Kwa iyo ajibu na martial wanafaa kukaa meza mojaMtoa mada amenishangaza anapo mtetea mchezaji kama Ibrahim Ajibu!! Mwenzake ndiyo anafurahia kukaa benchi huku mzigo ukiingia mwisho wa mwezi kama kawaida.
Dogo ana kipaji ila ni mvivu!! Baada ya kuona anahenyeshwa na Mwinyi Zahera na kupewa unahodha, akaona isiwe soo. Yeye na mwenzake Gadiel Michael wakaona ni bora kupokea mshahara, ila siyo kucheza!
Tofauti kabisa na maproo wa Ulaya.
Nimemaanisha maproo wa Ulaya wanaangalia zaidi kipaumbele cha kucheza na siyo fedha kama Bongo.Kwa iyo ajibu na martial wanafaa kukaa meza moja
Mkuu acha jazba...huo wa Simba Ni mfano tu !Utopolo mtupu
Weee uwezo wa mchezaji mmoja mmoja, kwa hapa bongo ndan ya simba
Chikwende unamlinganisha nanan?
Morison nanan?
Luis nanan?
Chama nanan?
Kagere nanan?
Bwalya Nanan?
Muwe mnaacha ujinga, yaleyale ya Mabeberu hawawapendi Waafrika.
Kama unatumia mchezo wa jana kujenga hoja yako
Ukabila umeoneshwa hapa...!Wewe nini kinakuuma?Hawa wachezaji wa ndani si waoneshe uwezo wao kwenye timu nyingine,mbona ziko nyingi tu?
Pia waoneshe kiwango kwenye national team.Huwezi kuja na utetezi wa hisia za ukabila na ujinga zikiwa zimejificha ndani ya koti la uzalendo.
Wachezaji wetu wengi hawajielewi.Mchezaji akiwa mpenzi wa yanga siku timu yake ikicheza against yanga anajilainisha,vivyo hivyo kwa Simba.
Wachezaji wakishapata pesa ya pombe na mademu wanakosa nidhamu kabisa.
Tuanze na elimu ya kijitambua kwanza
Tuna mifano mingi ya wazawa mfano Mkude, yeye tangu aimbwe anajua basi anajiona yeye ni bora zaidi, nidhamu mbovu, sasa akiletewa akina lwanga na akapotezwa hapo ndio dawa ya jeuri yke itaanza kuisha..
Kazi yao kubwa wazawa wapaishwe kwny visingeli utasikia, ''tikitaka kama ajibu'' haruna moshi boban profeshino pleya'' ndio furaha zao mbwa hawa..sorry kwa kauli chafu....Tm
Burundi ,Rwanda ,Zimbabwe tunakowatoa hao nyota wao wamefika Wapi....tatizo unayapa makalio kazi isiyostahili!Huna hoja takataka tupu umeandika! Kama hao watanzania wenzako wengekua wanakua sana mpira timu yao ya Taifa ingefika mbali
Acha kuongea kwa hasira utafikiri unaongea na house girl wako. Tofauti ya Chikwende na Ajibu ni uraia wao tu.Utopolo mtupu
Weee uwezo wa mchezaji mmoja mmoja, kwa hapa bongo ndan ya simba
Chikwende unamlinganisha nanan?
Morison nanan?
Luis nanan?
Chama nanan?
Kagere nanan?
Bwalya Nanan?
Muwe mnaacha ujinga, yaleyale ya Mabeberu hawawapendi Waafrika.
Kama unatumia mchezo wa jana kujenga hoja yako
Plus kujazwa sifa kwenye vyombo vya habari haswa magazeti ya michezoTuna mifano mingi ya wazawa mfano Mkude, yeye tangu aimbwe anajua basi anajiona yeye ni bora zaidi, nidhamu mbovu, sasa akiletewa akina lwanga na akapotezwa hapo ndio dawa ya jeuri yke itaanza kuisha..
Kazi yao kubwa wazawa wapaishwe kwny visingeli utasikia, ''tikitaka kama ajibu'' haruna moshi boban profeshino pleya'' ndio furaha zao mbwa hawa..sorry kwa kauli chafu.
Mbona hutaji Zambia ?Burundi ,Rwanda ,Zimbabwe tunakowatoa hao nyota wao wamefika Wapi....tatizo unayapa makalio kazi isiyostahili!
Wacha wagegede bwana...pale kati patamuTatizo la akina Ajibu ni ulevi na ufuska usio na kipimo unaua vipaji vyao
Kwa huo uvivu tp mazembe asingepawezaMtu Kama ajibu usimtete kabisa .
Huyo jamaa Ni fala Sana alizichanga karata zake vibaya .
Aliondoka Yanga kwa dharau
TP mazembe walimuhitaji akawadengulia.
So acha apambanae na Hali yake
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Zambia IPI MKUU ya Sasa au miaka 15 nyuma!Mbona hutaji Zambia ?
Kwenye CHAN unajua Rwanda wameishia wapi?
Anyway Unataka tutukanane endelea na lugha yako ya ajabu ajabu.