Hivi ni kweli kama ina maji mchubuko hauwezi kutokea au uelewa mbovu tu

Hivi ni kweli kama ina maji mchubuko hauwezi kutokea au uelewa mbovu tu

🤣 Kwaiyo ufundi mwingi ndo unasababisha kirusi kiingie sio?

Turudi sasa kwenye maji hapo ni ukweli kwamba yakiwepo yakutosha usalama unakuwepo
Ufundi mwingi,hupelekea kujisahau sana ambapo mda mwingine unajikuta ukavu unachikua nafasi yake.
Maambukizi hutokea pale unakuta mmoja wenu ana michubuko au vidonda.

Ila kama uke upon normal inakuwa ngumu kupata michubuko na maambukizi.

Ufundi peleka kwa unaekuwa na uhakika na afya yake.Ila kule kwingine Mzee baba Bora uonekane kimoja Chali 😂😂😂😂
 
Ufundi mwingi,hupelekea kujisahau sana ambapo mda mwingine unajikuta ukavu unachikua nafasi yake.
Maambukizi hutokea pale unakuta mmoja wenu ana michubuko au vidonda.

Ila kama uke upon normal inakuwa ngumu kupata michubuko na maambukizi.

Ufundi peleka kwa unaekuwa na uhakika na afya yake.Ila kule kwingine Mzee baba Bora uonekane kimoja Chali 😂😂😂😂
Kwa maana hii maji muhimu
 
usile mbususu kwa kukomoa bali kula tunda taratibu yaan lioshe na limenye.
lkn no friction no reaction.kula mema ya nchi mkuu
 
Wakuu habarini za mchana.

Ningependa kulifikisha hili swala kwenu hasa wataalam wa afya kama wapo humu. Kuna huu msemo kwamba "kama ina maji mchubuko hauwezi kutokea na huwezi kuunganishwa kwenye gridi ya taifa". Kusema ukweli ile kitu ni tamu sana bila kutumia co.nd.om lakini tunaogopa hili janga ndo maana tunatumia. Sisi ambao bado hatuna mahusiano ya kueleweka tunapita sehemu nyingi sana, hasa sisi wanaume. Muda mwingine unakutana na pisi kali kinoma unatamani kubanjuka bila kuvaa soksi lakini mawazo ya hilo li ugonjwa yanakuja kichwani.

Wataalam tuambieni ukweli basi kama maji yakitosha ni ngumu kupata tuzingatie kuandaana vizuri tu ili tule mema ya nchi bila presha tukiwa bado na nguvu, uzee unakuja kwa kasi sana.
Ni kweli.
 
Mjuni uko serious au unanishawishi kwamba nikijikita na mabinti wa Bukona nitakuwa salama
Mabinti wa Bukona? Ndio kufanyaje?

Kwenye jamii zetu, wengi wanaamini ugoni ni jinai, na watu wengi wametozwa pesa nyingi kwa matukio ya kutengenezwa.

Mtu akikukamata ugoni, kubali kwamba utalipa pesa, ila utalipia kituoni.

Mkifika kituoni, waambie wakupeleke mahakamani.

Unaweza kumshitaki mgoni wako kwa tresspassing endapo tu umemkuta chumbani kwako.

Nje na hapo labda msingizie ubakaji. Ugoni siyo jinai.
 
Mabinti wa Bukona? Ndio kufanyaje?

Kwenye jamii zetu, wengi wanaamini ugoni ni jinai, na watu wengi wametozwa pesa nyingi kwa matukio ya kutengenezwa.

Mtu akikukamata ugoni, kubali kwamba utalipa pesa, ila utalipia kituoni.

Mkifika kituoni, waambie wakupeleke mahakamani.

Unaweza kumshitaki mgoni wako kwa tresspassing endapo tu umemkuta chumbani kwako.

Nje na hapo labda msingizie ubakaji. Ugoni siyo jinai.
Nilimaanisha bukoba
 
Back
Top Bottom