Hivi ni kweli Hamas hawajulikani walipo?

Hivi ni kweli Hamas hawajulikani walipo?

Israeli ilikuwepo pale na siyo wakoloni kama unavyodanganywa madrasa.Chambua na fungua mambo uelewe.
Haha we mjinga nani alikuambia Israel ilikuwepo hapo, hio Israel ilitengenezwa hapo na muingereza 1948.

Walio kuwepo hapo ni watoto wa Yakobo Qur'an inamtambua kwa jina lingine alitwa Israel si taifa. Nyie wajinga tu mnatakiwa mfundishwe mpate akili.

Mtu si nchi 😄

Watoto wa Israel hao wapalestine pia watoto wa Yakobo.

Hivi we akili kwako unadhani watoto wa Yakobo ni kina Netanyahu hahaha.

Hakuna kwenye bibilia zenu au history zenu mnaweza kuthibitisha Israel ni nchi kama mnaweza leteni?

Mtabaki na ujinga ule ule wakumsingizia Yesu kafa msalabani dalili hamna, Yesu ni Mungu dalili hamna.

Kama mnavyo fananisha mtu na nchi.

Kumbe Yakobo ndio nchi, mimi nilijua ni binadamu kwa kuwa mwenyekevu wa kusali akaitwa Israel.

Mana ya Israel kwa Kiyahudi ni mtu mwenye ukakamavu wa kuabudu Mungu.

Jinga mmoja wewe na wakristo mnao fikiria Israel ni nchi wakatia bibilia zenu. Zina kiri wazi ni Yakobo.
 
Haha we mjinga nani alikuambia Israel ilikuwepo hapo, hio Israel ilitengenezwa hapo na muingereza 1948.

Walio kuwepo hapo ni watoto wa Yakobo Qur'an inamtambua kwa jina lingine alitwa Israel si taifa. Nyie wajinga tu mnatakiwa mfundishwe mpate akili.

Mtu si nchi 😄

Watoto wa Israel hao wapalestine pia watoto wa Yakobo.

Hivi we akili kwako unadhani watoto wa Yakobo ni kina Netanyahu hahaha.

Hakuna kwenye bibilia zenu au history zenu mnaweza kuthibitisha Israel ni nchi kama mnaweza leteni?

Mtabaki na ujinga ule ule wakumsingizia Yesu kafa msalabani dalili hamna, Yesu ni Mungu dalili hamna.

Kama mnavyo fananisha mtu na nchi.

Kumbe Yakobo ndio nchi, mimi nilijua ni binadamu kwa kuwa mwenyekevu wa kusali akaitwa Israel.

Mana ya Israel kwa Kiyahudi ni mtu mwenye ukakamavu wa kuabudu Mungu.

Jinga mmoja wewe na wakristo mnao fikiria Israel ni nchi wakatia bibilia zenu. Zina kiri wazi ni Yakobo.
Mbona unajibu kwa taharuki?Kwa hiyo Israeli alikuwa mtu na siyo nchi?Halafu leo ndiyo imekuwa nchi?Ustaadh umevaa suruali fupi kama unavuka mto na akili zako zimekuwa finyu sana.Kwa hiyo hao wanaoitwa Waizraeli wametokea wapi hadi wavamie hapo walipo?
 
Vita huwa haileti suluhu! Hapo kinachotakiwa ni pande zote kusitisha mapigano na kuja kwenye meza ya mazungumzo!
 
Hawa wavaa vipedo, misuli na makobazi akili zao wanazijua wenyewe. Acha waendelee kwisha hakuna namna. Gaza iteketee kabisa 🤔
Mtu mzima kabisa anauliza kwamba..."hivi hamas hawaonekani huko Rafah"...?Hajiulizi kwamba Israeli wana mpango gani na Wapalestina?Watafutwa wote.Shauri yao.
 
Sawa kauweni popote mlipo lakini Hamasi hashindwi hi vita, Israel yeye na USA wanadharaulika duniani kila kukicha.

