Hivi ni kweli kina Chikwende ni zaidi ya akina Ajibu!

Hivi ni kweli kina Chikwende ni zaidi ya akina Ajibu!

Soka la nchi halikuzwi hivyo. Ulitakiwa uwatetee wachezaji au makocha wazawa kwa takwimu. Kwamba inakuwaje chirwa anapewa sana nafasi wakati labda chilunda ana magoli na assist kumzidi chirwa? Au inakuwaje simba , yanga ,Azam wameleta makocha wa kigeni wakati Julio, Mkwasa, mexime ,Katwila wanaweza? Yaani ulitakiwa ulete takwimu maana wote washapewa nafasi ya kuonesha uwezo wao na sio kujiuliza hivi kweli Julio hamzidi uwezo Kaze? Leta takwimu.
 
Mtoa mada amenishangaza anapo mtetea mchezaji kama Ibrahim Ajibu!! Mwenzake ndiyo anafurahia kukaa benchi huku mzigo ukiingia mwisho wa mwezi kama kawaida.

Dogo ana kipaji ila ni mvivu!! Baada ya kuona anahenyeshwa na Mwinyi Zahera na kupewa unahodha, akaona isiwe soo. Yeye na mwenzake Gadiel Michael wakaona ni bora kupokea mshahara, ila siyo kucheza!

Tofauti kabisa na maproo wa Ulaya.
Kwa iyo ajibu na martial wanafaa kukaa meza moja
 
Kwa iyo ajibu na martial wanafaa kukaa meza moja
Nimemaanisha maproo wa Ulaya wanaangalia zaidi kipaumbele cha kucheza na siyo fedha kama Bongo.

Mesut Ozil amekubali kuucha mshahara mnono Arsenal ili tu akapate muda mwingi wa kucheza kule Fernabace! Lakini Ajibu hana namba ya kudumu Simba, ila ameridhika tu kwa sababu mshahara wake unasoma kila mwezi.
 
Tuna mifano mingi ya wazawa mfano Mkude, yeye tangu aimbwe anajua basi anajiona yeye ni bora zaidi, nidhamu mbovu, sasa akiletewa akina lwanga na akapotezwa hapo ndio dawa ya jeuri yke itaanza kuisha..
Kazi yao kubwa wazawa wapaishwe kwny visingeli utasikia, ''tikitaka kama ajibu'' haruna moshi boban profeshino pleya'' ndio furaha zao mbwa hawa..sorry kwa kauli chafu.
 
Mkuu
Utopolo mtupu

Weee uwezo wa mchezaji mmoja mmoja, kwa hapa bongo ndan ya simba

Chikwende unamlinganisha nanan?

Morison nanan?

Luis nanan?

Chama nanan?

Kagere nanan?

Bwalya Nanan?

Muwe mnaacha ujinga, yaleyale ya Mabeberu hawawapendi Waafrika.

Kama unatumia mchezo wa jana kujenga hoja yako
Mkuu acha jazba...huo wa Simba Ni mfano tu !
Kuna mengi ya kuangalia
..hujiulizi Mtibwa huwa wanawatoa Wapi wale Vijana ambao wanatamba Ligi Kuu,Kipingu alimloga Nani mpaka akawapata kina Kaseja,
Hivi uwekezaji wa Mo au GSM ungeenda kupeleka mbele mipsngo Kama ya Bayser pale Mtibwa tungefika Wapi!
Acha Utopolo Bwana!
 
Kuna
Wewe nini kinakuuma?Hawa wachezaji wa ndani si waoneshe uwezo wao kwenye timu nyingine,mbona ziko nyingi tu?

Pia waoneshe kiwango kwenye national team.Huwezi kuja na utetezi wa hisia za ukabila na ujinga zikiwa zimejificha ndani ya koti la uzalendo.

