high value man ni wanaume wenye pesa kazi za maana mf CEO,wabunge mawaziri ,n.k
Wewe PROFESSION yako Ni business administration. Wewe ni PROFESSIONAL business administrator.Kwa sisi wengine je?? Mimi professional yangu ni business administration Sina kazi yoyote
HahahaWanawake hupenda wanaume machachari ambao hawajatulia hata kidogo. Sie walokole tutaishia kupendwa na mama zetu tu. Nilibakisha kamoja, nako kameyeyuka yeyu kisa tulikuwa tukiongozana kuelekea somewhere, kwa bahati mbaya akakatiza mwanamke mmoja hivi ameushona mtrako wa kwenda, mlainiiii, halafu unanesa nesa, nikausindikiza kwa macho huku nikizuia shingo isirotate ili nisimkwaze mchumba wangu, muda huo mchumba wangu alikuwa busy anachat njiani
Nilishtushwa na swali, "Mbona huangalii nyashi kama wenzio?" Nikabaki nacheka tu, akamalizia kwa kusema, "Tatizo lako huna hekaheka, umepoa kama uji wa mgonjwa, nilidhani simu yako huwa unaieka Airplane Mode unapokuwa na mimi, kumbe huna wa ziada wa kukusumbua sumbua", kisha akacheka, kiutani utani tu penzi likavuja na kufa kabisa
Mtaani kwangu kuna kijana mwenzangu hatari sana unaambiwa, ananunua nyapu kuliko maelezo, cha ajabu vibinti vya Form Thrii, wakina Dazeti, majimama, mke za mtu zinamgombania kuliko kawaida. Mwenzie natoka nje na ka baibo kangu, maji ya uhai pembeni na kiredio changu chenye flash iliyosheheni ngoma za Awilo Longomba, cha ajabu kila binti ninayemuita, anaishia kusema "Seriously!" na kuondoka
Wanawake kuweni na huruma, wengine tuko single
Inategemea na gari. Kama huna pesa huwezi kuwa nalo maana hata kulihudumia ni shida.Wanawake walivyo wajinga wajinga ukiwa na gari wanajua Tayari pesa ipo.
ChaiWanawake hupenda wanaume machachari ambao hawajatulia hata kidogo. Sie walokole tutaishia kupendwa na mama zetu tu. Nilibakisha kamoja, nako kameyeyuka yeyu kisa tulikuwa tukiongozana kuelekea somewhere, kwa bahati mbaya akakatiza mwanamke mmoja hivi ameushona mtrako wa kwenda, mlainiiii, halafu unanesa nesa, nikausindikiza kwa macho huku nikizuia shingo isirotate ili nisimkwaze mchumba wangu, muda huo mchumba wangu alikuwa busy anachat njiani
Nilishtushwa na swali, "Mbona huangalii nyashi kama wenzio?" Nikabaki nacheka tu, akamalizia kwa kusema, "Tatizo lako huna hekaheka, umepoa kama uji wa mgonjwa, nilidhani simu yako huwa unaieka Airplane Mode unapokuwa na mimi, kumbe huna wa ziada wa kukusumbua sumbua", kisha akacheka, kiutani utani tu penzi likavuja na kufa kabisa
Mtaani kwangu kuna kijana mwenzangu hatari sana unaambiwa, ananunua nyapu kuliko maelezo, cha ajabu vibinti vya Form Thrii, wakina Dazeti, majimama, mke za mtu zinamgombania kuliko kawaida. Mwenzie natoka nje na ka baibo kangu, maji ya uhai pembeni na kiredio changu chenye flash iliyosheheni ngoma za Awilo Longomba, cha ajabu kila binti ninayemuita, anaishia kusema "Seriously!" na kuondoka
Wanawake kuweni na huruma, wengine tuko single
Ndio maana nasema anaunue gari, yaani atafute pesa aweze kwanza kulinunua na kisha aweze kulihudumia.Inategemea na gari. Kama huna pesa huwezi kuwa nalo maana hata kulihudumia ni shida.
