Hivi ni kwanini Zanzibar haijawahi kutawaliwa na Rais Mkristo na ni sehemu ya Tanzania?

Hivi ni kwanini Zanzibar haijawahi kutawaliwa na Rais Mkristo na ni sehemu ya Tanzania?

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!

Hili swali nimekuwa nikijiuliza muda mrefu pasipo kupata jibu kwa sababu zifuatazo.

Tanzania maana yake ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Hivyo mtu yeyote kutoka pande yeyote ana haki ya kuwa mtawala.

Kinachonishangaza na kunipa maswali mengi.

Mbona Rais wa Tanzania anaweza kutokea Zanzibar au akawa muislamu mfani Mwinyi, Kikwete na Samia (Tanganyika)

Lakini hajawahi kutoka Rais Mkristo kutoka bara akatawala Zanzibar au Zanzibar serikali yake ni ya kidini?

Zanzibar inakiu ya kutawaliwa na rais mkristo ili aweze kunyoosha mapito na kuwasha mwanga
Zanzibar bado kuna giza inahitaji mwanga

Nawaambia mkristo akitawala Zanzibar huu muungano itaimarika sana kwasababu atapanda mbegu ya muungano huko,hata hizo sheria zao za kibaguzi dhidi ya watu wa bara zitatoweka kama sio kupungua.
 
Kakojoe ulale..na story zako shule..alafu usikute kwa poor mind uliyonayo umepewa na cheo ndani ya nchi hii
Nenda shule ili walau ujue kuwa Kuna tofauti ya Tanganyika, Zanzibar na Tanzania,na kwamba mtanganyika hawezi kuwa Rais Zanzibar, pia kwamba watanganyika walishaua nchi ya Tanganyika, na kwamba Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar, mbuzi kasoro manyoya!
 
Nimegundua vijana wengi hawajui aina na muundo wa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar.

Hata hivyo wa kulaumiwa ni Nyerere hakutakiwa kuvunja serikali ya Tanganyika bali ilitakiwa kuwe na serikali tatu lakini alifikiri kwa muundo wa serikali mbili tungekuwa watawala wa Zanzibar daima lakini leo tunatawaliwa sisi! Ujanja mwingi mbele kiza.
 
Kwani Wakristo kwao ni Tanzania, Zanzibar itatawaliwa na watanzania wenye asili ya bara na Pwani. Na si Waislam wala Wakristo. Katawaleni Roma, Israel na Saudi Arabia na ukristo na Uislam wenu.
 
Kakojoe ulale..na story zako shule..alafu usikute kwa poor mind uliyonayo umepewa na cheo ndani ya nchi hii
Nenda shule ili walau ujue kuwa Kuna tofauti ya Tanganyika,Zanzibar na Tanzania,na kwamba mtanganyika hawezi kuwa rais Zanzibar,pia kwamba watanganyika walishaua nchi ya Tanganyika,na kwamba Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar...mbuzi kasoro manyoya!!
Nimegundua vijana wengi hawajui aina na muundo wa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar.
Hata hivyo wa kulaumiwa ni Nyerere hakutakiwa kuvunja serikali ya Tanganyika bali ilitakiwa kuwe na serikali tatu lakini alifikiri kwa muundo wa serikali mbili tungekuwa watawala wa Zanzibar daima lakini leo tunatawaliwa sisi! Ujanja mwingi mbele kiza.
Halafu mayanki weupe kicenge vichwani yaani ina maana hawafundishwi historia ya muungano huko kwenye uraia, civics, GS?
 
Back
Top Bottom