja, nako kameyeyuka yeyu kisa tulikuwa tukiongozana kuelekea somewhere, kwa bahati mbaya akakatiza mwanamke mmoja hivi ameushona mtrako wa kwenda, mlainiiii, halafu unanesa nesa, nikausindikiza kwa macho huku nikizuia shingo isirotate ili nisimkwaze mchumba wangu, muda huo mchumba wangu alikuwa busy anachat njiani

Nilishtushwa na swali, "Mbona huangalii nyashi kama wenzio?" Nikabaki nacheka tu, akamalizia kwa kusema, "Tatizo lako huna hekaheka, umepoa kama uji wa mgonjwa, nilidhani simu yako huwa unaieka Airplane Mode unapokuwa na mimi, kumbe huna wa ziada wa kukusumbua sumbua", kisha akacheka, kiutani utani tu penzi likavuja na kufa kabisa

Mtaani kwangu kuna kijana mwenzangu hatari sana unaambiwa, ananunua nyapu kuliko maelezo, cha ajabu vibinti vya Form Thrii, wakina Dazeti, majimama, mke za mtu zinamgombania kuliko kawaida. Mwenzie natoka nje na ka baibo kangu, maji ya uhai pembeni na kiredio changu chenye flash iliyosheheni ngoma za Awilo Longomba, cha ajabu kila binti ninayemuita, anaishia kusema "Seriously!" na kuondoka

Wanawake kuweni na huruma, wengine tuko single
Mzee hii siyo kweli acha kutupiga kamba. “We unapenda micharuko ?” Kama jibu hapana basi hakuna anapenda micharuko, kama jibu ni ndyo basi ukikuwa utapokuwa unataka kutulia utaacha micharuko nakurudi kwenye vitu tulivu. Ushauri wa bure achana na micharuko itakuwa mzee.
 
Back
Top Bottom