Kule USA uislam unazidi kupaa sababu ya ujinga wenu, watu wananza fahamu ukweli mlio danganywa miaka na bibilia zenu fake, eti Israel ni taifa la Mungu wakati hakuna andiko hata mojo kwenye hizo bibilia zenu zinasema Israel ni taifa [emoji1]

Akili Mali, hivi Israel asinge saidiwa na USA, angeweza kubaki hata siku moja pale, Hamasi wanaume aisay wacheni mchezo.
Sasa uislamu wa nini unauingiza hapa kwani kuna mada udini
 
Mtu mzima kabisa anauliza kwamba..."hivi hamas hawaonekani huko Rafah"...?Hajiulizi kwamba Israeli wana mpango gani na Wapalestina?Watafutwa wote.Shauri yao.
Hamas kuchukua mateka na kuuwa Waisraeli ndio greenlight kwa Israeli kuifuta Hamas na makandokando yake Gaza. Sasa hivi wameamua kuondoa misaada yote ya mfadhili wao mkuu /Qatar huko Gaza. Na misaada yeyote itakayo kwenda kwa wapalestina lazima waScreen kwanza. Halafu Israeli imezuia mabilioni ya shekeli wanayokusanya kwa niaba ya PA yasifike Ramalah 🤔
 
Hamas kuchukua mateka na kuuwa Waisraeli ndio greenlight kwa Israeli kuifuta Hamas na makandokando yake Gaza. Sasa hivi wameamua kuondoa misaada yote ya mfadhili wao mkuu /Qatar huko Gaza. Na misaada yeyote itakayo kwenda kwa wapalestina lazima waScreen kwanza. Halafu Israeli imezuia mabilioni ya shekeli wanayokusanya kwa niaba ya PA yasifike Ramalah 🤔
Hao ni wa kubanwa hadi waimbe kikwao.Dunia haiwezi kila siku kujadili watu wajinga.
 
Vita huwa haileti suluhu! Hapo kinachotakiwa ni pande zote kusitisha mapigano na kuja kwenye meza ya mazungumzo!
Ukitaka vita imalizike wale wazungu watoke pale ...Wanajulikana kama Netanyau na wengine kama waziri wa mambo ya nje ...Hawa ni wazungu kabisa wapo kibao wanachochea vita pale.

Waisrael wana utawala wao wa kidini sio democracy.
 
Ukitaka vita imalizike wale wazungu watoke pale ...Wanajulikana kama Netanyau na wengine kama waziri wa mambo ya nje ...Hawa ni wazungu kabisa wapo kibao wanachochea vita pale.

Waisrael wana utawala wao wa kidini sio democracy.
Watoke wapi wakati wako kwenye ardhi yao?
Wapalestina wanadanganywa na Waarabu kuwa ardhi ya Waisrseli ni yao! Kitu ambacho hata wakipigana hawawezi kufanikiwa!
Two states soluion ndiyo itakayomaliza vita! Palestina itambuliwe kama Taifa nje ya Mipaka ya Taifa la Israel!
Lakini kuwaza eti Waisrael watatoka kwenye ardhi yao waliyopewa na Mungu,ni ndoto za mchana! Kwa mjibu wa Biblia na Quran ni vigumu mno.
Quran 5:20-21
Biblia,Amos9:14-15
Mwisho wapalestina wasidai mji wa Yerusalemu kuwa mji wao mkuu wa Taifa lao!
Yerusalemu ni Mji mkuu wa Israeli uliojengwa na Mfalme wao Daudi zaidi ya miaka 3000 iliyopita!
 
Watoke wapi wakati wako kwenye ardhi yao?
Wapalestina wanadanganywa na Waarabu kuwa ardhi ya Waisrseli ni yao! Kitu ambacho hata wakipigana hawawezi kufanikiwa!
Two states soluion ndiyo itakayomaliza vita! Palestina itambuliwe kama Taifa nje ya Mipaka ya Taifa la Israel!
Lakini kuwaza eti Waisrael watatoka kwenye ardhi yao waliyopewa na Mungu,ni ndoto za mchana! Kwa mjibu wa Biblia na Quran ni vigumu mno.
Quran 5:20-21
Biblia,Amos9:14-15
Mwisho wapalestina wasidai mji wa Yerusalemu kuwa mji wao mkuu wa Taifa lao!
Yerusalemu ni Mji mkuu wa Israeli uliojengwa na Mfalme wao Daudi zaidi ya miaka 3000 iliyopita!
ile ni ardhi ya wapoland? pale hata DNA hawaruhusu huoni hata iabu....ISrelis wanafuata torati sio democary wale sio wanaisraeli ni wavamizi
 
