25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
Swali lako limeficha chuki ndanimo,mtakufa na chuki zenu za Udini haya tusema rais wa Zanzibar awe mkiristo wewe kabwela utanufahika na nini? kwa tarifa yako rais wa Zanzibar anachaguliwa Dodoma tena nahao wakiristo wenzio huyu mama samia walio mpa umakamu wa rais ndio hao nabado walio mpitisha juzi kuwa mwenyekiti wa ccm nihao wakiristo wenzio nenda huko kawaoji kulikoni wanampendlea chuki chuki chuki utakufa na ugonjwa wa moyoHapo vip!
Hili swali nimekuwa nikijiuliza muda mrefu pasipo kupata jibu kwa sababu zifuatazo.
Tanzania maana yake ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Hivyo mtu yeyote kutoka pande yeyote anahaki ya kuwa mtawala.
Kinacho nishangaza na kunipa maswali mengi.
Mbona Rais wa Tanzania anaweza kutokea Zanzibar au akawa muislamu mfani Mwinyi,kikwete na Samia (Tanganyika)
Lakini hajawahi kutoka Rais mkristo kutoka bara akatawa zanzibar au Zanzibar serikali yake ni ya kidini?