Hivi ni kweli kama ina maji mchubuko hauwezi kutokea au uelewa mbovu tu

Fanya ufanyavyo, baada ya tendo hakikisha unaondoka na kondomu yako.
 
Utamu kolea,wanaokufa kwa ajali eidha za maji,moto,magari,kupigana au mengineyo nao vp.
Piga kazi,kikubwa usijifanye fundi sana.Ufundi peleka kwa mkeo na sio VISAπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣 Kwaiyo ufundi mwingi ndo unasababisha kirusi kiingie sio?

Turudi sasa kwenye maji hapo ni ukweli kwamba yakiwepo yakutosha usalama unakuwepo
 
Huwa naamini akiwa na mma ya kutosha na wewe ukiwa na kiasi kwenye kazi wala, linakupita huko, tena kama anatumia dozi kwa usahihi ndio kabisaa hupati.

Sie wengine tulishaamua kukituliza manake tukitumia hayo mapira stim inakata..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…