Hivi ni kweli kama ina maji mchubuko hauwezi kutokea au uelewa mbovu tu

🤣 Kwaiyo ufundi mwingi ndo unasababisha kirusi kiingie sio?

Turudi sasa kwenye maji hapo ni ukweli kwamba yakiwepo yakutosha usalama unakuwepo
Ufundi mwingi,hupelekea kujisahau sana ambapo mda mwingine unajikuta ukavu unachikua nafasi yake.
Maambukizi hutokea pale unakuta mmoja wenu ana michubuko au vidonda.

Ila kama uke upon normal inakuwa ngumu kupata michubuko na maambukizi.

Ufundi peleka kwa unaekuwa na uhakika na afya yake.Ila kule kwingine Mzee baba Bora uonekane kimoja Chali 😂😂😂😂
 
Kwa maana hii maji muhimu
 
usile mbususu kwa kukomoa bali kula tunda taratibu yaan lioshe na limenye.
lkn no friction no reaction.kula mema ya nchi mkuu
 
Ni kweli.
 
Mjuni uko serious au unanishawishi kwamba nikijikita na mabinti wa Bukona nitakuwa salama
Mabinti wa Bukona? Ndio kufanyaje?

Kwenye jamii zetu, wengi wanaamini ugoni ni jinai, na watu wengi wametozwa pesa nyingi kwa matukio ya kutengenezwa.

Mtu akikukamata ugoni, kubali kwamba utalipa pesa, ila utalipia kituoni.

Mkifika kituoni, waambie wakupeleke mahakamani.

Unaweza kumshitaki mgoni wako kwa tresspassing endapo tu umemkuta chumbani kwako.

Nje na hapo labda msingizie ubakaji. Ugoni siyo jinai.
 
Nilimaanisha bukoba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…