Hivi ni kwanini Wanawake ndio wanaongoza kuanzisha Mahusiano Mapya ndani ya Mda mfupi tu baada ya kuachana na Mpenzi wake?

Hivi ni kwanini Wanawake ndio wanaongoza kuanzisha Mahusiano Mapya ndani ya Mda mfupi tu baada ya kuachana na Mpenzi wake?

Fanya hivi nilichitwa 2013 hadi 2019 nilimpata mjibababa for 4 month akataka niwe second wife nikakataa akaja mmoja nasijadumu naye wala tokea hapo 2019 hadi now sina uhusiano mzuri na mtu kweli hadi sasa. Miaka 12 sina wa kwenda msikitini wala wa kwenda kanisani
Pole mkuu utampata mtu sahihi, ila ji mix na watu labda jumuia, hang out na marafiki, popote kweny watu potential humu weng wanakuchora tu pengine wana stress kuliko zako wengine wanatembea na waume za watu usijione una kasoro kama huniamini usikose kwenye white party yao uone unavowakalisha matembo...
 
WAGONGA NYUNDO ME, MKO WAPIII? YAMEANZA KUJISIFIA YANA MSULULU WA OPTIONS HUKU MUWAHII KUKATA NGEBEE

😂😂😂😂

Jokes.
 
Back
Top Bottom