Pole sana mkuuWanawake hupenda wanaume machachari ambao hawajatulia hata kidogo. Sie walokole tutaishia kupendwa na mama zetu tu. Nilibakisha kamoja, nako kameyeyuka yeyu kisa tulikuwa tukiongozana kuelekea somewhere, kwa bahati mbaya akakatiza mwanamke mmoja hivi ameushona mtrako wa kwenda, mlainiiii, halafu unanesa nesa, nikausindikiza kwa macho huku nikizuia shingo isirotate ili nisimkwaze mchumba wangu, muda huo mchumba wangu alikuwa busy anachat njiani
Nilishtushwa na swali, "Mbona huangalii nyashi kama wenzio?" Nikabaki nacheka tu, akamalizia kwa kusema, "Tatizo lako huna hekaheka, umepoa kama uji wa mgonjwa, nilidhani simu yako huwa unaieka Airplane Mode unapokuwa na mimi, kumbe huna wa ziada wa kukusumbua sumbua", kisha akacheka, kiutani utani tu penzi likavuja na kufa kabisa
Mtaani kwangu kuna kijana mwenzangu hatari sana unaambiwa, ananunua nyapu kuliko maelezo, cha ajabu vibinti vya Form Thrii, wakina Dazeti, majimama, mke za mtu zinamgombania kuliko kawaida. Mwenzie natoka nje na ka baibo kangu, maji ya uhai pembeni na kiredio changu chenye flash iliyosheheni ngoma za Awilo Longomba, cha ajabu kila binti ninayemuita, anaishia kusema "Seriously!" na kuondoka
Wanawake kuweni na huruma, wengine tuko single
Hahaha pole mkuuMtaani hapa kuna jamaa ni jobless na ana manzi ake huwa anakuja almost kila siku kumtembelea jamaa so mtaani watu wanajua kabisa jamaa ana mtu wake na wana muona huyo mtu ila cha ajabu kila demu kapita nae na wengine hujilengesha wenyewe kwa jamaa.
Ajabu zaidi sasa mimi nilie single sijawahi hata onekana na demu kila ninaemtongoza natolewa nje yaani kama waanmbizana vile wasinikubalie.
πππWanawake hupenda wanaume machachari ambao hawajatulia hata kidogo. Sie walokole tutaishia kupendwa na mama zetu tu. Nilibakisha kamoja, nako kameyeyuka yeyu kisa tulikuwa tukiongozana kuelekea somewhere, kwa bahati mbaya akakatiza mwanamke mmoja hivi ameushona mtrako wa kwenda, mlainiiii, halafu unanesa nesa, nikausindikiza kwa macho huku nikizuia shingo isirotate ili nisimkwaze mchumba wangu, muda huo mchumba wangu alikuwa busy anachat njiani
Nilishtushwa na swali, "Mbona huangalii nyashi kama wenzio?" Nikabaki nacheka tu, akamalizia kwa kusema, "Tatizo lako huna hekaheka, umepoa kama uji wa mgonjwa, nilidhani simu yako huwa unaieka Airplane Mode unapokuwa na mimi, kumbe huna wa ziada wa kukusumbua sumbua", kisha akacheka, kiutani utani tu penzi likavuja na kufa kabisa
Mtaani kwangu kuna kijana mwenzangu hatari sana unaambiwa, ananunua nyapu kuliko maelezo, cha ajabu vibinti vya Form Thrii, wakina Dazeti, majimama, mke za mtu zinamgombania kuliko kawaida. Mwenzie natoka nje na ka baibo kangu, maji ya uhai pembeni na kiredio changu chenye flash iliyosheheni ngoma za Awilo Longomba, cha ajabu kila binti ninayemuita, anaishia kusema "Seriously!" na kuondoka
Wanawake kuweni na huruma, wengine tuko single
Mzee hii siyo kweli acha kutupiga kamba. βWe unapenda micharuko ?β Kama jibu hapana basi hakuna anapenda micharuko, kama jibu ni ndyo basi ukikuwa utapokuwa unataka kutulia utaacha micharuko nakurudi kwenye vitu tulivu. Ushauri wa bure achana na micharuko itakuwa mzee.Wanawake hupenda wanaume machachari ambao hawajatulia hata kidogo. Sie walokole tutaishia kupendwa na mama zetu tu. Nilibakisha kamoja, nako kameyeyuka yeyu kisa tulikuwa tukiongozana kuelekea somewhere, kwa bahati mbaya akakatiza mwanamke mmoja hivi ameushona mtrako wa kwenda, mlainiiii, halafu unanesa nesa, nikausindikiza kwa macho huku nikizuia shingo isirotate ili nisimkwaze mchumba wangu, muda huo mchumba wangu alikuwa busy anachat njiani
Nilishtushwa na swali, "Mbona huangalii nyashi kama wenzio?" Nikabaki nacheka tu, akamalizia kwa kusema, "Tatizo lako huna hekaheka, umepoa kama uji wa mgonjwa, nilidhani simu yako huwa unaieka Airplane Mode unapokuwa na mimi, kumbe huna wa ziada wa kukusumbua sumbua", kisha akacheka, kiutani utani tu penzi likavuja na kufa kabisa
Mtaani kwangu kuna kijana mwenzangu hatari sana unaambiwa, ananunua nyapu kuliko maelezo, cha ajabu vibinti vya Form Thrii, wakina Dazeti, majimama, mke za mtu zinamgombania kuliko kawaida. Mwenzie natoka nje na ka baibo kangu, maji ya uhai pembeni na kiredio changu chenye flash iliyosheheni ngoma za Awilo Longomba, cha ajabu kila binti ninayemuita, anaishia kusema "Seriously!" na kuondoka
Wanawake kuweni na huruma, wengine tuko single