Hivi ni kwanini Zanzibar haijawahi kutawaliwa na Rais Mkristo na ni sehemu ya Tanzania?

Hivi ni kwanini Zanzibar haijawahi kutawaliwa na Rais Mkristo na ni sehemu ya Tanzania?

Hapo vip!
Hili swali nimekuwa nikijiuliza muda mrefu pasipo kupata jibu kwa sababu zifuatazo.

Tanzania maana yake ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Hivyo mtu yeyote kutoka pande yeyote anahaki ya kuwa mtawala.

Kinacho nishangaza na kunipa maswali mengi.

Mbona Rais wa Tanzania anaweza kutokea Zanzibar au akawa muislamu mfani Mwinyi,kikwete na Samia (Tanganyika)

Lakini hajawahi kutoka Rais mkristo kutoka bara akatawa zanzibar au Zanzibar serikali yake ni ya kidini?
Muulize Mohamed Said. Anaweza kuwa na majibu mujarab!!
 
Hapo vip!
Hili swali nimekuwa nikijiuliza muda mrefu pasipo kupata jibu kwa sababu zifuatazo.

Tanzania maana yake ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Hivyo mtu yeyote kutoka pande yeyote anahaki ya kuwa mtawala.

Kinacho nishangaza na kunipa maswali mengi.

Mbona Rais wa Tanzania anaweza kutokea Zanzibar au akawa muislamu mfani Mwinyi,kikwete na Samia (Tanganyika)

Lakini hajawahi kutoka Rais mkristo kutoka bara akatawa zanzibar au Zanzibar serikali yake ni ya kidini?
Kwanza Anza kujiuliza kama Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar wana Rais wao na Tanganyika haina Rais na badala yake inaitwa Tanzania Bara?
 
Nitakuwa mwongo nikisema hilo swali fikirishi nililifikiria wakati wowote ule.
Aiseee!!

Nitakuwa Mchochezi, kwa maoni yangu, kudai Mkristo Mkristo au Muisilamu ni Muisilamu

Na nitakuwa na Ukimbari wa kibaguzi Kusema Mkristo ni Mbara na Muisilamu ni Mzanzibari

Swali zuri Sana.
 
Hapo vip!
Hili swali nimekuwa nikijiuliza muda mrefu pasipo kupata jibu kwa sababu zifuatazo.

Tanzania maana yake ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Hivyo mtu yeyote kutoka pande yeyote anahaki ya kuwa mtawala.

Kinacho nishangaza na kunipa maswali mengi.

Mbona Rais wa Tanzania anaweza kutokea Zanzibar au akawa muislamu mfani Mwinyi,kikwete na Samia (Tanganyika)

Lakini hajawahi kutoka Rais mkristo kutoka bara akatawa zanzibar au Zanzibar serikali yake ni ya kidini?
Ulimsikia mkristo nani kwenye baraza la mapinduzi. Ni John Okello pekee alikuwa mkristo, na yaliyompata natumaini hujayasahau.
 
Asilimia 99 ya wazanzibar ni waislamu achana na hao wahamiaji ambao ndio wakiristo halafu unataka atawale mkiristo
Wewe utakuwa na akili timamu kweli
Zanzibar ukiondoa muungano basi inakuwa Islamic country
 
Nimegundua vijana wengi hawajui aina na muundo wa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar.
Hata hivyo wa kulaumiwa ni Nyerere hakutakiwa kuvunja serikali ya Tanganyika bali ilitakiwa kuwe na serikali tatu lakini alifikiri kwa muundo wa serikali mbili tungekuwa watawala wa Zanzibar daima lakini leo tunatawaliwa sisi! Ujanja mwingi mbele kiza.
Wewe unafikiri bila msiba kutokea, wazenj urais kuupata ingewachukua miaka 100,ndio maana nashauri, katiba mpya ianishe wazi kuwa urais uwe wa kupokezana, maana watu wa bara baadhi tuna roho mbaya za husda na hatupendi wazazibar wawe rais wa Tanzania
 
Ulimsikia mkristo nani kwenye baraza la mapinduzi. Ni John Okello pekee alikuwa mkristo, na yaliyompata natumaini hujayasahau.
Tueleze mimi binafsi bado sijasikia.
Karibu jukwaani utueleze tafadhali
 
Nenda shule ili walau ujue kuwa Kuna tofauti ya Tanganyika,Zanzibar na Tanzania,na kwamba mtanganyika hawezi kuwa rais Zanzibar,pia kwamba watanganyika walishaua nchi ya Tanganyika,na kwamba Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar...mbuzi kasoro manyoya!!
Unatakiwa upewe cheo
 
Back
Top Bottom