ile ni ardhi ya wapoland? pale hata DNA hawaruhusu huoni hata iabu....ISrelis wanafuata torati sio democary wale sio wanaisraeli ni wavamizi
Huo ni mfumo wao wa Utawala waliojiamlia! Ni uhuru wao kuamua waongozwe na Torati.
Na siyo pekee yao wanaoongozwa na mfumo wa dini! Iran na mataifa ya kiarabu wanaongozwa na Sharia za Kiislamu ambazo ziko ndani ya Quran!
Mkuu upende usipende wale ni Waisraeli ambao wako kwenye ardhi yao waliyopewa na Mungu.
Wapalestina waunde Taifa lao katika ardhi ya Gaza na West banks then watulie maisha yaendelee!
 
Huo ni mfumo wao wa Utawala waliojiamlia! Ni uhuru wao kuamua waongozwe na Torati.
Na siyo pekee yao wanaoongozwa na mfumo wa dini! Iran na mataifa ya kiarabu wanaongozwa na Sharia za Kiislamu ambazo ziko ndani ya Quran!
Mkuu upende usipende wale ni Waisraeli ambao wako kwenye ardhi yao waliyopewa na Mungu.
Wapalestina waunde Taifa lao katika ardhi ya Gaza na West banks then watulie maisha yaendelee!
Sio waisreali pale kuna vugvugu la ndani , waisrael sio wahusudu ushoga ipo wazi . Tumia tu akili ndio utajua waisreal pale Iran wapo , palestine wapo ila wale wa democracy sio israelis
 
Israel ameshaua Wapalestina 35 na kuumiza wengine kadhaa usiku huu, wakiwemo watoto. Kashambulia Tent Camp huko Rafah.

Eti anaendelea kuwatafuta Hamas ili awatokomeze. Haya mashambulizi yanakaliwa kimya, lakini yamebeba athari kubwa sana.

Inasikitisha sana kwa kweli.

Ova
Mkiambiwa amani tuliyonayo tuilinde kwa gharama yoyote. Vita haichagui, bomu likitua kwenye nyumba halijui mtoto, bibi wala mama, USA alivyovalia Iraq hakujua tu watu wazima, DRC hata watoto wanakufa, Rusia kule Ukraine mambomu yanauma na watoto, Hamas walipovamia Israel waliua na watoto ambao walikuwa kwenye site. Hata mabomu ya Israel hayawezi kuchagua, kule Syria watoto na wanawake wamekufa sana.
 
Sio waisreali pale kuna vugvugu la ndani , waisrael sio wahusudu ushoga ipo wazi . Tumia tu akili ndio utajua waisreal pale Iran wapo , palestine wapo ila wale wa democracy sio israelis
Hata wangefanya maovu kiasi gani Mungu yuko upande wao!
Hata wangekuwa mashoga hilo halibatilishi kusudi la Mungu kuwalinda na kuwapigania katika ardhi yao aliyowapa baba zao Ibrahimu,Isaka na Yakobo!
 
Hata wangefanya maovu kiasi gani Mungu yuko upande wao!
Hata wangekuwa mashoga hilo halibatilishi kusudi la Mungu kuwalinda na kuwapigania katika ardhi yao aliyowapa baba zao Ibrahimu,Isaka na Yakobo!
Kwa hiyo uyahudi ndio dini kuliko ukristo wenu , mbona hamuelewi Mungu wenu analinda wayahudi kuliko nyie wakristo , ina maana uyahudi una thamani kuliko ukristo ?

😳 😳
 
Hilo eneo la Gaza ni kubwa kiasi gan kiasi cha wapiganaji wa Hamas kutodhibitiwa? Imeripotiwa kuwa wanaendelea kurusha maroket kuelekea Tel aviv. Je hiyo mifumo ya ulinzi ya Israel inashindwa kugh'amua walipo? Au Dunia inachezewa akili?
ogopa watu wanaotumia nguo za wananchi kupigana .hamas wanacho kifanya wanajichanganya na wananchi
 
Back
Top Bottom