Wachezaji wetu wengi hawajielewi.Mchezaji akiwa mpenzi wa yanga siku timu yake ikicheza against yanga anajilainisha,vivyo hivyo kwa Simba.
Wachezaji wakishapata pesa ya pombe na mademu wanakosa nidhamu kabisa.
Tuanze na elimu ya kijitambua kwanza
Ukabila umeoneshwa hapa...!
Kuhusu uzalendo Ni mjinga Mpumbavu pekee asiye amini ktk uzalendo kwa kinachomhusu!
 
Tuna mifano mingi ya wazawa mfano Mkude, yeye tangu aimbwe anajua basi anajiona yeye ni bora zaidi, nidhamu mbovu, sasa akiletewa akina lwanga na akapotezwa hapo ndio dawa ya jeuri yke itaanza kuisha..
Kazi yao kubwa wazawa wapaishwe kwny visingeli utasikia, ''tikitaka kama ajibu'' haruna moshi boban profeshino pleya'' ndio furaha zao mbwa hawa..sorry kwa kauli chafu....Tm

Huna hoja takataka tupu umeandika! Kama hao watanzania wenzako wengekua wanakua sana mpira timu yao ya Taifa ingefika mbali
Burundi ,Rwanda ,Zimbabwe tunakowatoa hao nyota wao wamefika Wapi....tatizo unayapa makalio kazi isiyostahili!
 
Utopolo mtupu

Weee uwezo wa mchezaji mmoja mmoja, kwa hapa bongo ndan ya simba

Chikwende unamlinganisha nanan?

Morison nanan?

Luis nanan?

Chama nanan?

Kagere nanan?

Bwalya Nanan?

Muwe mnaacha ujinga, yaleyale ya Mabeberu hawawapendi Waafrika.

Kama unatumia mchezo wa jana kujenga hoja yako
Acha kuongea kwa hasira utafikiri unaongea na house girl wako. Tofauti ya Chikwende na Ajibu ni uraia wao tu.
 
Ajibu na zile ndevu kwanza kila siku kwenye page yake anaandka vijembe tu aaaf uwanjani ni galasa namba 1 Zimbwe jr kijana yuko safi sana na anajituma sana wengne kna Kapombe,bocco nao wako fire tu
 
Ibrahim Ajibu bado ataendelea kusugua benchi hadi hapo paka watakapoacha kusajili kwa sifa, maana sioni wa kumnyang'anya namba pale


Mathalani kwenye mechi ya jana Thimba na Azam

Kila timu ilianzisha wachezaji 7 7 wa kigeni, wa ndani ni wa4 tu
 
Tuna mifano mingi ya wazawa mfano Mkude, yeye tangu aimbwe anajua basi anajiona yeye ni bora zaidi, nidhamu mbovu, sasa akiletewa akina lwanga na akapotezwa hapo ndio dawa ya jeuri yke itaanza kuisha..
Kazi yao kubwa wazawa wapaishwe kwny visingeli utasikia, ''tikitaka kama ajibu'' haruna moshi boban profeshino pleya'' ndio furaha zao mbwa hawa..sorry kwa kauli chafu.
Plus kujazwa sifa kwenye vyombo vya habari haswa magazeti ya michezo
 
Naona lugha gongana...Mimi niliandika kinaAjibu,naona watu wanamjadili Ajibu!
 
Burundi ,Rwanda ,Zimbabwe tunakowatoa hao nyota wao wamefika Wapi....tatizo unayapa makalio kazi isiyostahili!
Mbona hutaji Zambia ?
Kwenye CHAN unajua Rwanda wameishia wapi?

Anyway Unataka tutukanane endelea na lugha yako ya ajabu ajabu.
 
Mbona hutaji Zambia ?
Kwenye CHAN unajua Rwanda wameishia wapi?

Anyway Unataka tutukanane endelea na lugha yako ya ajabu ajabu.
Zambia IPI MKUU ya Sasa au miaka 15 nyuma!
Rwanda Ni Taifa Stars iliyocgangamka!
Zambia og ,isingetokea eti kiungo wake ...Kama Rally Bwalya she kucheza Ligi ya Tz
 
Back
Top Bottom