Hivi ni kwanini Zanzibar haijawahi kutawaliwa na Rais Mkristo na ni sehemu ya Tanzania?

Hivi ni kwanini Zanzibar haijawahi kutawaliwa na Rais Mkristo na ni sehemu ya Tanzania?

Hapo vip!

Hili swali nimekuwa nikijiuliza muda mrefu pasipo kupata jibu kwa sababu zifuatazo.

Tanzania maana yake ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Hivyo mtu yeyote kutoka pande yeyote anahaki ya kuwa mtawala.

Kinachonishangaza na kunipa maswali mengi.

Mbona Rais wa Tanzania anaweza kutokea Zanzibar au akawa muislamu mfani Mwinyi, Kikwete na Samia (Tanganyika)

Lakini hajawahi kutoka Rais Mkristo kutoka bara akatawala Zanzibar au Zanzibar serikali yake ni ya kidini?
Ukweli ndiyo huo Zanzibar ni Islamic State.
 
Hapo vip!

Hili swali nimekuwa nikijiuliza muda mrefu pasipo kupata jibu kwa sababu zifuatazo.

Tanzania maana yake ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Hivyo mtu yeyote kutoka pande yeyote anahaki ya kuwa mtawala.

Kinachonishangaza na kunipa maswali mengi.

Mbona Rais wa Tanzania anaweza kutokea Zanzibar au akawa muislamu mfani Mwinyi, Kikwete na Samia (Tanganyika)

Lakini hajawahi kutoka Rais Mkristo kutoka bara akatawala Zanzibar au Zanzibar serikali yake ni ya kidini?
Anayeutaka URais huwa anaomba kwanza ateuliwe kwa kupigiwa kura na wajumbe wa chama chake !! Kama akishindwa kwenye hizo kura atawezaje kuteuliwa kugombea URais ?!
 
Mumen'gan'ganaaaaa na inchi ya watu, wenyewe hawataki kuwa wazungu kwani lazimaaa? Si unajua tena michezo ya kizunguuu😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hapo vip!

Hili swali nimekuwa nikijiuliza muda mrefu pasipo kupata jibu kwa sababu zifuatazo.

Tanzania maana yake ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Hivyo mtu yeyote kutoka pande yeyote anahaki ya kuwa mtawala.

Kinachonishangaza na kunipa maswali mengi.

Mbona Rais wa Tanzania anaweza kutokea Zanzibar au akawa muislamu mfani Mwinyi, Kikwete na Samia (Tanganyika)

Lakini hajawahi kutoka Rais Mkristo kutoka bara akatawala Zanzibar au Zanzibar serikali yake ni ya kidini?
Hata Tanzania haijawahi kutawaliwa na mtu kutoka kaskazini wala muumini wa KKKT
 
Haya mambo watu tunayajua tangu tukiwa shule ya msingi sasa inashangaza mtu anahoji kwanini mtu kutoka bara hawezi kuwa rais Zanzibar, hivi mlipita shuleni kweli?
 
Back
Top Bottom